< 1 Teselonk'e 2 >

1 Ti eshuwotso! no it maants nowoo shuwalo b́teyawok'o it it tookon danfte.
Ndugu, ninyi wenyewe mnafahamu kwamba ziara yetu kwenu haikuwa bure.
2 It itdantsok'o haniyereshin Filipisyositse no teshor gond bek'onat c'ashon noats bodre, ernmó een wotts k'efo noats b́ bodaloru dab Ik'i dooshishiyo itsh nobetsitwok'o Izar Izewer noosh ááwu shuuk'o imre.
Mnajua jinsi tulivyodhulumiwa na kutukanwa kule Filipi kabla ya kufika kwenu Thesalonike. Ingawa kulikuwa na upinzani mwingi, Mungu wetu alitujalia uhodari wa kuwahubirieni Habari Njema yake.
3 Noo iti noiztso dáron wee kim keewon jiisheyatniyaaliye, iti dariyosh nok'alts keewo eegonwor aaliye.
Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote.
4 Maniyere dab Ik'o noosh dooshishiyan adaron noon amanat b́imtsotse keewituwone, manowere nok'alir nonib s'iliru Ik'o gene'ushosha bako asho gene'ushosh etniyaliye.
Sisi twanena daima kama atakavyo Mungu kwani yeye alituona kwamba tunafaa, akatukabidhi hii Habari Njema. Si nia yetu kuwapendeza watu hata kidogo, bali twataka kumpendeza Mungu ambaye anajua mioyo yetu mpaka ndani.
5 Iknotunoru dáshon wee gizi shunon detsetwo no keewawok'o b́ jamon it it tookon danfte, Ik'onu noosh gawe.
Ninyi mnajua kwamba sisi hatukuja kwenu na maneno matamu ya kubembeleza wala hatukutumia maneno ya kijanja ya kuficha ubinafsi fulani; Mungu ni shahidi!
6 Itoke wotowa k'osh asho konoknoru mango geeratsone.
Hatukutafuta sifa kutoka kwa watu, wala kutoka kwenu, wala kutoka kwa mtu yeyote,
7 Krstossh woshetswotsi no wottsok'on noosh geyitwo itoke aatosh falfone b́ teshi, ernmó indu b nana'o b maants bdetsfok'on maac' nefon it dagotse no anaani.
ingawa sisi tukiwa mitume wa Kristo, tungeweza kudai mambo fulani kwenu. Lakini sisi tulikuwa Wapole kati yenu kama alivyo mama kwa watoto wake.
8 Eshe ayidek'at itn noshuntsatse tuutson doo shishiyo itsh ím mec'ro b́ woterawo nokashonoru dab itsh no shunon imosh k'andek'k noone.
Tuliwapenda ninyi sana hata tukawa tayari kuwashirikisha si tu Habari Njema ya Mungu, bali pia na maisha yetu. Ndivyo mlivyokuwa wapenzi wetu!
9 Ti eshuwotso! awuk'o no fintsok'onat shaatstsok'o gawo falfte, Ik' doo shishiyo itsh no nabor ik doonzatsoru kuro nowoterawok'owa etaat t'uwe aawo finone nomawufoni.
Ndugu, mnakumbuka jinsi tulivyofanya kazi na kutaabika. Tulipowaleteeni Habari Njema ya Mungu tulifanya kazi mchana na usiku kusudi tusiwe mzigo kwa mtu yeyote miongoni mwenu.
10 Amantsuwots dagots itnton nobeyor awuk'o s'ayinonat aawk'o kááw eeg eeg deshaw beyon nobefok'osh it noosh gaw itne, Ik'onuwere noosh gawe,
Ninyi mnaweza kushuhudia, na Mungu pia ni shahidi, jinsi mwenendo wetu kati yenu ninyi mnaoamini ulivyokuwa mzuri, mwadilifu na usio na lawama.
11 niho b́ nana'uwotssh b́ k'alfok'o noowere itsh ik ikon nok'altsok'o danfte,
Mnajua kwamba sisi tulimtendea kila mmoja wenu kama vile baba anavyowatendea watoto wake mwenyewe.
12 jam aawo itn izon kup'efetsat b́ mengstonat b́ mango it kayituwok'o itn s'eegtso Izar Izewer b́ geene'úituwok'o it beyish oona itsha, no ettsok'o danfte.
Tuliwapeni moyo, tuliwafarijini na kuwahimiza ili mpate kuishi maisha yampendezayo Mungu ambaye aliwaiteni mshiriki Utawala na utukufu wake.
13 Dabnu it jangosh noneed'rawo Ik'o no udiru weero detsfone, bíwere nooke it shishtso Ik' aap'o it dek'tsok'on itoke amantsuwotsoke finit aap'an it dek' ash aap'tsok'o b́ woterawo ari Ik' aaop'tsok'o woshdek'atniye, arikon Ik' aap'e.
Tena tunayo sababu nyingine ya kumshukuru Mungu: tulipowaleteeni ujumbe wa Mungu, ninyi mliusikia mkaupokea, si kama vile ujumbe wa binadamu, bali kama ujumbe wa Mungu, na kweli ndivyo ulivyo. Maana Mungu anafanya kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.
14 Ti eshuwotso, it Yhud datsatse faúwots Krstos Iyesusn Ik' maa wottsuwotsitse sheengwotsi wottsuwots jafro shoyerte, boowere ayhudiyotsn gond bek'o boats b́ bodtsok'o jamon itwere it took jirwotsoke gond bek'o itats bodre.
Ndugu, ninyi mmepatwa na mambo yaleyale yaliyoyapata makanisa ya Mungu kule Yudea, mambo yaliyowapata watu walio wake Kristo Yesu. Ninyi mlidhulumiwa na wananchi wenzenu kama vile wao walivyodhulumiwa na wenzao Wayahudi,
15 ayhudiyots doonzo Iyesusnat nebiyatiyotsi bo úd'tsok'o nonowere giishdek't datsatsere noon kishtsuwotsiye, boowere Ik' shiyanirwotsnat ash jamo shit'irwotsiye,
ambao walimuua Bwana Yesu na manabii, wakatutesa na sisi pia. Watu hao wanamchukiza Mungu, tena ni adui za kila mtu!
16 Ik' ash woterawwots bín bokashit aap'o t keewawok'o dab bobaziyiri, hank'on morro morrats dabfere boamiri, mansh s'uwatsere Ik' fayo boats waare.
Hata walijaribu kutuzuia kuwahubiria watu wa mataifa mengine ujumbe utakaowaletea wokovu. Ndivyo walivyokamilisha orodha ya dhambi zote walizotenda siku zote. Lakini sasa hasira ya Mungu imewaangukia.
17 Ernmó ti eshuwotso! shayiron b́ woterawo meetson múk' gizewosh itatsere no k'aletsosh itsh t detsts mirac'o ay b́ wottsotse ti ááwon itn bek'osh ayidek'at geere b́ teshi.
Ndugu, kuachana kwetu nanyi kulikuwa kwa muda tu, tena kuachana huko kulikuwa kwa mwili tu na si kwa roho. Kitambo kifupi baadaye, tulishikwa na hamu kubwa ya kuwaoneni tena!
18 Mansh it maants wosh geyatni notesh, bítsnowere taa P'awlos it maants wosh anaani geyere b́teshi, ernmó Shed'ano noon b́baziyi.
Kwa hiyo tuliamua kuwatembeleeni tena. Nami, Paulo, nilijaribu kuja kwenu zaidi ya mara moja, lakini Shetani alituzuia.
19 Bere, nojangiruwo wee nogeneeúwo wee nodoonz Iyesus b́woor b́shinaatse no it'etuwo no da'atsi mangi jip'uwots (akliliwots) itna bako kone?
Je, tutakaposimama mbele ya Bwana Yesu wakati atakapokuja, fahari ya ushindi wetu itakuwa nini? Itakuwa ni ninyi wenyewe; ninyi ndio tumaini letu na furaha yetu.
20 Arikon nomanguwotsnat nogeneeúwotsuwots itne.
Naam, ninyi ni utukufu wetu na furaha yetu!

< 1 Teselonk'e 2 >