< 1 K'orontos 3 >
1 T eshuwotso! taa iti t daniyor meets asho Krstosats kúp'eraw na'i marmat'ok'o it wottsok'ona bako shayiretswotsk'o it wottsoshaliye.
Na mimi, kaka na dada zangu, sikusema nanyi kama watu kiroho, lakini kama na watu wa kimwili. Kama na watoto wadogo katika Kristo.
2 Kúp' mish moo máá falaaw na'i marmat'ok'o it wottsotse taa itsh t maanztso ezaa bako kúp' mishaliye, andoor b́ wotiyal kúp' mish moo falrafa'ate.
Niliwanywesha maziwa na si nyama, kwa kuwa hamkuwa tayari kwa kula nyama. Na hata sasa hamjawa tayari.
3 It andoru meets ash itne, it ats atseyo it okoreyirwotsnat it mosheyirwotse meets ash itnosha? it finirwore k'osh ashok'owosha?
Kwa kuwa ninyi bado ni wa mwilini. Kwa kuwa wivu na majivuno yanaonekana miongoni mwenu. Je, hamuishi kulingana na mwili, na je, hamtembei kama kawaida ya kibinadamu?
4 Iko «Taa P'awlosk taane» k'osho «Taa Ap'losk taane» bí etor datsanatsi ash itnosha?
Kwa kuwa mmoja husema, “Namfuata Paulo” Mwingine husema “Namfuata Apolo,” hamuishi kama wanadamu?
5 wotowa bako Ap'los kone? P'awlos kone? boowere it itk'alirwok'o k'alts guutsne, botook tookon bo finir Doonzo botook tookon boosh b́ eezts finoniye,
Apolo ni nani? na Paulo ni nani? Watumishi wa yule mliyemwamini, kwa kila ambaye Bwana alimpa jukumu.
6 Taa ttooki, Ap'los aatso b́ ishi, eenshtsonmó Ik'oniye.
Mimi nilipanda, Apolo akatia maji, lakini Mungu akakuza.
7 Eshe bos'man enshtso Ik'oni bako tooktsonu aats ishirwonu eegnaliye.
Kwa hiyo, si aliye panda wala aliyetia maji ana chochote. Lakini ni Mungu anayekuza.
8 Tooktso wotowa aats ishtsonu taalne, bo took tookon bofintsok'o bo k'awntso dek'etune.
Sasa apandaye na atiaye maji wote ni sawa, na kila mmoja atapokea ujira wake kulingana na kazi yake.
9 No Ik'osh tohar finit guutswots noone, itmó Ik' goshonat Ik' agiru maa itne.
Kwa kuwa sisi tu watendakazi wa Mungu, ninyi ni bustani ya Mungu, jengo la Mungu.
10 Ik' taash b́imts s'aatok'on maa agiru s'ekok'o agoko need'itdek'i, koshonu taa need'itsmanats bíagi, ernmó ik iko manats awuk'o bíagiruwok'o t'iwintso bísh geyife.
Kutokana na neema ya Mungu niliyopewa kama mjenzi mkuu, niliuweka msingi, na mwingine anajenga juu yake. Lakini mtu awe makini jinsi ajengavyo juu yake.
11 Ikn ned'yetsmantsere okoon konuworu k'osho ned'iyosh falatse, need'yokanwere Iyesus Krstosiye.
Kwa kuwa hakuna mwingine awezaye kujenga msingi mwingine zaidi ya uliojengwa, ambao ni Yesu Kristo.
12 Ned'okanats awntson, wee ambaron wee k'awunts shaaw shúútson, mitoon, tootson wee buyon agetuwo b́beyal
Sasa, kama mmoja wenu ajenga juu yake kwa dhahabu, fedha, mawe ya thamani, miti, nyasi, au majani,
13 ik ik asho b́ fino b́be'et angshiy aawo weetuwe, manots aaw ik ik asho b́ fino awuk'o b́ wotok'o tawon fadere be'etuwe.
kazi yake itafunuliwa, kwa mwanga wa mchana utaidhihirisha. Kwa kuwa itadhihirishwa na moto. Moto utajaribu ubora wa kazi wa kila mmoja alichofanya.
14 Gmbi agf iko bíagtso tawon b́fadeyor mic'aniyere b́ oriyal b́ k'awntso daatsituwe.
Kama chochote mtu alichojenga kitabaki, yeye atapokea zawadi.
15 B́ fino tawon mic'r t'afitu agtsonmó t'ut'etuwe, wotoa eree bí b́tookon tawotse beshat mic'aniyere oorts ashok'o kashituwe.
Lakini kama kazi ya mtu ikiteketea kwa moto, atapata hasara. Lakini yeye mwenyewe ataokolewa, kama vile kuepuka katika moto.
16 Ik' maa it wottsok'onat Ik' shayiro ititse b́ beyiruwok'o danatsteya?
Hamjui kuwa ninyi ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?
17 Eshe asho Ik' moo b́ gakal Ik'o bín gaketuwe, Ik' mooniye S'ayine, Ik' maa S'aynwotswere itne.
Kama mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu mtu yule. Kwa kuwa hekalu la Mungu ni takatifu, na hivyo na ninyi.
18 Konworu b́ tooko ant'elck'aye, datsanatse danitelefetso araar be'etwo fa'e wotiyal Ik'oki arik wottso danitelefo b́datsish b́ tooko dartsok'o taawwe. (aiōn )
Mtu asijidanganye mwenyewe, kama yeyote miongoni mwenu anadhani ana hekima katika nyakati hizi, awe kama “mjinga” ndipo atakuwa na hekima. (aiōn )
19 Datsatsi danitelefo Ik' shinatse dáree, hanu, «Ik'o dani telefetswotsi bogond finon detsetwe» ett guut'etsok'one.
Kwa kuwa hekima ya dunia hii ni ujinga mbele za Mungu, Kwa kuwa imeandikwa, “Huwanasa wenye hekima kwa hila zao”
20 Hank'owere, «Doonzo dani telefetsuwots asaabiyo k'awuntso b́deshawok'o danfee» ettso guut'ere.
Na tena “Bwana anajua mawazo ya wenye busara ni ubatili.”
21 Eshe jam keewo itk b́wottsotse konworu ashon it'k'aye.
Hivyo mtu asijivunie wanadamu! Kwa kuwa vitu vyote ni vyenu.
22 P'awlosi wotowa, Ap'losi b́ wotowa, P'et'rosi wotowa, Datsan wotowa, kasho wotowa, k'iro wotowa, and beyiruwo wotowa, shuuts wetuwo wotowa, jámonwor itkee.
Kama ni Paulo, au Apolo, au Kefa, au dunia, au maisha, au kifo, au vitu vilivyopo, au vitakavyokuwepo. Vyote ni vyenu,
23 Itmó Krstos nanaúwots itne, Krstoswere Ik' na'ee.
na ninyi ni wa Kristo na Kristo ni wa Mungu.