< Yohans Dooshishiyo 19 >

1 Maniyere il P'ilat'os Iyesusi dek'amt b́garfii.
Basi Pilato alimchukua Yesu na kumchapa.
2 Kes'kes'fwotswere angitson k'odets akliliyo doozdek't Iyesus tookats gedbok'r, tahi bironowere takbokr.
Wale maaskari wakasokota miiba na kutengeneza taji. Wakaiweka juu ya kichwa cha Yesu na kumvalisha vazi la rangi ya zambarau.
3 B́iyo waat bíats kashon, «Ayhudi nugusono! jeeno neesh wotowe!» bo etferab botesh, etonwere bín bojabi.
Wakamjia na kusema, “Wewe mfalme wa Wayahudi! na kisha kumpiga kwa mikono yao.
4 P'ilat'os aaniy uromaants kishdek't, «Hamb bíatse eegor t'afiyo t daatsrawok'o it danetwok'owa, bíne ur itsh kish k'rona» bíet.
Kisha Pilato alitoka nje na kuwaambia watu, “Tazama nawaleteeni huyu mtu kwenu ili mjue kwamba mimi sikuona hatia yoyote ndani yake.”
5 Mann Iyesusi angitsi akliliyo b́ tookats gúúpdek't tahi bironowere b́ tahtsok'on ur kesht b́waa, P'ilat'oswere «Hambe ashoni!» bí eti.
Kwa hiyo Yesu akatoka nje; alikuwa amevaa taji ya miiba na vazi la zambarau. Ndipo Pilato akawaambia, “Tazameni mtu huyu hapa!”
6 Kahniy naashwotsnat kot kotfwotsn Iyesusi bobek'tsok'on, «Bín jirk'rowe! bín jirk'rowe!» ett bokuhi. P'ilat'osmó «T weron eegoru naando bíyatse daatsratse, it geyiyal it de'amr jirde'ere» bí eti.
Kwa hiyo wakati kuhani mkuu na wakuu walipomwona Yesu, wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe, msulubishe.” Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa kuwa mimi sioni hatia ndani yake.”
7 Ayhudiwotswere «Noo nemo detsfone, ashaan b́ tooko Ik'o naayi b́ woshtsotse no nemok'on k'ira b́k'iritiye» bo et.
Wayahudi wakamjibu Pilato, “Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo inampasa kufa kwa sababu yeye alijifanya kuwa mwana wa Mungu.”
8 Jam keewan b́ shishtsok'on P'ilat'os iki shat b́gutsi,
Pilato aliposikia maneno haya alizidi kuogopa,
9 Múúlots kindt Iyesussh «Nee eewkneya nweyi?» ett bíaati. Iyesusmó eegor bísh aaniratse.
akaingia Praitorio tena na kumwambia Yesu, “Wewe unatoka wapi? Hata hivyo, Yesu hakumjibu.
10 Manatse tuutson P'ilat'os «Taash keewratsneya? taa neen bitsosho wee jitosho alo t detstsok'o danatsiya?» bíet.
Kisha Pilato akamwambia, “Je, wewe huongei na mimi? Je, wewe hujui kuwa mimi nina mamlaka ya kukufungua na mamlakaya kukusulubisha?”
11 Iyesuswere «Ik'oke alo neesh imeraratse wotink'e tiatse eegor alo deshatsne b́tesh, mansh eshe taan neesh beshidek' imtso iki bog morro bíats wotitwe» bíet.
Yesu akamjibu, “Usingekuwa na nguvu dhidi yangu kama usingepewa toka juu. Kwa hiyo, mtu aliyenitoa kwako ana dhambi kubwa.”
12 P'ilat's Iyesus keew keewan b́ shishtsok'on biishde fakshk'ro geyatni b́teshi, ayhudiwotsmó «Nee ashaan nfakshitka wotiyal Rom nugús jir neenaliye, b́ tookon nugús woshitu jamo nugúsosh b́ balangare!» etfets bokuhi.
Kutokana na jibu hili, Pilato akataka kumwacha huru, lakini Wayahudi wakapiga kelele wakisema, “Kama utamwacha huru basi wewe si rafiki wa Kaisari: Kila ajifanyaye kuwa mfalme hunena kinyume cah kaisari.”
13 P'ilat'os man b́ shishtsok'on Iyesusi uromaants kishdek't «Shúts sháána» eteets beyoke angshi jorats be b́dek'i, beyokan Ibrayist'i noon keew keewon, «Gabata» eta eteefo.
Pilato alipoyasikia maneno haya, akamleta Yesu nje kisha akakaa kwenye kiti cha hukumu mahali pale panapojulikana kama sakafu, lakini kwa Kiebrania, Gabatha.
14 Fazigi baaliyosh k'an dek'i aawa b́tesh, manoronwere shirt sa'atok'oyi, manoor P'ilat'os ayhudiwotssh «Hambe it nugúsoni!» bíet.
Siku ya maandalizi ya pasaka ilipofika, panapo muda wa saa ya sita. Pilato akawaambia Wayahudi, “Tazameni mfalme wenu huyu hapa!”
15 Boomó, «Bín t'afiwe! Bín t'afiwe! jirk'rowe!» ett bokuhi. P'ilat'oswere, «It nugúso jiirk'rotaa?» bíet. Kahni naashwotswere, «Rom dats nugúsoniyere okoon k'osh nugúso deshatsone!» ett bísh boaaniyi.
Wakapiga kelele, “Mwondoshe, mwondoshe, msulubishe!” Pilato akawaambia, “Je, nimsulubishe mfalme wenu?” Naye Kuhani mkuu akajibu, “Sisi hatuna mfalme isipokuwa Kaisari.”
16 Manoor Iyesus b́ jitetwok'o P'ilat'os beshidek't b́ ími, boowere detsdek't boami.
Ndipo Pilato alipomtoa Yesu kwao ili asulibiwe.
17 Maniyere okoon Iyesus b́ mask'aliyo kurdek't «Took k'ola» eteef beyok kesht bíami, beyokan Ibrayist'i nonkeew keewon, «Golgota» eteefo,
Nao wakamchukua Yesu, naye akatoka, hali ameubeba msalaba wake mwenyewe mpaka kwenye eneo liitwalo fuvu la kichwa, kwa Kihebrania huitwa Golgotha.
18 Manoknowere bín jitbok'ri, Iyesusi dagots geddek't bínton k'osh git ashuwotsi gironat k'anomaants jitbok'ri.
Ndipo walipomsulibisha Yesu, pamoja naye wanaume wawili, mmoja upende huu na mwingine upande huu, na Yesu katikati yao.
19 P'ilat'os, «Nazrettso Iyesus, Ayhudi nugúsa» etirwo guut'etso guut'dek't bí mask'aliy k'oyomand gedb́k'ri.
Kisha Pilato akaandika alama na kuiwekwa juu ya msalaba. Hapo paliandikwa: YESU MNAZARETH, MFALME WA WAYAHUDI.
20 Iyesus b́ jitewoko kitok karn b́ teshtsotse, ayhudiwotsitse ayuwots guut'etsman bo nabab, guut'etsonwere b́ guut'e Ibrayist'iyon, Latiniyonat Grikiy noon keew keewok'ona b́ tesh.
Wengi wa Wayahudi waliisoma alama hiyo kwani mahali pale aliposulibishwa Yesu palikuwa karibu na mji. Alama hiyo iliadikwa kwa Kiebrania, kwa Kirumi na kwa Kiyunani.
21 Ayhudi kahni naashwots p'ilat'ossh, «Nee ‹Ayhudi nugúsa› err guut'k'aye, ernmó, ‹Ashaan taaye ayhudiwots nugúso taane› etfe err guud'e» boeti.
Kisha wakuu wa makuhani wa Wayahudi wakamwambia Pilato, “Usiandike, 'Mfalme wa Wayahudi; bali yeye alisema mimi ni mfalme wa Wayahudi.”
22 P'ilat'osmó, «T guut'tso guut're» ett bíaani.
Naye Pilato akawajibu, “Niliyoandika nimeandika.”
23 Kes'kes'fwots Iyesusi bojiti hakon b́ taho dek't, kes'f ikosh ik ik kayo b́ bodetwok'o awdoko kayibok'r. Ernmó b́ kito hank'owa bok'al, b́ kito shiperawo dambe dek't dash b́borfetso ikon wozeka b́ tesh.
Baada ya askari kumsulibisha Yesu, walichukua mavazi yake na kuyagawa katika mafungu manne, kila askari fungu moja, vivyo hivyo na kanzo, Sasa ile kanzu haikuwa imeshonwa bali ilkuwa imefumwa yote tokea juu.
24 Mansh kes'fwots, «It'o no sha'e bísh b́bodtso noyitse b́dek'o k'anefe bako gaat'k'ayone» bo eti. Man b́ wotwere, «T tahonee kaybodek'i, T kitatsowere it'o boshp'i» Etirwo S'ayin mas'afitstso b́ s'eenetwok'owa, kes' kes'fwotswere mank'o bok'al.
Kisha wakasemezana wao kwa wao, “Tusiipasue, bali tupigeni kura ili kuona itakuwa ya nani.” Hili lilitokea ili lile andiko litimizwe, lile lisemalo waligawanya nguo zangu, na vazi langu wakalipigia kura.”
25 Iyesus mask'aliy ganoke b́ índnat b́ índmishn, K'elyop' máátsu Mariyamnat Megdelitsu mariyamwere need'dek'tni botesh,
Askari walifanya mambo haya. Mama yake Yesu, dada wa mama yake, Mariamu mke wa Kleopa na Mariamu Magdalena - wanawake hawa walikuwa wamesimama karibu na msalaba wa Yesu.
26 Iyesus bí indnat b́ shunf b́danifo ikoke boned'efere b́ bek'tsok'on bí índsh, «Máátsune! mambe nnaayi!» bí et.
Yesu alipomwona mama yake pamoja na yule mwanafunzi aliyempenda wakisimama karibu, akamwambia mama yake, “Mwanamke, tazama, ona mwanao huyu hapa!”
27 Maniyere il b́ danifmansh, «Mambiye ni indi» bí et. manoori sa'aton tuzt b́ danifman b́ galomand bin dek't bíami.
Kisha akamwambia yule mwanfunzi, “Tazama, huyu hapa mama yako. “Tokea saa hiyo yule mwanafunzi akamchukua kwenda nyumbani kwake.
28 Maniyere il Iyesus and jam keewo s'een b́s'uutsok'owo dandek't S'ayn mas'fotse guut'ets Ik'i aap'o b́ s'eenetwok'o, «Shashuwere!» bíet.
Baada ya hilo, Hali Yesu akijua kuwa yote yamekwisha kumalizika ili kutimiza maandiko, akasema, “Naona kiu.”
29 Manoke biri k'ac'otse s'eent beyiru weyini shasho fa'ebtesh, mansh manoke fa'a ashuwots weyini bir shashman sponjiwok'ots gupt s'eentsdek't hisop'i mitats joddk't b́ nonats bot'intsi,
Chombo kilichokuwa kimejaa Siki kilikuwa kimewekwa pale, kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakamwekea mdomoni mwake.
30 Iyesuswere biri shashman b́ nonots b́gedihakon «S'uuwtsere!» bí eti. B́tookonowere jilk' aydek't k'iri b́wtsi.
Naye Yesu alipoionja hiyo, akasema, “Imekwisha.” Kisha akainamisha kichwa chake, akaikabidhi roho yake.
31 Maniyere il Ayhudi naashwots, jitets ashuwots shókó tishde'er, boduuno maskaliyatse bo orshitwok'o P'ilat'osi bok'oni, man bok'aluere eegoshe sanbati aawosh k'andek'o boosh b́geyitsotse, sanbatmanwere baaliyi een b́wottsosh, sanbati aawon boduuno mask'aliyats b́ beerawok'owa ettni.
Kwa vile ilikuwa ni wakati wa maandalio, na kwa sababu miili haikutakiwa kubaki juu ya msalaba wakati wa Sabato (kwa kuwa Sabato ilikuwa siku ya muhimu), wayahudi walimwomba Pilato kuwa miguu yao wale wliokuwa wamesulibishwa ivunjwe, na kwamba miili yao ishushwe.
32 Mansh kes'kes'fwots amt, Iyesusnton jiitsets ashuwotsi, shin iko shóko tiitst ando aani gitlo shóko botiitsi,
Ndipo askari walipokuja na kuvunja miguu ya mtu wa kwanza na wa pili aliyekuwa amesulibiwa pamoja na Yesu.
33 Iyesusok boamtsok'onmó, bí shino k'irt b́teshtsok'o bek't b́shóko tishatsno.
Walipomfikia Yesu, walimkuta tayari alikuwa amekwisha kufa, kwa hiyo hawakuvunja miguu yake.
34 Ernmó kes'kes'fwotsitse iko, b́ lalk'ats ginon kosh b́k'ri, manoor b́ lalk'otse s'atsonat aatson b́kesh.
Hata hivyo, mmoja wa askari alimchoma Yesu ubavuni kwa mkuki, na mara yakatoka maji na damu.
35 Man bek'tso it it amanituk'owo b́ gawi, b́ gawonwere arika, b́ keewirwonwere arik b́wottsok'o bí danfee.
Naye aliyeona hili ametoa ushuhuda, na ushuhuda wake ni wa kweli. Yeye anajua kuwa alichokisema ni cha kweli ili nanyi pia muamini.
36 Han b́wotwere, «B́ mak'tsotse dab ikonwor tisheratsee» etiru S'ayin mas'afitsi aap'o b́s'eenetwok'owe.
Mambo haya yalikuwa ili lile neno lililonenwa lipate kutimia, “Hakuna hata wake mmoja utakaovunjwa.”
37 Ando k'osh S'ayin mas'aafi kayotse, «Bo koshtsmanee bek'etúnee» etfe.
Tena andiko lingine husema, “Watamtazama yeye waliyemchoma”
38 Ayhudi naashwotsi shatt ááshon Iyesus danifwotsitse teshtso Armatiyas datstso Yosef Iyesus duuno dek'osh P'ilat'osi b́k'on. P'ilat'oswere de'e bíet. Mansh Yosef amt duuno k'aa'úb́dek'.
Baada ya mambo haya Yusufu wa Arimathaya, kwa vile alikuwa mwanafunzi wa Yesu, lakini kwa siri kwa kuwaogopa Wayahudi, alimwomba Pilato kwamba auchukue mwili wa Yesu. Naye Pilato akampa ruhusa. Kwa hiyo Yusufu akaja kuuondoa mwili wa Yesu.
39 Maniyere shin t'úwon Iyesusok waat teshtso Nik'odimoswere kerbewonat ekoos'on eekdek't s'aletso shaash kilok'o wotitwo dek't b́wyi.
Naye Nicodemo ambaye hapo awali alimfuata Yesu usiku naye akaja. Yeye alileta mchanganyiko wa manemane na udi, yapata uzito wa ratili mia moja.
40 Ash gitetsmanots Iyesus duuno k'aaúdek't ayhudiwots duun naap'efok'on naap't shituwonton shemi shishon t'at'bok'ri.
Kwa hiyo wakauchukua mwili wa Yesu wakaufanga kwenye sanda ya kitani na pamoja na yale manukato, kama ilivyokuwa desturi ya wayahudi wakati wa kuzika.
41 Iyesus jiteyat b́ teshtsoke mit bos'wots bobeyoko fa'e b́tesh, miti beyiru manitse konnor bits duk danawu doowi handro fa'e b́ tesh.
Mahali ambapo Yesu alisulibiwa kulikuwa na bustani; ndani ya ile bustani kulikuwa na kaburi jipya ambalo hakuna mtu alikuwa amawahi kuzikwa humo.
42 Sanbati jangosh k'andek'osh ett ando dowonuwere karn b́teshtsotse Iyesus duuno manok gedbok'ri.
Basi, kwa kuwa ilikuwa siku ya maandalio kwa Wayahudi, na kwa vile lile kaburi lilikuwa karibu, basi wakamlaza Yesu ndani yake.

< Yohans Dooshishiyo 19 >