< Yohans Bek'o 1 >
1 Bek'an karn gizewotse wotit keewo Ik'o b́ guutswotssh kitsosh Iyesus Krstossh b́ imtsoniye, Iyesus Krstoswere melakiyo woshat b́ guutso Yohanissh bek'an b́ kitsi.
Huu ni ufunuo wa Yesu Kristo ambao Mungu alimpa ili kuwaonesha watumishi wake mambo ambayo lazima yatokee karibuni. Aliyafanya yajulikane kwa kumtuma malaika wake kwa mtumishi wake Yohana.
2 Yohaniswere Ik' aap'onat Iyesus Krstos bísh b́ danitso, mank'o b́ bek'ts keew jamo gawere.
Yohana alitoa ushuhuda wa kila kitu alichoona kuhusiana na neno la Mungu na kwa ushuhuda uliotolewa kuhusu Yesu Kristo.
3 Jaman b́s'eenet aawo karn b́ wottsotse bek'i aap'an nababirwo deereke! mank'o bek'i aap'man shishirwotsnat beek'anits guut'etso s'eentsitwots derekne.
Amebarikiwa yeye asomaye kwa sauti na wale wote wanaoyasikia maneno ya unabii huu na kutii kilichoandikwa humo, kwa sababu muda umekaribia.
4 Yohanisoke Isiyotse fa'a shawat Ik' moowwotssh. Fa'oke, teshtsoknat weetu Ik'oke, b́ naashi jori shinatse fa'a shawat shayirwotsoke, mank'o k'irotse tuwon k'aab wottsoke datsatsi nugúswotsi keewirwo, amanets gawo wottsoke, noon shuntsonat b́ s'atson nomorotse noon nas' kishtso Iyesus Krstos s'aatoonat jeenon itsh wotowe.
Yohana, kwa makanisa saba yaliyoko Asia: neema iwe kwenu na amani kutoka kwake aliyepo, aliyekuwepo, na atakayekuja, na kutoka kwa roho saba walio mbele ya kiti chake cha enzi,
na kutoka kwa Yesu Kristo ambaye ni shahidi mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa waliokufa, na mtawala wa wafalme wa dunia hii. Kwake yeye atupendaye na ametuweka huru kutoka katika dhambi zetu kwa damu yake,
6 Iyesus Krstos nihi Ik'osh kahniwotsi wotar no finish Mengst noon woshtsosh, Iyesus Krstossh mangonat angon dúre dúrosh b́ borfetso wotowe! amen. (aiōn )
ametufanya kuwa ufalme, makuhani wa Mungu na Baba yake - kwake kuwa utukufu na nguvu milele daima. Amina. (aiōn )
7 Eshe daawnon weetwe, bín koshtswotsworu bo oreraniyere jametswots bín bek'etune, datsatsi ash naar jamo b́ jangosh eepetúne, keewanúwere aree, amen.
Tazama, anakuja na mawingu; kila jicho litamwona, pamoja na wote waliomchoma. Na kabila zote za dunia wataomboleza kwake. Ndiyo, Amina.
8 Fa'o, teshtso, weetwonwere, jam falts Ik'o doonzo «Alfonat Omegon, taane!» etfe.
“Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu, “Yeye aliyepo, na aliyekuwepo, na ambaye anakuja, Mwenye nguvu.”
9 Iyesus Krstosn wotat gond bek'onat b́ menegsto, mank'o b́ k'amo itnton kaytso taa it eshú Yohanis Ik' aap'onat Iyesus gawi jangosh tipeyat Fet'moyi eteyiru aatso bin guurdek'ts datswatse tteshi,
Mimi, Yohana - ndugu yenu na mmoja anayeshiriki pamoja nanyi katika mateso na ufalme na uvumilivu thabiti ulio katika Yesu; nilikuwa katika kisiwa kiitwacho Patimo kwa sababu ya neno la Mungu na ushuhuda kuhusu Yesu.
10 Doonzo aawots Shayirotse t befere gaati k'aarok'o een k'ááro t shuuts weeron hank'o bí eree t shishi,
Nilikuwa katika Roho siku ya Bwana. Nilisikia nyuma yangu sauti ya juu kama ya tarumbeta,
11 «N bek'irwo mas'aafats guud'de'er shawat Ik' moowwots maants etonwere Efeson maants, Semrnes maants, T'ergamon maants, Tyat'ros maants, Serdes maants, Filadelfiyo maants, Lodok'iyo maantswere woshowe.»
ikisema, “andika katika kitabu unayo yaona, na uyatume kwa makanisa saba, kwenda Efeso, kwenda Smirna, kwenda Pergamo, kwenda Thiatira, kwenda Sardi, kwenda Philadelphia, na kwenda Laodikia.”
12 Kon taash keewtsok'o danosh t shuutso maants wongr tieti, wongr tiettsok'onowere shawat c'eesho kuriru awntson doozetswotsi t bek'i,
Nikageuka kuona ni sauti ya nani aliyekuwa akiongea nami, na nilipogeuka niliona kinara cha dhahabu cha taa saba.
13 C'eeshi bewoki talotsnowere ash na'a artso tbek'i, bíwere b́ tufok b́ borfetso geenz taho tahdek't, b́ gerats awntsi edo eddek'ke b́ teshi.
Katikati ya kinara cha taa alikuwemo mmoja kama Mwana wa Adamu, amevaa kanzu ndefu iliyofika chini ya miguu yake, na mkanda wa dhababu kuzunguka kifua chake.
14 B́ tookonat b́ took s'iron shetsonat sufiyok'o nas'a b́ teshi, bí ááwwotswere taw at'ok'one bo teshi,
Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe kama theluji, na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto.
15 b́ tufuwotswere taw k'ak'otse wos'wutsts k'aazok'o arkno bo teshi, b́ k'aaronúwere een aats fuundi k'aarok'owiye b́ teshi,
Nyayo zake zilikuwa kama shaba iliyosuguliwa sana, kama shaba ambayo imekwisha pitishwa katika moto, na sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi yanayotiririka kwa kasi.
16 B́ k'ani kishon shawat k'eenwotsi detsdek'tni b́ teshi, git weeron shash wotts shiki gorado b́ nonotse b́ keshfere b́ teshi, b́ shiits jami sháánonwere aaw taali aaw sháánok'oyiye b́ teshi.
Alikuwa ameshikilia nyota saba katika mkono wake wa kuume, na kutoka kinywani mwake kulikuwa na upanga mkali wenye makali kuwili. Uso wake ulikuwa uking'aa kama mwanga mkali wa jua.
17 Bín t bek'tsok'on k'irts ashok'o wotat b́ tufi shirots dih tuutsi, bímó b́ k'ani kisho tiyats gedt hank'o b́'eti, «Shatk'aye, shintsonat s'uwaatstson taane,
Nilipomwona, nikaanguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu na kusema, “Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa Mwisho,
18 Taa beyar beetk taane, k'iratniye tteshi, ernmó hambe dúre dúrosh beyar beetk taane, k'ironat Si'oli k'eshit k'ulfiwotsi detsfe. (aiōn , Hadēs )
na ambaye ninaishi. Nalikuwa nimekufa, lakini tazama, ninaishi milele! Na ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn , Hadēs )
19 Eshe nbek'tso and fa'onat shuutsomaand wetwon guud'e.
Kwa hiyo, yaandike uliyoyaona, yaliyopo sasa, na yale yatakayotokea baada ya haya.
20 T k'ani kishatse nbek'iru shawat k'enwotsnat shawat awntson dozets c'eesho biyats gedetwots ááshts keewo haniye, shawat k'eenwots shawat Ik' moowwots atsi, Ik'i melakiwotsiye, shawat c'eesh boats gedetswotsu shawat Ik' moowwtsiye.»
Kwa maana iliyojificha kuhusu nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kuume, na kile kinara cha dhahabu cha taa saba: nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba, na kinara cha taa saba ni yale makanisa saba.”