< Sefanaia 1 >

1 Eso amoga hina bagade Yousaia (A: mone ea mano) da Yuda soge ouligisu, amo esoha Hina Gode da Sefanaiama sia: ne i. (Sefanaia da Giusai amalu Gedalaia amalu A: malaia amalu hina bagade Hesigaia amo ilia egaga fi dunu esalu.)
Neno la Bwana lililomjia Sefania mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia, wakati wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda:
2 Hina Gode da amane sia: i, “Na da osobo bagadega esalebe liligi huluane gugunufinisisimu.
Bwana asema, “Nitafagia kila kitu kutoka kwenye uso wa dunia.”
3 Na da dunu fi huluane, ohe fi, sio amola menabo huluane wadela: lesimu. Wadela: i hamosu dunu huluane dafama: ne, Na da wadela: lesimu. Na da dunu fi huluane wadela: lesisia, dunu afae esalebe da hame ba: mu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.
“Nitafagilia mbali watu na wanyama; nitafagilia mbali ndege wa angani na samaki wa baharini. Wafanyao maovu watapata tu kokoto, nami nitamkatilia mbali mwanadamu atoke katika dunia,” asema Bwana.
4 Na da Yelusaleme moilai bai bagade fi amola Yuda soge fi huluane ilima se bagade imunu. Na da ilia Ba: ilema nodone sia: ne gadosu hou huluane gugunufinisimudafa. Amasea, dunu huluane da Na hou hame lalegagui gobele salasu dunu (amo da Ba: ilema hawa: hamosa) amo gogolele, bu hamedafa dawa: mu.
“Nitaiadhibu Yuda na wote wakaao Yerusalemu. Kutoka mahali hapa nitakatilia mbali kila mabaki ya Baali, majina ya wapagani na makuhani waabuduo sanamu:
5 Na da nowa dunu da diasu da: iya gado heda: le, eso amola gasumuni amola oubi amoma nodone sia: ne gadosa, amo fi huluane wadela: lesimu. Amola nowa da Nama nodone sia: ne gadosa, amola ilia lafidili Nama molole fa: no bobogemu sia: sa, be gilisili ogogosu ‘gode’ Moulege ea dioba: le sia: sa, amo amola Na da wadela: lesimu.
wale ambao husujudu juu ya mapaa kuabudu jeshi la vitu vya angani, wale ambao husujudu na kuapa kwa Bwana na ambao pia huapa kwa Malkamu,
6 Amola nowa dunu da Nama fa: no bobogelalu bu wadela: i hou amoma sinidigili, amola Nama Na ouligisu amola hou olelesu hame adole ba: sa, amo amola Na da wadela: lesimu,” Hina Gode da amane sia: i.
wale wanaoacha kumfuata Bwana, wala hawamtafuti Bwana wala kutaka shauri lake.
7 Hina Gode Ea Fofada: su Eso amoga E da osobo bagade fi wadela: lesimu amo da gadenesa. Amaiba: le, dilia huluane Ea midadi ouiya: le esaloma. Hina Gode da Ea fi dunu gobele salasu hou defele, medole legemu. E da ha lai dunu amo Yuda soge liligi huluane gegenana lama: ne hiougi dagoi.
Nyamazeni mbele za Bwana Mwenyezi, kwa maana siku ya Bwana iko karibu. Bwana ameandaa dhabihu, amewaweka wakfu wale aliowaalika.
8 Hina Gode da amane sia: sa, “Amo medole legesu esoga, Na da eagene hawa: hamosu dunu, amola hina bagade ea mano, amola nowa da ga fi ilia sia: ne gadosu hou hamonana, amo huluane ilima se imunu.
Katika siku ya dhabihu ya Bwana nitawaadhibu wakuu na wana wa mfalme na wale wote wanaovaa nguo za kigeni.
9 Na da nowa dunu da hame lalegagui agoane nodone sia: ne gadosa, amola ilia ouligisu dunu ea diasu wamolai liligi amoga nabama: ne wamolasa amola medole legesa, amo dunu huluane ilima Na da se bagade imunu.
Katika siku hiyo nitaadhibu wote ambao hukwepa kukanyaga kizingiti, ambao hujaza hekalu la miungu yao kwa dhuluma na udanganyifu.”
10 Hina Gode da amane sia: sa, “Amo esoga dilia da Yelusaleme moilai bai bagade Menabo Logo Ga: su amoga dibi sia: bagade nabimu. Yelusaleme moilai bai bagade gaheabolo la: idiga, dilia da didigia: su nabimu. Amola agolo damana agolo agebe ea ga: defele nabimu.
Bwana asema, “Katika siku hiyo kilio kitapanda juu kutoka lango la Samaki, maombolezo kutoka mtaa wa pili, na mshindo mkubwa kutoka vilimani.
11 Amo nabasea, dilia moilai bai bagade hagudu la: idi esalebe dunu, didiga: ma amola dima! Bai dilia bidi lasu dunu huluane da bogogia: i dagoi.
Ombolezeni, ninyi mnaoishi katika eneo la sokoni; wafanyabiashara wenu wote wameangamizwa, wote ambao wanafanya biashara ya fedha wataangamizwa.
12 Amasea, amo esoga, Na da gamali lale, Yelusaleme ganodini hogomu. Nowa dunu da hahawane hi hou da defele dawa: lebe, amola ilisu da, ‘Hina Gode da hamedei. E da hawa: hamomu hame dawa: ,’ amane sia: sa, amo huluanema Na da se imunu.
Wakati huo nitasaka mji wa Yerusalemu kwa taa, na kuwaadhibu wale ambao wanakaa katika hali ya kuridhika, ambao ni kama divai iliyobaki kwenye machicha, ambao hudhani, ‘Bwana hatafanya lolote, jema au baya.’
13 Ilia gagui liligi wamolai dagoi ba: mu, amola ilia diasu wadela: lesi dagoi ba: mu. Ilia da diasu ili gagubi amoga hamedafa fifi ahoanumu, amola ilia waini efe sagabe amo ea waini hano hamedafa nanamu.”
Utajiri wao utatekwa nyara, nyumba zao zitabomolewa. Watajenga nyumba, lakini hawataishi ndani yake; watapanda mizabibu lakini hawatakunywa divai yake.
14 Hina Gode Ea eso bagade da doaga: mu gadenesa. Amola gadeneidafa amola hedolowane doaga: mu. Amo eso da se nabasu bagadedafa ba: mu. Amola nimi bagade dadi gagui dunu da lobo healeiba: le, didigia: mu.
“Siku kubwa ya Bwana iko karibu: iko karibu na inakuja haraka. Sikilizeni! Kilio katika siku ya Bwana kitakuwa kichungu, hata shujaa atapiga kelele.
15 Amo eso da ougi ha lasu eso, se nabasu amola bidi hamosu eso, wadela: lesisu amola mugulusu eso, amoga da gasi bagade amola alaloyo amola hadigi da bunumai mumobiga dedebomu.
Siku ile ni siku ya ghadhabu, siku ya fadhaa na dhiki, siku ya uharibifu na ukiwa, siku ya giza na utusitusi, siku ya mawingu na giza nene,
16 Amo esoha gegesu ‘dalabede’ wesu bagade nabimu, amola gegesu dunu ilia halasu fawane nabimu. Ilia da moilai bai bagade gagili sali amola diasu sedade gado gagagula heda: i amoma doagala: beba: le, halasu bagade nabimu.
siku ya tarumbeta na mlio wa vita dhidi ya miji yenye ngome na dhidi ya minara mirefu.
17 Hina Gode da amane sia: sa, “Na da se nabasu bagadedafa dunu fifi asi gala huluane ilima imunu. Amaiba: le, ilia da si dofoi dunu agoane ahoanumu. Ilia da Nama wadela: le hamoiba: le, ilia maga: me da hano agoane sogadigimu, amola ilia bogogia: le, ilia da: i hodo da udigili osoboga dasagia: ma: ne dialumu.”
Nitawaletea watu dhiki, nao watatembea kama vipofu, kwa sababu wametenda dhambi dhidi ya Bwana. Damu yao itamwagwa kama vumbi na matumbo yao kama taka.
18 Amo esoha, Hina Gode da Ea ougi bagade hou olelesea, ilia silifa amola gouli gagui amo da ili hame gaga: mu. Osobo bagade huluane da Gode Ea ougi lalu agoane amoga wadela: lesi dagoi ba: mu. E da hedolodafa dunu huluane osobo bagade amoga esalebe, amo ilia esalusu dagolesimu.
Fedha yao wala dhahabu yao hazitaweza kuwaokoa katika siku hiyo ya ghadhabu ya Bwana. Katika moto wa wivu wake dunia yote itateketezwa, kwa maana ataleta mwisho wa wote wanaoishi katika dunia ghafula.”

< Sefanaia 1 >