< Tito 1 >
1 Ik'i guutsonat Iyesus Krstos wosheets wottso P'awulosoke, Ik'o galbdek'ts ashuwotsi bo imnetiyon kup'shr, Ik'i ash beyo maants jishit aro bodanetwok'o wosheetso,
Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo, kwa imani ya wateule wa Mungu na maarifa ya kweli iletayo utauwa.
2 Imnetiyanúwere Ik'o dúre dúri beyo imosh noosh b́jangitsatse need'ke, koorawo Izar Izewer kashan noosh imosh jam dúroniyere shin noosh taarre. (aiōnios )
Wapo katika tumaini la uzima wa milele ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele. (aiōnios )
3 Ari b́ gizewo b́ bodtsok'on noon worits Ik'o azaztsok'on taa t shishiyitwok'o taash imets adarok'on Ik'o bí aap'tso b́ jangi.
Kwa wakati muafaka, alilifunua neno lake katika ujumbe alionipa mimi kuhubiri. Ilinipasa kufanya hivi kwa amri ya Mungu mwokozi wetu.
4 Noshir wotts imnetiyon arikon t naayi wottsosh neesh Titosh, Ik'o nihoknat noon kashitso Krstos Iyesusokere s'aatonat jeenon neesh wotowe.
Kwa Tito, mwana wa kweli katika imani yetu. Neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba na Yesu Kristo mwokozi wetu.
5 Neen K'ert'esitse k'aztk'rtso eegoshe manutseraawo manutsir, neen tiazaztsok'on Ik'i máá eenashwotsi kit kitotse nnaashitwok'owe.
Kwa sababu hii nalikuacha Krete, kwamba uyatengeneze mambo yote yaliyokuwa hayajakamilika na kuweka wazee wa kanisa kwa kila mji kama nilivyokuagiza.
6 Ik'i máá eenasho eeg eeg bíatse deshawonat mááts iku kenihi wottsoni, shiraats jintsi wotonat bo alek'azeyatse tuutson k'ooreraw amants nana'úwotsi detsts asho woto bín geyife.
Mzee wa kanisa lazima asiwe na lawama, mme wa mke mmoja, aliye na watoto waaminifu wasioshuhudiwa mabaya au wasio na nidhamu.
7 Ik'i maa jishirwo Ik'i fino adaron b́ dek'tsotse bíyatse eeg eeg deshaw s'ayino woto bín geyife, mank'owore bika bako shiyawo, káári fayerawo, masherawo, fayetsi woterawo, gizosh k'awntrawo woto bín geyife.
Ni muhimu kwa mwangalizi, kama msimamizi wa nyumba ya Mungu, asiwe na lawama. Asiwe mtu wa kelele au asiye jizuia. Lazima asiwe mwepesi wa hasira, asiwe mlevi, asiwe mtu wa kusababisha ugomvi, na asiwe mwenye tamaa.
8 Maniyere ib dek'fo, sheeng keewo shuntso, káts wottso, kááwo, Ik'i finosh gaaletso, bítook kewdek'faltso wotowe.
Badala yake: awe mtu mkaribishaji, apendaye wema. Lazima awe mtu mwenye akili timamu, mwenye haki, mcha Mungu, anayejitawala mwenyewe.
9 Arik wotts dano daniwon izosh k'efirwotsshowere aani dek'o b́falitwok'o danb́dek'ts amanets aap'ats kup'de'e.
Awezaye kusimamia mafundisho ya kweli yaliyofundishwa, ili aweze kuwatia moyo kwa mafundisho mazuri na awezaye kuwarekebisha wote wanaompinga.
10 Ay ashuwots, bítsnor Ayhudi jirwotsi wottswots gofami niwo shoyirwots, alerawwots, datsmec'ron ooshirwotsnat dashirwots fa'ane.
Kwa kuwa kuna waasi wengi, hasa wale wa tohara. Maneno yao ni ya upuuzi. Wanadanganya na kuwaongoza watu katika upotovu.
11 Ashaanotsi s'k boetetuwok'o wosho geyife, bo jitsit oot'o daatsosh woteraw keewo danifetst maa ash asho boshek'iri.
Ni lazima kuwazuia watu kama hao. Wanafundisha yale wasiyopaswa kwa faida za aibu na kuharibu familia zote.
12 Boyitse iko, botook nebiyiwo «K'ert'es ashuwots jam aawo kootetswotsi, gond s'ootswotsi, fin biitsts maac' geenzwotsiye» etre.
Mmoja wao, mtu mwenye busara, alisema, “Wakrete wana uongo usio na mwisho, wabaya na wanyama wa hatari, wavivu na walafi.”
13 Gawets gawanúwere arikee, mansh eshe shod deshaw imnetiyo bodetsetwok'o ashaanotsi ayide hadowe.
Haya maelezo ni ya kweli, kwa hiyo uwazuie kwa nguvu ili kwamba waweze kusema kweli katika imani.
14 Ayhudi tururi shuutso bo sha'irwok'o, ariko k'efiru ashuwots tzaziwotsno bok'ewawok'o kup'shde'e hadowe.
Wewe usijihusishe na hadithi zisizo za kweli za Kiyahudi au amri za watu, ambao hurudisha nyuma ukweli.
15 S'ayn nib detstswotssh, jam keewo s'ayine, kiimwotsnat amaneraw ashuwotsshmó s'ayin wottso eegonwor aaliye, dabnwor bonibo wotowa bomaac'o kiimwtske.
Kwa wote walio safi, vitu vyote ni visafi. Lakini kwa wote walio wachafu na wasioamini, hakuna kilicho kisafi. Kwa kuwa mawazo yao na dhamira zao zimechafuliwa.
16 «Ik'o danfone» etirune, bofiinonmó jamere etetune bísha, bo wic'iknee, alerawwotsna sheeng keewo iko k'alo falawwotsiye.
Wanakiri kumjua Mungu, lakini kwa matendo yao wanamkana. Wao ni waovu na wasiotii. Hawakuthibitishwa kwa tendo lolote jema.