< Luk'as Dooshishiyo 18 >
1 Maniye hakon, Iyesus bo tahrawon jam aawo Ik' k'ono boon b́ geyituwok'owo daniyosh aryidek't hank'o ett boosh b́ keewu,
Kisha akawaambia mfano wa namna wanavyopaswa kuomba daima, na wasikate tamaa.
2 «Kit ikutse Ik' sharawo, ashono jitseraw naash iko fa'e b́teshi.
akaisema, 'Kulikuwa na hakimu katika mji fulani, ambaye hakuwa anamwogopa Mungu na hakuwaheshimu watu.
3 Kit manitse keniyal t'owu mááts ikunu bbefo, bi naashmanok waat ‹T balangaronton t detsts moosho taash angshwe!› bi etfoni.
Kulikuwa na mjane katika jiji hilo, naye alimwendea mara nyingi, akisema, 'Nisaidie kupata haki dhidi ya mpinzani wangu.'
4 Bíwere bish b́ k'oorrawon ayo b́ ja'a, ilmó hank'o ett bíasabi, ‹Dab Ik'o shato tk'azalor, ashono jitso t k'azalor,
Kwa muda mrefu hakuwa tayari kumsaidia, lakini baada ya muda akasema moyoni mwake, `Ingawa mimi simwogopi Mungu au kuheshimu mtu,
5 T'owu máátsan taan k'eezo bazaat taan b taahitsotse bish k'oorituwe, maniyalbako uni aawo anaanar taane b tahiyiti.› »
lakini kwa vile huyu mjane ananisumbua nitamsaidia kupata haki yake, ili asije akanichosha kwa kunijia mara kwa mara. ''
6 Manats dabt Doonzo Iyesus hank'owa bíet, «Mor gond naashman keewtsman t'iwintsde'ere,
Kisha Bwana akasema, 'Sikiliza alivyosema huyo hakimu dhalimu.
7 Eshe Ik'o, t'uwe aawo kuh dek't k'oniru bí ashuwotssh angshiyalkeyá? Batarnmó boosh b́ k'alitwo jaítúwáá?
Je Mungu pia hataleta haki kwa wateule wake ambao wanamlilia mchana na usiku? Je, yeye hatakuwa mvumilivu kwao?
8 B ja'arawon karr boosh k'oorituwe etiruwe. Ernmó taa Ash Na'o aanar t woor datsatse imnetiyo datsifak'una?»
Nawaambia kwamba ataleta haki kwao upesi. Lakini wakati Mwana wa Adamu atakapokuja, je, atakuta imani duniani? '
9 Manats dabt Iyesus Ik' shuntsok'on beyiruwots noone etfetst it'fetst koshuwotsi gac'iru ashuwotssh aryidek't man b́keewu.
Ndipo akawaambia mfano huu kwa baadhi ya watu ambao wanajiona wenyewe kuwa wenye haki na kuwadharau watu wengine,
10 «Git ashuwots Ik' k'onosh, Ik'i moo maants bo am. Iko ferisawiya eteyiruwo b́ wotor ikonmó t'ilish ko'ika b́tesh.
'Watu wawili walipanda kwenda hekaluni kusali: mmoja Mfarisayo mwingine mtoza ushuru.
11 «Ferisawiya eteyiruman b́nibotse hank'o ett Ik'o b́ k'on, ‹Ik'ono! taa k'osh ashuwotskok'o bik'tsi, weral fintso, widetso wot tk'aztsosh neesh udo boree, bitsnor t'ilish ko'ifank'o wototk'aztsotse neen udere.
Farisayo akasimama akaomba mambo haya juu yake mwenyewe, 'Mungu, nakushukuru kwa vile mimi si kama watu wengine ambao ni wanyang'anyi, watu wasio waadilifu, wazinzi, au kama huyu mtoza ushuru.
12 Taa ik gawiyotse git aawo s'oomiruwe, t daatsiru jamotse tatslo kishdek'at imiruwe.›
Nafunga mara mbili kila wiki. Natoa zaka katika mapato yote ninayopata. '
13 «T'ilish ko'ifmanmo wokoon need'dek't́, daromaand kááwdek' s'ilosh dab shatfetstni b́tesh, ernmó b́ kishon b́ gero k'is'fetst, ‹Ik'ono! taa morretsk tane taash maac'o k'ewowe!› bí etiri,
Lakini yule mtoza ushuru, alisimama mbali, bila hakuweza hata kuinua macho yake mbinguni, akagonga kifua chake akisema, 'Mungu, nirehemu mimi mwenye dhambi.'
14 Ik'i shinatse kaawu wotat b́ gal antso eshe t'ilsh ko'ifmaniye bako ferisawiya eteyirumaniyaliye etiruwe itsha, b́ tooko damb detsiru jamoniye dash oot'etwe, b́ tooko dashan detsirwonmo dambaan keshetuwe.»
Nawaambia, mtu huyu alirudi nyumbani akiwa amehesabiwa haki kuliko yule mwingine, kwa sababu kila ajikwezaye atashushwa, lakini kila mtu anayejinyenyekeza atainuliwa. '
15 Ashuwots nana'o b́ shú'ituwok'o Iyesus maants dek't bowáá, b́ danif'uwots man bek't boon fayi.
Watu walimletea watoto wao wachanga, ili aweze kuwagusa, lakini wanafunzi wake walipoona hayo, wakawazuia.
16 Iyesusmó nana'uwotsi b́ maants s'eegdek't hank'owa bíet, «Ik'i mengstu hanots k'owuwotssh b wottsotse nana'uwotsi k'ayere tmaants wonee, bazik'ayere.
Lakini Yesu akawaita kwake akisema, 'Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie. Maana ufalme wa Mungu ni wa watu kama hao.
17 Arikoniye itsh tkeewiri! Ik'i mengtu na'i marmat'ok'o wotar de'awoniye konuwor b́wotiyal bits kindratse.»
Amin, nawaambia, mtu yeyote asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto ni dhahiri hatauingia. '
18 Ayhudi naashuwotsitse iko Iyesussh, «Danif doowono, dure dur kasho daatsosh eeg k'alo taash geyifa?» ett bíaatí. (aiōnios )
Mtawala mmoja akamwuliza, akisema, 'Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?' (aiōnios )
19 Iyesuswere «Eegoshe doowono taash nietiri? Ik' ikoniyere okoon doowo konuwor aaliye.
Yesu akamwambia, 'Kwa nini unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema, ila Mungu peke yake.
20 Nokotetwok'o bímts nemonuwotsi danfnee, boowere ‹Wido amk'aye, úd'k'aye, úmp'k'aye, kooton gawuk'aye, nindnat t nnihn mangiwe› etetsuwotsiye.»
Unazijua amri- usizini, usiue, Usiibe, usishuhudie uongo, waheshimu baba yako na mama yako.
21 Ashmanwere «Hanotsnma t naortson tuuzat kotdek're» bí et.
Yule mtawala akasema, 'Mambo haya yote nimeyashika tangu nilipokuwa kijana.'
22 Iyesus man b́shishtsok'on ashmansh, «Beree ik keew nk'alituw oor fa'ane, n detsts jamo kemde b́ gizo t'owwotssh ime, darotse kakuwets gaalo daatsitune, maniye hakono waar tshutsats sha'owe» bí et.
Yesu alipoyasikia hayo akamwambia, '“Umepungukiwa jambo moja. Lazima uuze vyote ulivyonavyo na uwagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni -kisha njoo, unifuate. '
23 Ashman ayidek't gaaletsko b́ teshtsotse, man b́ shishtsok'on ayidek't shiyanb́guts.
Lakini tajiri aliposikia hayo, alihuzunika sana, kwa sababu alikuwa tajiri sana.
24 Iyesusere ashman b́shiyantsok'o bek'k'rat, hank'owo bíet, «Gaaletsosh Ik'i mengstots kindo aak'owe kic'ike!
Kisha Yesu, akamwona alivyohuzunika sana akasema, 'Jinsi gani itakavyokuwa vigumu kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!
25 Gaaletso Ik'i mengstots b́kindoniyere, kambulo mafi fúron b́ besho ketefe.»
Maana ni rahisi sana kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu. '
26 Man shishts ash jamo, «Hank'owon bere kone fal kashiti?» bo et.
Wale waliosikia hayo, wakasema, 'Nani basi, atakayeweza kuokolewa?'
27 Iyesusmó, «Ashoke maawets keewo Ik'oke faleke» bí et.
Yesu akajibu, 'Mambo yasiyowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu yanawezekana.”
28 P'et'rosuwere «Hamb́, noo no detsts jamo k'azk'rat n shuutso shoy dek' sha'erone» bí et.
Petro akasema, 'Naam, sisi tumeacha kila kitu na tumekufuata wewe. '
29 Iyesuswere hank'o boosh bíet, «Arikon itsh keewiruwe, Ik'i mengst jangosh ett b́ moo wee b́ máátsú wee b́ eshuwotsi wee bí indnat b́ nihn k'azts asho,
Kisha Yesu akawaambia, Amin, nawaambia kwamba hakuna mtu aliyeacha nyumba, au mke, au ndugu, au wazazi au watoto, kwa ajili ya Ufalme wa Mungu,
30 And datsanatse gitkishoniye bogo ay daatsituwe, weet datsatsnowere dure duri kasho daatsituwe.» (aiōn , aiōnios )
ambaye hatapokea mengi zaidi katika ulimwengu huu, na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele. ' (aiōn , aiōnios )
31 Iyesus b́ danif tatse gituwotsi b́ maants t'intsdek't hank'o bí et, «Hamb! Iyerusalem maants amishee, Ash na'o jangosh nebiyiwotsn keewets jamó manoke s'eenetwe.
Baada ya kuwakusanya wale kumi na wawibili, akawaambia, 'Tazama, tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote ambayo yameandikwa na manabii kuhusu Mwana wa Adamu yatakamilishwa.
32 Bín Ik' ash woterawwots kishats beshide imetuwe, boowere bí atso s'udetuno, bíno c'ashetuno, bín aatsniytune.
Kwa maana atatiwa mikononi mwa watu wa Mataifa na atatendewa dhihaka na jeuri, na kutemewa mate.
33 Bo jod'i hakon úd'ituno, ernmó keezl aawots k'iro da'er tuwituwe.»
Baada ya kumchapa viboko watamwua na siku ya tatu atafufuka. '
34 B́ danifuwots keew jamanitse dab ikunor t'iwintsratsno, b́ keewiru keewwots biitso boosh ash bwutsitsosh eeg bíetiruwok'o danatsno.
Hawakuelewa mambo haya, na neno hili lilikuwa limefichwa kwao, na hawakuelewa mambo yaliyosemwa.
35 Iyesus Iyariko maants b́ t'intsok'on ááwu dog iko weri guratse bedek't b́ k'onir b́tesh.
Ikawa Yesu ulipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya barabara akiomba msaada,
36 B́ ganoke beshiru ay ashuwots k'aro b́ shishtsok'on «Eebi b́ naaroni?» ett bí at.
aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza nini kinatokea.
37 Ash ashuwotswere «Hambe! Nazrettso Iyesus han weerone beshoke b́ fa'oni» ett bokeewu.
Wakamwambia kwamba Yesu wa Nazareti anapita.
38 Mann ááwu dogo, «Dawit naay Iyesuso! oona taash maac'o k'ewowe!» ett b́ kuh.
Hivyo yule kipofu akalia kwa sauti, akisema, 'Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu.'
39 Shin shino amiru ashuwots, «S'k eree!» ett bo fay. Bímo b́ k'aro iki bogshdek't, «Dawit naayo! oona neesha taan maruwe!» etfetst b́tesh.
wale waliokuwa wakitembea walimkemea huyo kipofu, wakamwambia anyamaze. Lakini yeye akazidi kulia kwa sauti, 'Mwana wa Daudi, unirehemu.
40 Mansh Iyesus need'dek't «T maants dowere» ett b́ keewu. Ááwu dogonwere b́waatsok'on, hank'o ett bíaat,
Yesu akasimama akaamuru mtu yule aletwe kwake. Kisha yule kipofu alipomkaribia, Yesu akamwuliza,
41 «Neesh eeg tk'ale n geyi?» bí et. Ááwu dogonwere «Doonzono! bek'oshe tgeyiri» bíet.
'Unataka nikufanyie nini?' Akasema, 'Bwana, nataka kuona.'
42 Iyesuswere «S'iile! n imnetiyo neen kashire» bíet.
Yesu akamwambia, 'Upate kuona. Imani yako imekuponya. '
43 Ááwu dogonwere manoor bek'o b́fal, Ik'onowere udefere Iyesus shuutso shoy dek't b́ tuu, ash jamonuwere man bobek'tsok'on Ik'o bo udi.
Mara hiyo akapata kuona, akamfuata Yesu akimtukuza Mungu. Walipoona hili, watu wote wakamsifu Mungu.