< 1 P'et'ros 5 >

1 Eshe taa bonton tohaat Ik' meyitsi eenash wottso, Krstos gond bek'osh gaw wottso, ando shino maantsish be'et mango kayitk wottso, it dagotse beyiru Ik' máá eenashwotsi izitwe.
Ninawasihi wazee waliomo miongoni mwenu, mimi, niliye mzee mwenzao na shahidi wa mateso ya Kristo, na ambaye vile vile ni mshirika katika utukufu utakaodhihirika.
2 Adaro itsh imets Ik' gizi s'eeno jinere, gizi s'eenmanowere it jinet angnon b́ woterawo Ik'o b́ getsok'on, shunon wotowe, ambarosh k'awnton b́ woterawo finosh it detsts shunon wotowe.
Kwa hiyo, ninawatia moyo ninyi wazee, lichungeni kundi la Mungu lililo miongoni mwenu. Liangalieni, sio kwa sababu mnapaswa, lakini kwa sababu mnatamani hivyo, kulingana na Mungu. Liaangalieni, sio kwa kupenda pesa za aibu, lakini kwa kupenda.
3 Mank'o it naashi shirotse beyirwotsi fiic'de'er kéwon b́ woterawo Ik' giz s'enwotssh sheeng ariyo kitson wotowe.
Msijifanye mabwana juu ya watu waliyochini ya uangalizi wenu, lakini iweni mfano katika kundi.
4 Hank'o it k'aliyal jints eeno b́ be'ewor awaasheraw mangi akliliyo dek'etute.
Pale Mchungaji Mkuu atakapodhihirishwa, mtaipokea taji ya utukufu isiyopoteza uthamani wake.
5 Ando! it jawetswotso! eenashúwotssh alewere, it jamets maac' nefo tahok'o tahade'er iko ikosh finowe, «Ik'o bog taana etirwotsi k'efitwe botoko dashan detsetwotsshomó s'aato imetwe» ett guut'ere.
Vilevile, nanyi vijana wadogo, nyenyekeni kwa wakubwa wenu. Ninyi nyote, uvaeni unyenyekevu na kuhudumiana ninyi kwa ninyi, kwani Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa neema wanyenyekevu.
6 Eshe Ik'o b́ etts aawon itn dambaan b́ tuzish Ik' kishi kúp'o shirots it tooko dashan deshere.
Kwa hiyo nyenyekeni chini ya mkono wa Mungu uliyo hodari ili kwamba awainue kwa wakati wake.
7 Bí itsh b́ shiyanirwotse iti kic'iru shiyan jamo bíyats juuk'rore.
Mwekeeni fadhaa zenu juu yake, kwa sababu anawajali.
8 It detstson beewere, k'ande'ere! it balangaro diyablos b́ k'ot'etwo geefetst guundiru ééshok'o it gúúratse b́ ananiri.
Iweni na busara, iweni waangalifu. Yule adui yenu, ibilisi, kama simba aungurumaye ananyatia, akisaka mtu wa kumrarua.
9 Dats jamatse fa'a it eshúwots han naari gond bek'o bo dek'irwok'o dande'er it amantsats kúp'ar imnetyon bín k'efoore.
Simameni kinyume chake. Kuweni na nguvu katika imani yenu. Mkijua kwamba ndugu zenu walioko ulimwenguni wanapitia mateso kama hayo.
10 Muk' gizewosh gondo it bek'iyakon Krstosn dúre dúri mango maants iti s'eegtso s'aat jami Ik'o bí b́ tookon iti s'eenwotsi woshitwe, iti tep'etwe, iti kup'itwe, iti need'itwe. (aiōnios g166)
Baada ya kuteseka kwa muda kitambo, Mungu wa neema yote, aliyewaita katika utukufu wa milele ndani ya Kristo, atawakamilisha, atawaimarisha na kuwatia nguvu. (aiōnios g166)
11 Dúre dúrosh b́ borfetso ango bísh wotowe! amen. (aiōn g165)
Enzi iwe kwake milele na milele. Amina. (aiōn g165)
12 Amanets eshwe etaat t gawirwo Silas weeron woshan k'awnon itsh guut're, itsh t guut'uwere itsh t izirwan ari Ik' s'aato b́ wotok'o itsh gawoosha etaatniye, mansh Ik' s'aatanotsatse kúp'ar need'ore.
Namthamini Silwano kama ndugu mwaminifu, na nimewaandikia ninyi kwa ufupi kupitia kwake. Ninawatia moyo na ninashuhudia kwamba nilichokiandika ni neema ya kweli ya Mungu. Simameni ndani yake.
13 Itkok'o marat'dek'etsu Babilonitse fa'a Ik'i moow jamo itsh t'intsirwane, t naa'yi Mrk'oswere jamo itsh t'intsirwe.
Waamini waliloko Babeli, waliochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu, na Marko mwanangu, anawasalimu.
14 Krstiyaniwots shunon it ats atseyo jobeyon jamo aatewere. Krstosk wotts it únetssh jeeno wotowe.
Salimianeni kila mmoja kwa busu la upendo. Na amani iwe kwenu mliondani ya Kristo.

< 1 P'et'ros 5 >