< Efeson 6 >
1 Nana'úwotso! doonzo shinatse geyitk b́wottsotse it ind nihosh alewere.
Watoto watiini wazazi wenu katika Bwana, kwa maana hii ni haki.
2 «Nnihnat nindn mangiwe» etiru alo jangiyets aap'o bítse detsts shints tzaziyo haniye,
“Mheshimu baba yako na mama yako” (Maana hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi),
3 Han nk'aliyalowere «Jam keewo neesh kááwitwe, datsanatsnowere nkasho genzitwe.»
“ili iwe heri kwenu na muweze kuishi maisha marefu juu ya nchi.”
4 Itwere nihwotso! doonzo Iyesusn boosh niwo danifetsr, kiitsfetsr fayefetsr ditswere bako itnana'i nibo k'úni k'ayere.
Na ninyi akina baba, msiwakwaze watoto na kuwasababishia hasira, badala yake, waleeni katika maonyo na maagizo ya Bwana.
5 Guutswotso! meetson itsh doonz wottswotssh shatonat k'ewon kéwewere, Krstossh it aleyirwok'o itnibi kááwon boosh alewere.
Enyi watumwa, iweni watiifu kwa mabwana zenu wa hapa duniani kwa heshima kubwa na kutetemeka kwa hofu itokayo mioyoni mwenu. muwe watiifu kwao kama vile mnavyomtii Kristo.
6 It aletwere Ik'i shuntso it nibon finiru Krstos guutswotskok'o wotde'erni bako asho geneúshosh be'ewosha err wotk'aye.
Utii wenu usiwe tu pale mabwana zenu wanapowatazama ili kuwafurahisha. Badala yake, iweni watiifu kama watumwa wa Kristo. Fanyeni Mapenzi ya Mungu kutoka mioyoni mwenu,
7 Ashosh b́woterawo doonzosh finirwotskok'o wotde'er it shunon shengshde'er finore.
watumikieni kwa mioyo yenu yote, kwa kuwa mnamtumikia Bwana na wala si wanadamu,
8 Guutso wotowa nas' wotowa b́took tookon b́fiints sheeng finosh doonzoke b́ k'awntso dek'etk b́wottsok'o danfte.
mnapaswa kujua kwamba katika kila tendo jema mtu analofanya, atapokea zawadi kutoka kwa Bwana, ikiwa ni mtumwa au mtu huru.
9 Itwere doonzwotso! ash shiitso s'iilr boga bogshrawo itnat boonsh doonzo darotse b́beyirwok'o gawfetsr sheefo k'ayk'rar it guutswotssh sheengo k'alwere.
Na ninyi mabwana fanyeni vivyo hivyo kwa watumwa wenu. Msiwatishe mkijua kwamba yeye aliye Bwana wa wote ni yule aliye mbinguni. Mkijua kuwa hakuna upendeleo ndani yake.
10 Eshe haniyere okoon doonzonat bí angi eenmann kup'ore,
Hatimaye, iweni na nguvu katika Bwana na katika uwezo wa nguvu zake.
11 Dabilos shoobi fino k'efo itfalitwok'o Ik' kes'i k'ac' jamo tahde'ere.
Vaeni silaha zote za Mungu, ili kwamba mpate kusimama kinyume na hila za shetani.
12 No kaareyo ashuwotsnton b́woterawo t'aluts dúranatse kewirwotsnton, naashwotsnat datsatsi angwotsnton man etonwere darwotsitse fa'a kim shayirwotsntoniye. (aiōn )
kwa kuwa vita yetu si ya damu na nyama, bali ni dhidi ya falme na mamlaka ya roho na watawala wa ulimwengu wa uovu na giza, dhidi ya pepo katika sehemu za mbingu. (aiōn )
13 Eshe gond aawots t'alati ango k'efo it falitwok'onat jametswotsi b́jamon ishr kup'ar need'o it falitwok'o Ik'o kes'i k'ac' jamó k'aa'úde'ere!
Kwa hiyo, vaeni silaha zote za Mungu, ili mpate kusimama imara dhidi ya uovu katika kipindi hiki kiovu. Baada ya kumaliza kila kitu, mtasimama imara.
14 Eshe haniyak arikeewo znaarok'o it gebaats edde'er, kááw wotono t'ururiyok'o tahade'er,
Hatimaye simameni imara. Fanyeni hivi baada ya kuwa mmefunga mkanda katika kweli na haki kifuani.
15 C'aamo geddek'ts wotadarok' jeeni doo shishiyo itdek'tso nabosh k'ande'er need'ore.
Fanyini hivi mkiwa mmevaa utayari miguuni mwenu wa kutangaza injili ya amani.
16 Jamaniyre danbono taw lalwok'o aat'efre sha'iru diyablos gin jamwotsi bín t'afiyosh it falitwo imnetiyo geepok'o k'aa'úde'ere.
Katika kila hali mkichukua ngao ya imani, ambayo itakuwezesha kuizima mishale ya yule mwovu.
17 Kash daatsonowere tookats gerdek'ef k'uriya eteetsok'o it tookats gup'sh de'ere, iknwere S'ayin shayiratse daatset shiki gorado bíwere Ik'o aap'etso deshde'ere.
Vaeni kofia ya wokovu na upanga wa Roho, ambayo ni neno la Mungu.
18 Uni aawo S'ayin shayiron jishefetsr Ik' k'onon t'intswere. Mank'oon Ik'o S'ayints b́ dek'ts ashuwotssh it baterawon kup'ar Ik'o k'onwere.
pamoja na maombi na dua. Ombeni kwa Roho kila wakati. Kwa mtazamo huu iweni waangalifu kila wakati kwa uvumilivu wote na maombi kwa ajili ya waamini wote.
19 Dooshishiko ááshts keewo shatalon kishde'er t keewor geyit aap'o keewosh t falituwok'o taashowere Ik'o k'onwere.
Ombeni kwa ajili yangu, ili nipewe ujumbe ninapofungua mdomo wangu. Ombeni kwamba nieleweshe kwa ujasiri kweli iliyofichika ihusuyo injili.
20 Andoor habiliyon tipeyat dooshiyansh woshek taane, mansh ááw shuk'on tkeewitwok'o taash Ik'o k'onwere.
Ni kwa ajili ya injili mimi ni balozi niliyefungwa minyororo, ili kwamba ndani mwao niseme kwa ujasiri kama ninavyowiwa kusema.
21 Shuneets eshwonat doonzo Iyesus finatsnowere amanets guutso wottso Tikik'os t jango aawk'o b́wottsok'onat eeg t finirwok'o jam keewo itdanetwok'o itsh keewitwe.
Lakini ninyi pia mjue mambo yangu na jinsi ninavyoendelea, Tikiko ndugu yangu kipenzi na mtumishi mwaminifu katika Bwana, atawajulisha kila kitu.
22 Mansh noo aawk'o nowottsok'o itdanetwok'o aaninwere itnoor b́kup'shitwok'owa etaat bín it maants woshere.
Nimemtuma kwenu kwa kusudi hili maalumu, ili kwamba mjue mambo kuhusu sisi, aweze kuwafariji mioyo yenu.
23 Ik'o nihonat doonzo Iyesus Krstos jeenonat shunon imnetiyonton eshwotssh wotowe.
Amani na iwe kwa ndugu, na upendo pamoja na imani kutoka kwa Mungu baba na Bwana Yesu Kristo.
24 K'ut'eraw shunon no doonz Iyesus Krstosi shunts jamwotssh s'aato wotowe.
Neema na iwe pamoja na wote wanampenda Bwana Yesu Kristo kwa pendo lile lisilo kufa.