+ Matthew 1 >
1 SIN AK'SIN Jesus Christ David okkuai' Abraham okkuai' un'ix o sĭnaks' oaiĕxĕsts.
Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
2 Abraham ikuyiu' Isaac; ki Isaac ikuyiu' Jacob; ki Jacob ikuyiau' Judas ki omu' pappiipix;
Ibrahimu alikuwa baba wa Isaka, na Isaka baba wa Yakobo, na Yakobo baba wa Yuda na ndugu zake.
3 Ki Judas ikuyiu' Phares ki Zara, Thamar ipau'kaiĭmmiuax; ki Phares ikuyiu' Esrom; ki Esrom ikuyiu' Aram;
Yuda alikuwa baba wa Peresi na Sera kwa Tamari, Peresi baba wa Hezeroni, na Hezeroni baba wa Ramu.
4 Ki Aram ikuyiu' Aminadab; ki Aminadab ikuyiu' Naasson; ki Naasson ikuyiu' Salmon;
Ramu alikuwa baba wa Aminadabu, Aminadabu baba wa Nashoni, na Nashoni baba wa Salimoni.
5 Ki Salmon ikuyiu' Booz, Rachab ipau'kaiĭmmiuaie; ki Booz ikuyiu' Obed, Ruth ipau'kaiĭmmiuaie; ki Obed ikuyiu' Jesse;
Salimoni alikuwa baba wa Boazi kwa Rahabu, Boazi baba wa Obedi kwa Ruth, Obedi baba wa Yese,
6 Ki Jesse ikuyiu' David omŭx'nin'a; ki David omŭx'ina ikuyiu' Solomon, annŏk' ake'uŏk itom'itomiuŏk Urias man'itotsipokaiĭmmiuaie;
Yese alikuwa baba wa mfalme Daudi. Daudi alikuwa baba wa Sulemani kwa mke wa Uria.
7 Ki Solomon ikuyiu'. Roboam; ki Roboam ikuyiu' Abia; ki Abia ikuyiu' Asa;
Sulemani alikuwa baba wa Rehoboamu, Rehoboamu baba wa Abiya, Abiya baba wa Asa.
8 Ki Asa ikuyiu' Josaphat; ki Josaphat ikuyiu' Joram; ki Joram ikuyiu' Ozias;
Asa alikuwa baba wa Yehoshafati, Yehoshafati baba wa Yoramu, na Yoramu baba wa Uzia.
9 Ki Ozias ikuyiu' Joatham; ki Joatham ikuyiu' Achaz; ki Achaz ikuyiu' Ezekias;
Uzia alikuwa baba wa Yothamu, Yothamu baba wa Ahazi, Ahazi baba wa Hezekia.
10 Ki Ezekias ikuyiu' Manasses; ki Manasses ikuyiu' Amon; ki Amon ikuyiu' Josias;
Hezekia alikuwa baba wa Manase, Manase baba wa Amoni na Amoni baba wa Yosia.
11 Ki Josias ikuyiu' Jechonias ki o mu' pap piipix, annik' ito'toŏpikau Babylon;
Yosia alikuwa baba wa Yekonia na kaka zake wakati wa kuchukuliwa kwenda Babeli.
12 Ki ot'sitotos au Babylon, Jechonias ikuyiu' Salathiel; ki Salathiel ikuyiu' Zorobabel;
Na baada ya kuchukuliwa kwenda Babeli, Yekonia alikuwa baba wa Shatieli, Shatieli alikuwa babu yake na Zerubabeli.
13 Ki Zorobabel ikuyiu' Abiud; ki Abiud ikuyiu' Eliakim; ki Eliakim ikuyiu' Azor;
Zerubabeli alikuwa baba wa Abiudi, Abiudi baba wa Eliakimu, na Eliakimu baba wa Azori.
14 Ki Azor ikuyiu' Sadoc; ki Sadoc ikuyiu' Achim; ki Achim ikuyiu' Eliud;
Azori alikuwa baba wa Zadoki, Zadoki baba wa Akimu, na Akimu baba wa Eliudi.
15 Ki Eliud ikuyi u' Eleazar; ki Eleazar ikuyiu' Matthan; ki Matthan ikuyiu' Jacob;
Eliudi alikuwa baba wa Elieza, Elieza baba wa Matani na Matani baba wa Yakobo.
16 Ki Jacob ikuyiu' Joseph, Mary om'i, annok ipau'kaiĭmmiuŏk Jesus, anĭstau Christ.
Yakobo alikuwa baba wa Yusufu mume wa Mariamu, ambaye kwa yeye Yesu alizaliwa, aitwaye Kristo.
17 David otsĭs'tsits'unoauai Abraham itsipuk' sŭpokosĭnimotseiiau ke'pitappiiau nĭssekoputtsi; ki ot'sitotosau Babylon omats'ĭstsits'unoauai David mats'itsipuksŭpokosĭmmotseiiau, matsĭsse'koputtsi; Christ omats'ĭstsits'unoauai ot'sitotosau Babylon mats'itsipuksŭpkosĭmmotseiiau matsĭsse'koputtsi.
Vizazi vyote tangu Ibrahimu hadi Daudi vilikuwa vizazi kumi na vinne, kutoka Daudi hadi kuchukuliwa kwenda Babeli vizazi kumi na vinne, na kutoka kuchukuliwa kwenda Babeli hadi Kristo vizazi kumi na vinne.
18 Jesus Christ, otsipokai'isĭnni ŭn'niniitsiu: Annik' Mary, Jesus oksĭs'tsi, Joseph otak'okemattŏsaie itop itappi'inai, otse'kosatsok Atsĭm'istaaw.
Kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulikuwa kwa namna hii. Mama yake, Mariamu, alichumbiwa na Yusufu, lakini kabla hawajakutana, alionekana kuwa na mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
19 Joseph om'i mokŏm'motsitappiu, ki matsitsitau'ats mŏk'aiitsĭnnikŏttŏsaie; osĭme'tsitan mŏksisĭm'ianĭstŭpskoŏsaie.
Mume wake Yusufu, alikuwa mtu mwenye haki hakutaka kumwaibisha hadharani. Aliamua kusitisha uchumba wake naye kwa siri.
20 Ki otai'ksĭmstatosaie, Satsit, Ap'ĭstotokiuăoto'tokatatsĭs otsipopŏk'toakaie ki otan'ikaie, Joseph, David okku'i, pinstŭnnos Mary kŏk'okemattosi, otse'kosatsok Atsĭm'iStaaw.
Alipokuwa akifikiri juu ya mambo haya, Malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema,'' Yusufu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Mariamu kama mkeo, kwa sababu mimba aliyonayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
21 Ki ai'aksipokaiĭmmiuaie okku'yi, ki kitak'anĭstsĭnnikŏttau Jesus: tŭkkă, otsitappim'ix otsauum'itsitappi'isuauĕsts aiakitaikŏmotse'piuax.
Atajifungua mtoto wa kiume na utamwita jina lake Yesu, kwa maana atawaokoa watu wake na dhambi zao.''
22 Itŭn'nitsiuaie mŏk'itsenŭpanĭstŏsi Ap'ĭstotokiuă otse'poawsĭsts, otsipropheti itotse'poawsĭnĕsts, ki an'ĭmai,
Yote haya yalitokea kutimizwa kile kilichonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema,
23 Satsik, mokŏk'iake ai'akopitappiiu, ki ai'aksipokaiĭmmiuaie okku'yi, ki ak'anĭstsĭnnikŏttsiauaie Emmanuel, ito'kĭsasattop Ap'ĭstotokiuă ipokai'tappiĭmmau.
“Tazama, bikira atachukua mimba na kuzaa mtoto wa kiume, na watamwita jina lake Imanueli”— maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
24 Joseph otsipuawk'si otso'kani, ŭn'niitsitappiiu Ap'ĭstotokiuă oto'tokatatsĭs otan'iipiaie, ki ito'tuyiuaie otokem'an:
Yusufu aliamka kutoka usingizini na kufanya kama malaika wa Bwana alivyomwamuru na alimchukua kama mkewe.
25 Ki ototom'okkuyi otsauomai'pokaiĭsaie matpoksokamiu'atsaie: kinitsĭn'nikŏttsiuaie JESUS.
Hata hivyo, hakulala naye mpaka alipojifungua mtoto wa kiume na alimwita jina lake Yesu.