< 2 Yohans 1 >

1 Tiyoke eenashoke, marat'ets moogenunat b nana'otsnsh, Tí s'uzi b́woteftsere ar dants jamwotswere iti shunfne.
Mzee: Kwa bibi mteule na watoto wake, niwapendao katika kweli, wala si mimi tu, bali na wale wote waijuayo kweli:
2 Aranwere no dagotse fa'onat shino maantsisho dúre dúron noonton beetwoniye. (aiōn g165)
kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn g165)
3 Ik'o nihonat b́ naay Iyesus Krstotsoke s'aatona, mihretiyona, jenonwere, aronat shunon noonton wotowe.
Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwanawe Baba, itakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.
4 N nana'uwotsitse ik ikuwotsi niho noon bí azaztsok'on arikeewon kup'at boere t datstsotse ayidek'at gene'owere.
Imenipa furaha kuu kuona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile Baba alivyotuagiza.
5 Moo genee, andoor oona neesha, neesh t guut'irwan tzazi handr ark'aye, and t guut'irwan «No ats atsewo shunewone» etts shintson dek't nowooke teshts tzaziyoniye.
Sasa, bibi mpendwa, si kwamba ninakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. Tupendane kila mmoja na mwenzake.
6 Ari shuna eto Ik' tzaziyo fina etee. Tzaziymanwere shintson it shishtsok'on «Shunon beewere, » ettsoniye.
Hili ndilo pendo, kwamba tuenende sawasawa na amri zake. Hii ndiyo amri yake kama vile mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mwenende katika upendo.
7 Iyesus ash wotat meetson b́ be'etsok'o amanerawwots ash sheeliyru aywots datsanatse tuurne. Mank'o ashaan ant'elcirwonat Krstosi k'efirwoniye.
Wadanganyifu wengi, wasiokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili, wametokea ulimwenguni. Mtu wa namna hiyo ni mdanganyifu na mpinga Kristo.
8 Itmó it k'awntso s'eenon dek'osh kup'ore, it fintso b́ t'afrawok'o korde'ere.
Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.
9 Krstos danits danaats s'ap'de'er beerawo bíatsnowere wokar ametuwonton Ik'o aaliye, Krstos danits danaats s'ap'de beet ashontonmó Nihonat Nayon bíntoniye bofa'oni.
Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali akayaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia.
10 Dan han b́deshawo konwor itok b́wetitkawotiyal it meyits kindshk'ayere, dab́ jamonor bín aatk'ayere.
Msimpokee mtu yeyote anayewajia ambaye hawaletei mafundisho haya, wala msimkaribishe nyumbani mwenu.
11 Bín jam aatit asho bínton gond fino kaytsoni b́wotiti.
Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.
12 Itsh guut'osh t geyirwo ay keewo detsfe, wotowa eree jamo dabdayon wosho geeratse, Maniyere itok borr noonon itn keewiye tgeyiriye, manwere noshunewo s'een b́ wotituwok'o geeyatniye.
Ninayo mengi ya kuwaandikia, lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
13 N mish marat'etsu nana'uwots neesh jamo woshernee.
Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu. Amen.

< 2 Yohans 1 >