< 2 Korinthians 4 >

1 To nayin, kiti hidima wa bi kpa nita ikon jinka, kina bir yo surna.
Kwa hiyo, kwa sababu tuna huduma hii, na kama ambavyo tumeipokea rehema, hatukati tamaa.
2 Maimako naki kpabu ni nko wha a hei ni shan whu kurin kina ti rayuwa makarci ki na tin tra Rji ni mure. ki tin dindi, ni nun tunbu ni sur ko ahei ni shishi Rji.
Badala yake, tumekataa njia zote za aibu na zilizofichika. Hatuishi kwa hila, na hatulitumii vibaya neno la Mungu. Kwa kuwasilisha iliyo kweli, tunajionyesha wenyewe kwa dhamiri ya kila mtu mbele ya Mungu.
3 Wu hla tra Rjibu anh kaika, anh nika ne bin ba kasurtun.
Lakini kama injili yetu imefichika, imefichika kwa wale tu wanaoangamia.
4 Ni min surna iji wu gbugblu a mhrin fwen surba bi wa ba ha ma niti dindi. idima ba na ya ton kpeni tre Rji na bresa Almasihu nah wawu yi a surar Rji. (aiōn g165)
Katika uchaguzi wao, mungu wa ulimwengu huu amewapofusha fahamu zao zisizoamini. Matokeo yake, hawawezi kuona nuru ya injili ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano wa Mungu. (aiōn g165)
5 Ta naki, ki ban tumbu hi ni kahlan aman Almasihu Yesu a matsayin Baci, ki granba nitun Yesu.
Kwa kuwa hatujitangazi wenyewe, bali Kristo Yesu kama Bwana, na sisi wenyewe kama watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.
6 Ga Rji wha a tre “Ikpan wa ni kpa wawu ni me bulu ani kpa ne min surbu da no kpa niton gbrenRji san. ne shishi Yesu Almasihu.
Kwa kuwa Mungu ndiye ambaye aliyesema, “Mwanga utaangaza toka gizani.” Ameangaza katika mioyo yetu, kutoa mwanga wa maarifa ya utukufu wa Mungu katika uwepo wa Yesu Kristo.
7 Ki ha ni won ni min gbula, wa a ni hei a bayane wa afimeni meba ni tin Rji ba wu bunba.
Lakini tuna hazina hii katika vyombo vya udongo, ili kwamba ieleweke kuwa nguvu kuu sana ni ya Mungu na sio yetu.
8 Anh ni shayah ni ko ta ingon reni, bana rinta na rebemi na ki karbi shishi, tun naki kinana chun ni sur buna ba nota yah aman a na sorta lebga na.
Tunataabika katika kila hali, lakini hatusongwi. Twaona shaka lakini hatujawi na kukata tamaa.
9 Ba' nota yah, ama ba na ti meme na.
Tunateswa lakini hatujatelekezwa. Twatupwa chini lakini hatuangamizwi.
10 Kita cacu ki ba kyu yesu ni kpanbu don di tsrota bayani rayuwa Yesu ni kpanbu.
Siku zote tunabeba katika mwili wetu kifo cha Yesu, ili kwamba uzima wa Yesu uonekane pia katika miili yetu.
11 Bi bi yah ba hei sesar (ko ivren) cha chun ba mika ta ga kyu ni tun Yesu ni tren Yesu ahei ne kpa, bu wu kyu.
Sisi tulio hai siku zote tumetolewa kufa kwa ajili ya Yesu, ili kwamba uhai wa Yesu uonekane katika miili yetu ya kibinadamu.
12 To wa yi sa ki kyu ni tin dun nikpanbu, naki ivre ni tindun ni kpanbu.
Kwa sababu hii, kifo kinafanya kazi ndani yetu, bali uzima unafanya kazi ndani yenu.
13 Ki hei ni ruhu wu tin dindi na dan ba nhai min khanye ni wu ni furta 'kinto kin kbanye kin nzi lah naki.
Lakini tuna roho ileile ya imani kulingana na kile kilicho andikwa: “Niliamini, na hivyo nilinena.” Sisi pia tunaamini, na hivyo pia tunanena.
14 Kiton ndi wa zun Yesu titin ni men bu ani zun ta ni Yesu ken tan ana gabatar ni ta na ni biyin ni ko shishi.
Tunajua kuwa yule aliye mfufua Bwana Yesu pia atatufufua sisi pamoja naye. Tunajua kuwa atatuleta sisi pamoja nanyi katika uwepo wake.
15 Kpen ati don bi yin ya dan ba baza alheri ni adi bi ba bran gren ni kara bran ni gbren Rji san.
Kila kitu ni kwa ajili yenu ili kwamba, kwa kadri neema inavyo enea kwa watu wengi, shukurani zizidi kuongezeka kwa utukufu wa Mungu.
16 Kena fin ni surba na ko nita kina timeme na ki ta sarkpanbu chuchu.
Hivyo hatukati tamaa. Japokuwa kwa nje tunachakaa, kwa ndani tunafanywa upya siku hadi siku.
17 Wu to vin yah mu ni vin ma ani mlatati hi ga nanyi madawami gbren wa a wuce tsra ya. (aiōnios g166)
Kwa kipindi hiki kifupi, mateso haya mepesi yanatuandaa sisi kwa ajili ya umilele mzito wa utukufu uzidio vipimo vyote. (aiōnios g166)
18 Kena yan kpe wa ki to ba ni kpe wa kina to bana ni kpen wa kin ya ton ba ni kpe ki ya to ba na dawamba kpe wa ki na ya to na dawamimi ne. (aiōnios g166)
Kwa kuwa hatutazami kwa ajili ya vitu ambavyo vinaonekana, bali kwa ajili ya vitu visivyoonekana. Vitu tunavyoweza kuviona ni vya muda tu, bali vitu ambayo havionekani ni vya milele. (aiōnios g166)

< 2 Korinthians 4 >