< Segalaia 6 >

1 Na da esala ba: su eno ba: i. Wali na da ‘sa: liode’ biyaduyale amo ‘balase’ goumi aduna amo dibidili manebe ba: i.
Kisha nikageuka na kuinua macho na nikaona vibandawazi vinne vya farasi vikija kutoka kati ya milima miwili; na milima hiyo ilikuwa imetengenezwa kwa shaba.
2 Bisi ‘sa: liode’ da yoi hosiga hiougibi ba: i. Amo baligia da ‘sa: liode’ eno bunumai hosiga hiougibi ba: i.
Kibandawazi cha kwanza kilikuwa na farasi wekundu, kibandawazi cha pili kilikuwa na farasi weusi,
3 Amo baligia da ‘sa: liode’ ahea: iai hosiga hiougibi ba: i. Fa: nodafa ‘sa: liode’ da hoholei hosiga hiougibi ba: i.
kibandawazi cha tatu kilikuwa na farasi weupe, na kibandawazi cha nne kilikuwa na farasi wa kijivu.
4 Amalalu, na da a: igele dunuma adole ba: i, “Hina! ‘Sa: liode’ amo ilia bai da adila: ?”
Hivyo nikamwuliza malaika aliyesema nami, “Ni vitu gani hivi bwana wangu?”
5 A: igele da bu adole i, “Amo da fo biyaduyale gala. Ilia da Hina Gode (osobo bagade fifi asi gala huluane ilia Hina Gode) amo Ea midadi dialu, wahadafa misi.”
Malaika akajibu na kuniambia, “Hizi ni pepo nne za mbinguni zisimamazo mbele ya Bwana wa dunia yote.
6 ‘Sa: liode’ amo da bunumai hosiga hiougi da ga (north) Ba: bilone sogega doaga: musa: ahoanu. Amola ahea: iai hosi da ilia ‘sa: liode’ guma: dini hiougilala ahoanu. Amola hoholei hosi da ilia ‘sa: liode’ ga (south) soge amoga hiougilala ahoanu.
Lenye farasi weusi linakwenda nchi ya kaskazini; farasi weupe wanakwenda nchi ya magharibi; na farasi wa kijivu wanakwenda nchi ya kusini.”
7 Hoholei hosi da gadili manoba, ilia da osobo bagade hedolowane abodele ba: mu hanaiba: le, momaboi agoai ba: i. A: igele da ilima amane sia: i, “Dilia asili, osobo bagade abodema!” Amalalu, ilia amanewane hamoi.
Farasi hawa wenye nguvu walitoka na wanatafuta kwenda na kuzunguka juu ya nchi, hivyo malaika akasema, “Nendeni na mzunguke juu ya nchi!” nao wakaenda juu ya dunia yote.
8 Amalalu, a:igele dunu da nama amane wele sia: i, “Hosi amo da ga (north) Ba: bilone sogega asi amo da Hina Gode Ea ougi guminisi dagoi.”
Kisha akaniita na kuniambia, “Tazama wale wanaokwenda nchi ya kaskazini, wataituliza roho yangu juu nchi hiyo.”
9 Hina Gode da amo sia: ne iasu nama i.
Hivyo neno la Yahwe likanijia kusema,
10 E amane sia: i, “Iasu amo mugululi asi dunu Heledai, Doubaidia amola Yeda: ia da i, Di amo lale, wahadafa Yousaia (Sefanaia egefe) amo ea diasuga gaguli masa. Amo dunu Na waha sia: i huluane da Ba: bilone sogega mugululi asili, buhagi dagoi.
“Chukua sadaka kutoka kwa waliohamishwa - kutoka kwa Helidai, Tobiya na Yedaya - leo hii uende na kuipeleka katika nyumba ya Yosia mwana wa Zefania, aliyetoka Babeli.
11 Ilia gouli amola silifa iasu liligi amoga habuga hahamone, gobele salasu fi ouligisu dunu, Yosiua (Yihosada: ge egefe) amo ea dialuma da: iya figisima.
Kisha uchukue fedha na dhahabu, ufanye taji na uivike katika kichwa cha Yoshua mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu.
12 Ema Hina Gode Bagadedafa Ea sia: ne iasu olelema amane, ‘Dunu amo Ea Dio da Ifa Amoda da Hi lelebe sogebi amogawi salusaluia heda: mu. Amola E da Hina Gode Ea Debolo Diasu bu gagumu.
Ongea naye na useme, Yahwe wa majeshi asema hivi: Mtu huyu, jina lake Tawi! Naye atakuwa alipo na kisha atajenga hekalu la Yahwe!
13 Hi fawane da Debolo Diasu buga: le gagumu, amola osobo bagade dunu da Ema nodomu. Amola E da Ea fi dunu ouligimu. Gobele salasu dunu e da Ifa Amoda Ea hina bagade fisu dafulili lelebe ba: mu. Amola ela da gilisili hahawane olofole hawa: hamomu.
Ndiye atakayejenga hekalu la Yahwe naye atauinua utukufu wake; kisha ataketi na kutawala katika kiti chake cha enzi. Atakuwa kuhani juu ya kiti cha enzi na ufahamu wa amani utakuwa kati ya vyote viwili.
14 Amola habuga da Hina Gode Ea Debolo diasu ganodini, Heledai, Doubaidia, Yeda: ia amola Yousaia ilima nodoma: ne dawa: digima: ne olelesu liligi agoane ba: mu.”
Taji itawekwa hekaluni mwa Yahwe kwa heshima ya Heldai, Tobiya na Yedaya na kama kumbukumbu ya ukarimu wa mwana wa Zefania.
15 Dunu amo da badilia esala, da misini, Hina Gode Ea Debolo bu gaguma: ne fidimu. Amola Debolo da bu gagui dagosea, dilia da Hina Gode Bagadedafa da na dilima asunasi, amo dawa: digimu. Dilia da mae giadofale, dilia Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i huluane nabawane hamosea, amo hou huluane doaga: i dagoi ba: mu.
Ndipo waliombali watakapokuja na kulijenga hekalu la Yahwe, hivyo mtajua kuwa Yahwe wa majeshi amenituma kwenu; kwani ikiwa kweli mnaisikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu hili litatendeka!”

< Segalaia 6 >