< Luk'as Dooshishiyo 22 >
1 Faziga eteets tush meyi bali ááwo mangiyef aawo t'inre b́tesh,
Wakati huu Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, iitwayo Pasaka, ilikuwa imekaribia.
2 K'eesi naashuwots naet Muse nemo danifuwots ash asho boshattsosh Iyesusi deshde boud'it malo ááshon bogeyiri botesh.
Viongozi wa makuhani na walimu wa sheria walikuwa wanatafuta njia ya kumuua Yesu, kwa sababu waliwaogopa watu.
3 Manoor b́ woshtswots tatse gituwotsitse iko Kiriyot dats asho Yihud atsots Shed'ano kindbwuts.
Shetani akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, mmoja wa wale Kumi na Wawili.
4 Mansh Yihud kahniwotsnat Ik'i maa kotfuwotsi jishfok amt Iyesusi awuk'o k'alr boosh beshide b́ imetwok'o bonton b́ keeweyi.
Yuda akaenda kwa viongozi wa makuhani na kwa maafisa wa walinzi wa Hekalu, akazungumza nao jinsi ambavyo angeweza kumsaliti Yesu.
5 Bowere keewmansh gene'uwat gizo bísh imosh keewe bowuts.
Wakafurahi na wakakubaliana kumpa fedha.
6 Bo keewets wulimańnowere wotowe ett ash asho b́ danawo Iyesusi beshi de'er imosh k'anit aawo b́geyiri.
Naye akakubali, akaanza kutafuta wakati uliofaa wa kumsaliti Yesu kwao, wakati ambapo hakuna umati wa watu.
7 Maniye hakon fazigi mereero shukeet tush beno meyi Ik' aawo bod b́guuts.
Basi ikawadia siku ya Mikate Isiyotiwa Chachu, siku ambayo mwana-kondoo wa Pasaka huchinjwa.
8 Iyesus «Fazigi kooc' misho nometwok'o amr k'aniwere» ett P'et'rosnat Yohansn woshbk'r.
Hivyo Yesu akawatuma Petro na Yohana, akisema, “Nendeni mkatuandalie chakula cha Pasaka ili tuweze kuila.”
9 Bowere «Fazigi kooc' misho aawoke no k'aniyetwok'owe n geyi?» ett bínboaati.
Wakamuuliza, “Unataka tukuandalie wapi?”
10 Bíwere boosh hankowa bíet, «Kituts it kindor aats kitef koro kuriru asho daatsitute, b́ shuutso shoyde b́ kindit moots ameree.
Yesu akawaambia, “Tazameni, mtakapokuwa mkiingia mjini, mtakutana na mwanaume amebeba mtungi wa maji. Mfuateni mpaka kwenye nyumba atakayoingia.
11 Moo doonzsh, noon danifo ‹T danifuwotsnton fazigi kooc' misho t metuwoko ibi kashef moo aawoke? etfe› erere bísha.
Nanyi mwambieni mwenye nyumba, ‘Mwalimu anauliza: Kiko wapi chumba cha wageni, ambamo mimi na wanafunzi wangu tutakula Pasaka?’
12 Bíwere dadirotse fa'a es'dek't k'aniyets maa gawuno itsh kitsituwe, manoke k'aniwere.»
Atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani, kikiwa kimepambwa vizuri. Andaeni humo.”
13 B́ danifuwots amt, jam keewo Iyesus ettsok'o wotat b́datseyi, fazigi baaliyo noowere manoke bok'aniyi.
Wakaenda, nao wakakuta kila kitu kama Yesu alivyowaambia. Hivyo wakaiandaa Pasaka.
14 Kooc'misho b́ bodtsok'on Iyesus b́ woshtswotsnton mishi marats beeb́dek'i.
Wakati ulipowadia, Yesu akaketi mezani pamoja na wale mitume wake.
15 Hank'owa boosh biet, «Godbek'o tiats b́ bodftsere shino itnton fazigi koc'mishan moosh ayidek'atni t tewunfoni b́ teshi.
Kisha akawaambia, “Nimetamani sana kuila Pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu.
16 Keewan Ik'i mengstotse arik wotar bbe'efetsosh haniye hakon Fazigi koc'mishan b́ jamon maratse etiruwe itsha?»
Kwa maana, nawaambia, sitaila tena Pasaka mpaka itakapotimizwa katika Ufalme wa Mungu.”
17 Maniye hakoń Iyesus úshi wanc'o k'aau dek't Ik'o b́ údiyakon hank'o biet, «Nayere han kayde'ere,
Akiisha kukichukua kikombe, akashukuru, akasema, “Chukueni hiki mnywe wote.
18 arikon itsh keewiruwe andon de'etuwr Ik'i mengstu bwafetsosh weyini shuwanatse daatsets usho uyatse.»
Kwa maana nawaambia tangu sasa sitakunywa tena katika uzao wa mzabibu, hadi Ufalme wa Mungu utakapokuja.”
19 Iyesus manats dabt misho k'audek't Ik'o b́ údiyakon, b́ danifuwotssh «Nayere, han itsh imetuwo tmetsoniye, han taan gawosh woshde'ere» ett bí im.
Kisha akachukua mkate, akashukuru, akaumega, na kuwapa, akisema, “Huu ni mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.”
20 Mank'o koc'mishoniye okoon ushi wanc'o k'aaúdek't imt boosh hank'o bíet, «Ushe wanc'an it jangosh kud'itwo t s'atsoniye bíats ned'iyet handr taaroniye.
Vivyo hivyo baada ya kula, akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, imwagikayo kwa ajili yenu.
21 «Ernmo taan beshide imetu asho kisho hamb taanton mishi marotse.
Lakini mkono wake huyo atakayenisaliti uko hapa mezani pamoja nami.
22 Ash Na'o b́ jangosh shin keewetsok'on k'irituwe, ernmó Ash Na'o beshide imetu ashmansh indowe bísha!»
Mwana wa Adamu anaenda zake kama ilivyokusudiwa. Lakini ole wake mtu huyo amsalitiye.”
23 Bowere «Noyitse keewan k'alituwo kone?» ett boatsatsewo moosho dek'botu.
Wakaanza kuulizana wenyewe ni nani miongoni mwao angeweza kufanya jambo hilo.
24 Manats dabt bo, «Nounetsitse bogo kone?» ett moosho dek't botuu.
Pia yakazuka mabishano katikati ya wanafunzi kwamba ni nani aliyeonekana kuwa mkuu kuliko wote miongoni mwao.
25 Iyesusmó hank'o boosh bíeti, «Ik' ash woterawwots naashuwots ash ashaatse alo detsfne, dats keewtswotswere ashosh sheeng k'alfwotsi etetuwe,
Yesu akawaambia, “Wafalme na watu wa Mataifa huwatawala watu kwa nguvu. Nao wenye mamlaka juu yao hujiita ‘Wafadhili.’
26 Itmó bokok'o woto itsh geyiratse, maniyere ititse een wottso b́ beyal muk' wotowa, jishtsi wottso guutsok'o wotowe.
Lakini ninyi msifanane nao. Bali yeye aliye mkuu kuliko wote miongoni mwenu, inampasa kuwa kama yeye aliye mdogo wa wote, naye atawalaye na awe kama yeye ahudumuye.
27 Mishimarats bedek't meyiruwonat need'dek't manziruwotse awune enoni? Eena eteefoni mishi maratse bedek'tsoniyoshna? Taamó it dagotse guutsok'o taane.
Kwani ni nani aliye mkuu? Ni yule aketiye mezani au ni yule ahudumuye? Si ni yule aliyekaa mezani? Lakini mimi niko miongoni mwenu kama yule ahudumuye.
28 It taa gondo tbek'or jamon taanton kup'atniye it teshi.
Ninyi mmekuwa pamoja nami katika majaribu yangu.
29 Mansh t nih taan b́ naashitsok'o taawere it naashituwe.
Nami kama Baba yangu alivyonipa ufalme, kadhalika mimi nami ninawapa ninyi,
30 T mengstotse mishi maratse bede'er meetute, úshetute, naashi jooratse bede Isra'el naar tatse gituwotsats angshitute.»
ili mpate kula na kunywa mezani pangu katika karamu ya ufalme wangu, na kukaa katika viti vya enzi, mkihukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.”
31 Manats dabt Iyesus hank'o bíet, «Smonoo! Smonoo! hmb, goshtso b́ sndeyi buyo as'de b́ galfook'o Shed'ano iti as'baze b́geyi.
Yesu akasema, “Simoni, Simoni, sikiliza, Shetani ameomba kuwapepeta ninyi wote kama ngano.
32 Ernmó ni imnetiyo b́ t'afrawok'o taa neesh Ik'o k'onituwe, ando aani ni anorowere nieshuwotsi kup'iwe.»
Lakini nimekuombea wewe Simoni ili imani yako isishindwe, nawe ukiisha kunirudia, uwaimarishe ndugu zako.”
33 P'et'roswere «Doonzono! tip wotowa, k'ir wotowa neenton amoosh k'ank taane!» bíet.
Petro akajibu, “Bwana, niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani na hata kifoni.”
34 Iyesusmó aniydek't, «P'et'rosoo! hambets baako b́ k'adfetsere, ‹Neen danatse› err keezoto taan haalitune etfe» bí et.
Yesu akamjibu, “Ninakuambia Petro, kabla jogoo hajawika usiku wa leo, utakana mara tatu kwamba hunijui mimi.”
35 Maniye hakon Iyesus b́ danifuwotssh, «Gizosh k'arc'ito, borso, c'amono it kishatse alo iti t woshor itsh shaptso fa'a b́teshi?» boosh bí et. Bowere «Eegor noosh shapts keewo aaliye» ett bísh boaaniy.
Kisha Yesu akawauliza, “Nilipowatuma bila mfuko, wala mkoba, wala viatu, mlipungukiwa na kitu chochote?” Wakajibu, “La, hatukupungukiwa na kitu chochote.”
36 Iyesuswere boosh aaniy hank'owa biet, «Andmó gizo, borsono detstso, k'aau de'e, shiki gorado deshawonwere b́ taho kemr shiki gorado kewude'e
Akawaambia, “Lakini sasa, aliye na mfuko na auchukue, na aliye na mkoba vivyo hivyo. Naye asiye na upanga, auze joho lake anunue mmoja.
37 T jangosh shin guut'ets jamo fin isho bgeyitsotse ‹Gondwotsnton taawere› etiruwo S'ayin mes'afotsi keewo ti atse wot b́ s'uwo geyife etre itsha.»
Kwa sababu, nawaambia, andiko hili lazima litimizwe juu yangu, kwamba, ‘Alihesabiwa pamoja na wakosaji’; kwa kweli yaliyoandikwa kunihusu mimi hayana budi kutimizwa.”
38 B́ danifuwotswere «Doonzono! hamb git shiki goraduwots fa'ane!» bo eti. Bíwere «bodfne!» boosh bíet.
Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, tazama hapa kuna panga mbili.” Akawajibu, “Inatosha.”
39 Iyesus kitutse kesht b́ doyok'o Debrezeyit guromants bíami, b́ danifuwotsuwere bínton boam.
Yesu akatoka, akaenda kwenye Mlima wa Mizeituni kama ilivyokuwa kawaida yake, nao wanafunzi wake wakamfuata.
40 Manok bobodtsok'on Iyesus, «Fadeyots it kindrawok'o Ik'o k'onuwere» bí eti.
Walipofika huko, akawaambia wanafunzi wake, “Ombeni, msije mkaingia majaribuni.”
41 Maniyehakon shúts sha'ubetsok'o boatse wokdek't bíam, tuk'mal dek't hank'o ett Ik'o b́k'on,
Akajitenga nao kama umbali wa kutupa jiwe, akapiga magoti, akaomba
42 «Nihono! nshunka wotiyale tiats bodosh etiru kic'i wanc'an tiatse wokiwe, ernmó nee niettsok'owabako taa tiettsok'o wotk'aye.»
akisema, “Baba, kama ni mapenzi yako, niondolee kikombe hiki. Lakini si kama nipendavyo, bali mapenzi yako yatendeke.”
43 Manoor bin kupiit melakiyo darotse waat́ bíats be'e b́wutsi.
Malaika kutoka mbinguni akamtokea, akamtia nguvu.
44 B́ nibotsnowere ayidek't kic'efetst kup'idek't Ik'o b́k'oniri b́teshi, b́s'azonuwere s'atsok'o wotat datsatsa b́s'oriri b́tesh.
Naye akiwa katika maumivu makuu, akaomba kwa bidii, nalo jasho lake likawa kama matone ya damu yakidondoka ardhini.
45 Ik' b́ k'onirwoke tuut b́ danifuwotsok b́waa, ayi dek't boshiyantsatse tuutson nefat k'eewutsat bobefere wadatst boosh hank'o bíet,
Baada ya kuomba, akawarudia wanafunzi wake akawakuta wamelala, wakiwa wamechoka kutokana na huzuni.
46 «Eegishe it k'eyiri? Maniyere fadeyots itkindrawok'o tuur Ik'o k'onuwere.»
Naye akawauliza, “Mbona mmelala? Amkeni, mwombe ili msije mkaingia majaribuni.”
47 Iyesus man keewoke b́befere, ay ashuwots waa bokesh, boon jishiruwonuwere tatse gituwotsits wottso iko Yihudi b́tesh, Yhud bín jobosh b́ maants t'nb́dek'.
Yesu alipokuwa bado anazungumza, umati mkubwa wa watu ukaja. Uliongozwa na Yuda, ambaye alikuwa mmoja wa wale wanafunzi Kumi na Wawili. Akamkaribia Yesu ili ambusu.
48 Iyesusmó «Age Yhudo! Ash Na'o jobon beshide imisheya?»
Lakini Yesu akamwambia, “Yuda, je, unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu?”
49 Iyesusnton teshts b́danifuwots keewuan b́ wottsok'o bobek'tsok'on «Doonzono! shiki goradon jod'onowa?» bo et.
Wafuasi wa Yesu walipoona yale yaliyokuwa yanakaribia kutokea, wakasema, “Bwana, tuwakatekate kwa panga zetu?”
50 Boyitsnowere iko kahni naasho guutso shiki goradon k'es'dek't b́k'ani waazo k'ut'b́k'r.
Mmoja wao akampiga mtumishi wa kuhani mkuu kwa upanga, akamkata sikio la kuume.
51 Iyesusmo «K'aye! hank'o keewo aani k'alk'aye!» bí et, Asho wazonowere shu'udek't kashi b́k'ri.
Lakini Yesu akasema, “Acheni!” Akaligusa lile sikio la yule mtu na kumponya.
52 Maniye hakon Iyesus bin detsosh waats k'eesi naashuwotsi, Ik' maa kotfuwotsatsi altsuwotsnat ashitsi eenashuwotsnsh hank'o bí et «Taan wombedewok'o detsoshe shiki goradonat gumbo dek'atniya it weyiri?
Kisha Yesu akawaambia wale viongozi wa makuhani, maafisa wa walinzi wa Hekalu, pamoja na wazee waliokuwa wamekuja kumkamata, “Mmekuja na panga na marungu, kana kwamba mimi ni mnyangʼanyi?
53 Aawu aawon itnton Ik' mootse t daatsewor taan t teshor, andmo it aawonat t'aluwotse altsosho bo ááwe.»
Siku kwa siku nilikuwa pamoja nanyi Hekaluni lakini hamkunikamata. Lakini hii ni saa yenu, wakati giza linatawala!”
54 Maniye hakon ash ashuwots Iyesusi detsdek't k'eesi naasho mook dek't bowaa, P'et'rosuwere wokoon b́shuutso b́ shi'iri.
Kisha wakamkamata Yesu, wakamchukua, wakaenda naye mpaka nyumbani kwa kuhani mkuu. Lakini Petro akafuata kwa mbali.
55 Ash ashuwots kas'otse tawo deshidek't ikoke bedek'tni botesh. P'et'oswere waat towat be b́dek'i.
Walipokwisha kuwasha moto katikati ya ua na kuketi pamoja, Petro naye akaketi pamoja nao.
56 P'et'ros tawu ganok b́befere gon iku tawu shanatse bek'bk'ri, b́ maants t'iwintsdek' s'iilat «Hanwor Iyesusntoni b́teshi!» bi et.
Mtumishi mmoja wa kike akamwona kwa mwanga wa moto akiwa ameketi pale. Akamtazama sana, akasema, “Huyu mtu pia alikuwa pamoja na Yesu!”
57 P'et'rosmó, «Nee ashune! taa bín danatse!» jamere bí et.
Lakini Petro akakana, akasema, “Ewe mwanamke, hata simjui!”
58 Muk'i tesht k'osh ash iko P'et'rosi bek't «Neewor boyitsi iko neene!» bí et. P'et'rosmó «Ashono neena! taanaliye!» bí et.
Baadaye kidogo, mtu mwingine alimwona Petro akasema, “Wewe pia ni mmoja wao!” Petro akajibu, “Wewe mtu, mimi sio mmoja wao!”
59 Ik sa'atok'o tesht k'osh ash iko P'et'rossh «Ashaahan Gelil dats ash b́wottsotse arikon bíntoniye b́teshiye!» ett kup'idek't b́ keewi.
Baada ya muda wa kama saa moja hivi, mtu mwingine akazidi kusisitiza, “Kwa hakika huyu mtu naye alikuwa pamoja na Yesu, kwa maana yeye pia ni Mgalilaya.”
60 P'et'rosmó, «Ashono neena! ni etiruman danatse!» bí et. Man keewoke b́befere manoor baako b́ k'adi.
Petro akajibu, “Wewe mtu, mimi sijui unalosema!” Wakati huo huo, akiwa bado anazungumza, jogoo akawika.
61 Manoor doonzo Iyesus wongr ett P'et'rosi b́ s'iil, P'et'roswere «Hambets bako keezoto b́k'adfetsosh taan danatse er haalitune» ett doonzo Iyesus b́ keewutso gawubdek'i.
Naye Bwana akageuka, akamtazama Petro. Ndipo Petro akakumbuka lile neno ambalo Bwana alimwambia: “Kabla jogoo hajawika leo, utanikana mara tatu.”
62 Urats kesht ayidek't bí eep.
Naye akaenda nje, akalia kwa majonzi.
63 Manoor Iyesusi detsdek't teshts ashuwots bíyats trgic'o kashfetst bín botogiri.
Watu waliokuwa wanamlinda Yesu wakaanza kumdhihaki na kumpiga.
64 B́ shitsonowere p'urifetst, «Kone neen togtsoni? Nebiyi nwotiyal aab dane?» boetfera botesh.
Wakamfunga kitambaa machoni na kumuuliza, “Tabiri! Tuambie ni nani aliyekupiga?”
65 Bíats ay keewo keewufets bín boc'ashiri botesh.
Wakaendelea kumtukana kwa matusi mengi.
66 Gatsb́wutstsok'on dats naashuwots, kahni naashuwots, Muse nemo danifuwots ikok kakuwebogutsi, Iyesusnowere jebats dek'bowa.
Kulipopambazuka, baraza la wazee wa watu, yaani viongozi wa makuhani na walimu wa sheria, wakakutana pamoja, naye Yesu akaletwa mbele yao.
67 Hank'o ett bísh bokeewu «Ab nee Krstos neena wotiyal noosh keewwe, » Biimo boosh hank'owa bíet, «Itsh t keewiyalo taan amaneratstere,
Wakamwambia, “Kama wewe ndiye Kristo, tuambie.” Yesu akawajibu, “Hata nikiwaambia hamtaamini.
68 Iti tiatiyalo taash aniratsteree,
Nami nikiwauliza swali, hamtanijibu.
69 Ernmó haniyehakon Ash na'o kup' Ik'o k'ani aaromand bedek'etuwe.»
Lakini kuanzia sasa, Mwana wa Adamu ataketi mkono wa kuume wa Mungu Mwenye Nguvu.”
70 Jametswots Ik wotdek't «Eshe nee Ik'o naay neeneya?» et bo aati.
Wote wakauliza, “Wewe basi ndiwe Mwana wa Mungu?” Yeye akawajibu, “Ninyi mwasema kwamba mimi ndiye.”
71 Bowere «Eshe eeg gawe noosh b́ geyiti? Hamb b́ nonatse keshtso no notokon shishrone!» bo et.
Kisha wakasema, “Tuna haja gani tena ya ushahidi zaidi? Tumesikia wenyewe kutoka kinywani mwake.”