< Matiwos Dooshishiyo 12 >
1 Iyesus manoori sanbati aawon sndeyi taari taalotsna b́beshefere b́tesh, b́ danifwots k'ak'wtsat boteshtsotse sndeyi motso k'ut'dek't moo dek't botuwi.
Wakati huo, Yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano siku ya Sabato. Basi, wanafunzi wake wakaona njaa, wakaanza kukwanyua masuke ya ngano, wakala punje zake.
2 Ferisawino eteefwots man bek't Iyesussh, «S'iile! n danifwots sanbati aawon k'alk'ayere eteetso bo k'aliri!» boeti.
Mafarisayo walipoona hayo, wakamwambia Yesu, “Tazama, wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato.”
3 Iyesuswere boosh hank'o bíet, «Dawitnat bínton teshts ashuwots k'ak'at boteshor Dawit b́ k'altso b́jamon nababeratsteya?
Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa?
4 Bí Ik'o moots kindt kahniwotsiyere okoon bín wotowa bínton teshtswotsi wotowa bomarawok'o nemon baziyetso, S'ayin tusho b́meyi.
Yeye aliingia katika Nyumba ya Mungu pamoja na wenzake, wakala ile mikate iliyowekwa mbele ya Mungu. Yeye wala hao wenzake hawakuruhusiwa kula mikate hiyo isipokuwa tu makuhani peke yao.
5 Ando kahniwots sanbati aawon Ik' mootse finefetsr sanbati niwo bokimshor naand wotar boats b́tawerawok'o Muse weeron imetso nemotse guut'etso nababeratsteya?
Au je, hamjasoma katika Sheria kwamba kila siku ya Sabato makuhani huivunja Sheria Hekaluni, lakini hawafikiriwi kuwa na hatia?
6 S'uznmó Ik' mooniyere bogo hambe! hanoke b́fa'oni etirwe itsha.
Basi, nawaambieni kwamba hapa pana kikuu kuliko Hekalu.
7 Ando aani ‹Taa t geyirwo mhretiya bako woshaliyee› etiru mas'aafi keewirwo eeg b́ wottsok'o it t'iwintsink'ere morro deshaw ashuwotsats angshrawnk'tee b́teshi.
Kama tu mngejua maana ya maneno haya: Nataka huruma wala si dhabihu, hamngewahukumu watu wasio na hatia.
8 Ash na'o dab sanbatoshor doonze.»
Maana Mwana wa Mtu ni Bwana wa Sabato.”
9 Beyok manoke tuut Iyesus ayhudi Ik' k'oni moots b́ kindi,
Yesu alitoka hapo, akaenda katika sunagogi lao.
10 Manoknowere b́kish iko lasha'ats ash iko fa'e b́tesh, Iyesusi bín bodetset keewo geyiru ik ik ashuwots, «Sanbati aawots shodtswotsi kashiyo nemotse fa'a?» eton bo'aati.
Kulikuwa na mtu mmoja mwenye mkono uliopooza. Basi, watu wakamwuliza Yesu, “Je, ni halali kumponya mtu siku ya Sabato?” Walimwuliza hivyo wapate kisa cha kumshtaki.
11 Iyesuswere hank'o boosh bíet, «Ititse mereer iko detstso, b́ mereero sanbati aawots gop'ots b́shirotse b́fed'iyal geetsde kishrawo kone?
Lakini Yesu akawaambia, “Tuseme mmoja wenu ana kondoo wake ambaye ametumbukia shimoni; je, hatamshika na kumtoa humo siku ya Sabato?
12 Eshe, asho mereeroniyere aawk'owe bog k'awntsetsi woto b́k'azeti! Manshe sanbati aawon sheeng keewo fino baziyekaliye.»
Mtu ana thamani kuliko kondoo! Basi, ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”
13 Maniyere il Iyesus b́kish lasha'ats ashosh, «N kisho jargwe» bí'et. Bíwere b́ jargree b́kisho kashwtsat ari b́ kish jeenok'o wotb́wtsi.
Kisha akamwambia yule mtu, “Nyosha mkono wako.” Akaunyosha, nao ukawa mzima kabisa kama ule mwingine.
14 Ferisawino eteefwotsmó, manoke kesht Iyesusi aawk'o k'alde'er boúd'itwok'o shiyeyo dek'botuwi.
Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu.
15 Iyesusmó bo t'awi gondo dank'rat beyokmanoke k'azb́tuwi, ay ashuwotswere b́ shuutso shoydek't boami, shodts jamwotsnowere b́ kashiyi.
Lakini Yesu alipojua jambo hilo, akatoka mahali pale. Watu wengi walimfuata, akawaponya wagonjwa wote,
16 Ash ashuwotsshmó b́ jango konshor bokeewrawok'o kup'sh dek't bíazazi,
akawaamuru wasiwaambie watu habari zake,
17 Han b́wotwere nebiywo Isayasn bek'on keewetso b́s'eenishe.
ili yale aliyosema nabii Isaya yatimie:
18 «Hambe! galtdek'tso tguutsoni! Bíye taa tshnfonat bín tgeneeúwitwoniyee, T shayiro bíats beezitwe, Bíwere kááwts angsho ashuwotssh kuh keewitwe.
“Hapa ni mtumishi wangu niliyemteua, mpendwa wangu anipendezaye moyoni. Nitaiweka Roho yangu juu yake, naye atatangaza hukumu yangu kwa mataifa yote.
19 Bí mooyatsee, wee kúheratse, Weer weeratsnowere b́ k'ááro shishetwo aaliye,
Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani.
20 Bí k'is'ets eltono dab tishatsee, S'úwiru gagi c'eeshonor takratsee, Man b́k'alirwere kááwts angsho da'a b́dek'fetsoshe.
Mwanzi uliopondeka hatauvunja, wala utambi ufukao moshi hatauzima, mpaka atakapoifanya hukumu ya haki itawale.
21 Ik' ashwotera ashuwots bín jangitúne.»
Katika jina lake mataifa yatakuwa na tumaini.”
22 Maniyere il shed'ano bín s'eents ash iko ááwu dogonat gidik'o Iyesusok dek't boweyi, bíwere bín b́kashi, ashmanwere bek'onat noon keewon b́ fali.
Hapo watu wakamletea Yesu kipofu mmoja ambaye alikuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo. Yesu akamponya hata, akaweza kusema na kuona.
23 Ash jamo adt, «Han Dawit naayi wotifa k'úúna?» boeti.
Umati wote wa watu ulishangaa ukasema, “Je, huenda ikawa huyu ndiye Mwana wa Daudi?”
24 Ferisawino eteefwotsmó man boshishtsok'on «bí ‹Beel Zebuli› eteets Shed'ani naashona bako Sheed'no kishratsee» boeti.
Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, wakasema, “Mtu huyu anawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo.”
25 Ieyesuswere bo asaabiyo dank'rat boosh hank'o bíet «Ik mengesto kayeyarr bí atsatsewo b́gawetka wotiyal mengst man dihe b́dihiti. Mank'o kit iko wee ik maa asho bíatsatsewo b́ k'aleyal kup'arr beyo falratse.
Yesu, akiwa anayajua mawazo yao, akawaambia, “Ufalme wowote uliogawanyika makundimakundi yanayopingana, hauwezi kudumu, na mji wowote au jamaa yoyote iliyogawanyika makundimakundi yanayopingana, itaanguka.
26 Shed'anonwere Shed'ano b́kishitka wotiyal bíatsatsewo k'alere etee, eshe, b́ mengsto aawk'oneya kup'arr beyo b́faliti!
Ikiwa Shetani anamfukuza Shetani, anajipinga mwenyewe. Basi, ufalme wake utasimamaje?
27 Eshe, taa fo'erawotsi t kishir Beelzebulna wotiyal, it nanaonmó eegoneya bokishiri? Manshe it nana'uwots itats angshitune.
Ninyi mnasema ati nawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli; je, watoto wenu huwafukuza kwa uwezo wa nani? Kwa sababu hiyo wao ndio watakaowahukumu ninyi.
28 Taa fo'erawo tkishir Ik'i shayrona wotiyal eshe Ik'i mengstu itmaants waarane etee.
Lakini ikiwa ninawafukuza pepo kwa nguvu ya Roho wa Mungu, basi jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu.
29 Ando ash iko shino kúp'o b́tifawo kúp'man moots kindr b́ detstso biik'o aawk'o k'alrniya b́faliti.
“Au, anawezaje mtu kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang'anya mali yake, bila kwanza kumfunga huyo mtu mwenye nguvu? Hapo ndipo atakapoweza kumnyang'anya mali yake.
30 Taanton woteraw jamó taank'eefitkee, taanton kakurawo bad'iye b́bad'iri.
“Yeyote asiyejiunga nami, anapingana nami; na yeyote asiyekusanya pamoja nami, hutawanya.
31 Mansh asho aawnari morro b́finitwosh wee c'ash jamosh oorowe eto daatsitwe etirwe itsha, S'ayin shayiro c'ashetu jamoshmó b́ morro bísh oorowe eteeratse.
Kwa sababu hiyo, nawaambieni, watu watasamehewa dhambi na kufuru zao zote, lakini hawatasamehewa dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu.
32 Ash na'o c'ashetu jamo b́ morro bísh oorowe eto daatsitwe. S'ayin shayiro c'ashetu jamonmó datsanatse wotowa weet datsatse b́ morro bísh oorowe eteeratse. (aiōn )
Tena, asemaye neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa, lakini yule asemaye neno la kumpinga Roho Mtakatifu, hatasamehewa, wala katika ulimwengu huu, wala katika ulimwengu ujao. (aiōn )
33 «Mit jamo b́ shuwon b́ danefotse miti sheengo detso itsh geyife, b́ shuwonwere sheeng wotitwe, mito gond b́wotiyalmó b́ shuwonwere gonde b́wotefoni.
“Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake yatakuwa mema; ufanyeni kuwa mbaya na matunda yake yatakuwa mabaya. Mti hujulikana kwa matunda yake.
34 It dawnzi nana'otso! gondwotsi wotefetsat sheeng keewo keewosh awuk'o k'alrniya it faliti? Asho b́ nonotse b́ keewirwo b́ nibotse s'eent oortsoniye.
Enyi kizazi cha nyoka! Mnawezaje kusema mambo mema hali ninyi ni waovu? Maana mtu husema kutokana na yale yaliyojaa moyoni.
35 «Ash sheengo b́ nibi sheengotse s'eents sheeng keewo kishitwe, gond ashonwere b́ nibi gondotse s'eents gond keewo kishitwe.
Mtu mwema hutoa mambo mema katika hazina yake njema; na mtu mbaya hutoa mambo mabaya katika hazina yake mbaya.
36 Ariko itsh keewirwe, ashuwots kaashk'on bokeewiru aap' ik ikosh angshi aawots boon aatetwee.
“Basi, nawaambieni, Siku ya hukumu watu watapaswa kujibu juu ya kila neno lisilofaa wanalosema.
37 Ni aap'tsatse tuutson neesh angshetwe, n aap'ts aap'atse tuutson ni'ats angshetwe.»
Maana kwa maneno yako, utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako, utahukumiwa kuwa na hatia.”
38 Manoor nem danif ik ikwotsnat ferisawino etefwotsn Iyesussh, «Danifono! adits milikito n finere bek'osh geefone!» bo et.
Kisha baadhi ya walimu wa Sheria na Mafarisayo wakamwambia Yesu, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”
39 Wotowa bako hank'o ettni boosh bíaaniy «Gondonat amaneraw s'oot'o adits milikito bek'o geefe, wotowa eree nebiyiwo Yonas dúri adits milikitoniyere okoon k'osho adits milikito imeratse.
Naye akawajibu, “Kizazi kiovu kisicho na uaminifu! Mnataka ishara; hamtapewa ishara nyingine, ila tu ile ishara ya nabii Yona.
40 Yonas mus'i eeno maac'otse keez aawonat keez t'úwon b́ beshiyitsok'o, mank'o ash na'o dowootse keez aawonat keez t'úwon beshiyitwe.
Jinsi Yona alivyokaa siku tatu kutwa kucha tumboni mwa nyangumi, ndivyo naye Mwana wa Mtu atakavyokaa ndani ya ardhi siku tatu kutwa kucha.
41 Nenewe kitutsi ashuwots angshi aawots and dúranatse s'oot'anotsnton tuur bíyats angshitunee, Nenewe ashuwots Yonas nabtso bo shishor bo morrosh goynat naandrone etrne. Andmó Yonasiyere bogo hanoke fa'e.
Watu wa Ninewi watatokea siku ya hukumu, nao watakihukumu kizazi hiki kwamba kina hatia. Maana Waninewi walitubu kwa sababu ya mahubiri ya Yona, na kumbe hapa kuna kikuu kuliko Yona!
42 Múúrtsu naashú Solomon dani teleefo k'ebosh dats daaratse b́watsotse angshi aawots andi dúri s'oot'anotsnton tuur bo atsats angshitwaniyee, andmó Solomoniyere bogo hanoke fa'ee.»
Malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, naye atakihukumu kwamba kina hatia. Maana yeye alisafiri kutoka mbali akaja kusikiliza maneno ya hekima ya Solomoni, na kumbe hapa kuna kikuu kuliko Solomoni.
43 Haniye il Iyesus hank'owa bí'et, «Kim shayiro ash atsotse b́keshor kash b́dek'etwoko geyaarr aats aaloke shuuk' beyok b́gúúriti. Wotowa eré daatsratse,
“Pepo mchafu akifukuzwa kwa mtu, huzururazurura jangwani akitafuta mahali pa kupumzika asipate.
44 Mansh ‹T keshts moots aanarr amna› bíetet. Aanarr b́woorowere, b́ maaman baash wotaarr, s'ayinr, k'anwtsarr b́befere daatsitwe.
Hapo hujisemea: Nitarudi nyumbani kwangu nilikotoka. Lakini anaporudi na kuikuta tupu, imefagiwa na kupambwa,
45 Maniye okoon, kim shayiro amr bíyere gondts k'osh shawat Fo'erawwotsi de'er b́weti. Bowere shin Fo'erawman maa teshts asho atsotse kindde'e towaar bítse bobeti. Mansh ashman beyo baltsoniyere iltso iki gonde b́woiti. Gond dúranatsi s'oot'anotsats bodetuwonwere han arts keewe.»
huenda kuwachukua pepo wengine saba, wabaya kuliko yeye; na wote huja wakamwingia huyo mtu. Na hali ya mtu huyo sasa huwa mbaya kuliko hapo mwanzo. Ndivyo itakavyokuwa kwa watu hawa waovu.”
46 Iyesus ash ashosh keewoke b́befere, bíndnat bí eshwotsn bínton keeweyo geyat́ úratse bo need'efere botesh. [
Yesu alikuwa bado anasema na umati wa watu wakati mama yake na ndugu zake walipofika na kusimama nje, wakitaka kusema naye.
47 Manoke teshts ashuwotsitse iko Iyesussh, «Hamb nindnat ni eshwotsn neen keewiyosh geeyatniye úratse boned'iri.» bíet.]
Basi, mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kusema nawe.”
48 Wotowa bako Iyesus «Tind kone? Ti eshwots konotsne?» ett bísh bí aaniy.
Lakini Yesu akamjibu mtu huyo, “Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni kina nani?”
49 Maniyere il b́danifwots maants kisho jargdek't kitsfetst hank'o bíet, «Tindnat tieshwots hamb, hanotsiye,
Kisha akaunyosha mkono wake kuelekea wanafunzi wake, akasema, “Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu!
50 Darotse fa'o tnih shuntso k'alitu jamwots tíeshuu, t mishu, tindu bonee.»
Maana yeyote anayefanya anavyotaka Baba yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu na mama yangu.”