< 2 Korinthians 2 >
1 me ba emrenmu mena ye yin ne kpalabana mena yaye ne yin na ne to yah bi heime.
Kwa hiyo niliamua kwa sehemu yangu mwenyewe kwamba nisingekuja tena kwenu katika hali ya uchungu.
2 Me ta kpa surbi tin meme nhan ne si yinsurmu in ba whame kpa surma ti me ba?
Kama niliwasababishia ninyi maumivu, ni nani angenifurahisha mimi, lakini ni yule ambaye aliumizwa na mimi?
3 Me nha ni yi'u yadenme tin mita ye niyin mena to kpa sur ti meme nibi ba mle tu ba noyin si sur mehei nigabagidi ni yin grin me hei un aki bi hei un aki be ahane'u whawu.
Niliandika kama nilivyofanya ili kwamba wakati nikija kwenu nisiweze kuumizwa na wale ambao wangekuwa wamenifanya nifurahi. Ninao ujasiri kuhusu ninyi nyote kwamba furaha yangu ni furaha ile ile mliyonayo ninyi nyote.
4 Me nha ne yi'u ne me yahni kpasur timeme, ne yin ma shishi ubran me na so dun sur bi temenena. in naki zurfi son me hei ni yi'un
Kwa kuwa niliwaandikia ninyi kutokana na mateso makubwa, na dhiki ya moyo, na kwa machozi mengi. Sikutaka kuwasababishia ninyi maumivu. Badala yake, nilitaka mjue upendo wa kina nilionao kwa ajili yenu.
5 Idin wha kbrin kpa sur ti meme ana me ghrinmu na ba nayi na har niyin wha'u.
Kama kuna yeyote amesababisha maumivu, hajasababisha tu kwangu, lakini kwa kiwango fulani - bila kuweka ukali zaidi - kwenu ninyi nyote.
6 Tin yah wha galabinku biti ni din a mlan ne ba.
Hii adhabu ya mtu huyo kwa wengi inatosha.
7 A hei naki ziza maimako yah ki kpa lahgani un bi ka ta'a zita un tin naki dun bakinciki bi dun brana.
Kwa hiyo sasa badala ya adhabu, mnapaswa kumsamehe na kumfariji. Fanyeni hivi ili kwamba asiweze kushindwa na huzuni iliyozidi.
8 Ahei naki, ki nayi emre kpa lahga ni'u ni zra bi bin son bin he ni'u ni zra bi bin son bin he ni'u ahei ne ra.
Kwa hiyo ninawatia moyo kuthibitisha upendo wenu hadharani kwa ajili yake.
9 Ekpen wha asa me nha fufun, meni tsra yin to ko bi who tre ni kpenkitin.
Hii ndiyo sababu niliandika, ili kwamba niweze kuwajaribu na kujua kuwa kama ni watii katika kila kitu.
10 Din bi kpa wu ri lah ni'un me kpan wu rilah ni'un kpen me kpa wuri lah, meta kpa kperin wurileh don biyin ni shishi Almasihu.
Kama mkimsamehe yeyote, na mimi pia namsamehe mtu huyo. Kile nilicho kisamehe - kama nimesamehe chochote-kimesamehewa kwa faida yenu katika uwepo wa Kristo.
11 A ha nakin kina dun memen shaidan gurta na don kina kato bibin chema.
Hii ni kwamba Shetani asije akatufanyia madanganyo. Kwa kuwa sisi sio wajinga kwa mipango yake.
12 Me samu kutra wha abwu bra ni Bacibu den me rin me gbu Tarwasa, ni bla tra Rji naki.
Mlango ulifunguliwa kwangu na Bwana nilipokuja kwenye mji wa Troa kuhubiri injili ya Kristo pale.
13 Dun ton yin, surmu na kha kruna mena to mre vayimu na Titus na muna, me brin ba nimu ni khme ye makidoniya.
Hata hivyo, sikuwa na amani ya moyo, kwa sababu sikumkuta ndugu yangu Tito pale. Hivyo niliwaacha na nikarudi Makedonia.
14 Me gren ni Rji, ni min Almasihu wha kai ga nasara ko wha ni ton ne who bu a sra whiwhi riro whu didima whu to ko ni tsen.
Lakini ashukuriwe Mungu, ambaye katika Kristo mara zote hutuongoza sisi katika ushindi. Kupitia sisi husambaza harufu nzuri ya maarifa yake mahala pote.
15 Kin ta ki whowhi riromani Almasihu ni Rji ni tsutsu bi ivren ni bin bakpa kobin ba kaba sur tun
Kwa kuwa sisi kwa Mungu, ni harufu nzuri ya Kristo, wote kati ya wale waliookolewa na kati ya wale wanaoangamia.
16 Di bin ba kaba surtun whowhi netsutsun kyu hei ne kyu, ne bi ba kpaciwo ne whowhi ba heini vren hin nevren, a nha cancin ni bubu ba?
Kwa watu ambao wanaangamia, ni harufu kutoka kifo hadi kifo. Kwa wale wanaookolewa, ni harufu nzuri kutoka uzima hadi uzima. Ni nani anayestahili vitu hivi?
17 Kina hei brun di ba leh ne tren Rji na kpa riba. aheinaki ne tsrakakiya mren ki tretre yin ne Almasihu yah de Rji tunta ki gre ne Rji.
Kwa kuwa sisi sio kama watu wengi wanaouza neno la Mungu kwa faida. Badala yake, kwa usafi wa nia, tunanena katika Kristo, kama vile tunavyotumwa kutoka kwa Mungu, mbele ya Mungu.