< Segalaia 4 >

1 A: igele amo da musa: nama sia: dasu, da nama bu misini, na da golai dianabeyale dawa: le, na didilisi.
Kisha malaika aliyezungumza nami akarudi na kuniamsha, kama mtu aamshwavyo kutoka usingizi wake.
2 E da nama amane adole ba: i, “Dia da adi ba: sala: ?” Na da bu adole i, “Na da gamali bugisu ba: i gouliga hamoi amo ba: be. Gamali bai dabuagado da susuligi salima: ne fagoi gala. Amola gamali bugisu bai amoga da gamali fesuale gala. Amola gamali afae afae da wigi sogebi fesuale gala ba: sa.
Akaniuliza, “Unaona nini?” Nikajibu, “Ninaona kinara cha taa cha dhahabu tupu, nacho kina bakuli juu yake na taa zake saba juu yake, tena iko mirija saba ya kuleta mafuta, kwenye taa zote zilizo juu yake.
3 Gamali bugisu bai la: idi la: idili da olife ifa lelebe ba: sa.”
Pia kuna mizeituni miwili karibu yake, mmoja upande wa kuume wa bakuli na mwingine upande wa kushoto.”
4 Amalalu, na da a: igele dunuma adole ba: i, “Hina! Amo liligi ea bai da adi olelesala: ?”
Nikamuuliza malaika aliyezungumza nami, “Hivi ni vitu gani, bwana wangu?”
5 E da nama amane adole ba: i, “Di da amo hame dawa: bela: ?” Na bu adole i, “Hina! Na da hame dawa: !” (Segalaia 4:10b asili Segalaia 4:14 da idisu dunu ilia bai noga: le dawa: ma: ne goeguda: dedei) b A: igele dunu da nama amane sia: i, “Gamali fesuale da fedege agoane Hina Gode Ea si fesuale, amoga E da osobo bagade fifi asi gala huluane ba: lala.” Amalalu, na da ema adole ba: i, “Olife ifa aduna gamali bugisu bai la: idi la: idi lelebe amo elea bai da adila: ? Amola olife amoda aduna amo da gouliga hamoi buni damagelei aduna amoga olife susuligi da amodili bubuga: sa, amo la: idi la: idi lela, amo elea bai da adila: ?” E da nama amane adole ba: i, “Di da amo hame dawa: bela: ?” Nabu adole i, “Hina! Na da hame dawa:” Amalalu, e da nama bu adole i, “Amo liligi aduna da fedege agoane dunu aduna amo Gode (E da osobo bagade huluanedafa amoga Hina Gode esala) E da Ea hawa: hamoma: ne, elama susuligi sogagala: le ilegele lai.”
Akanijibu, “Hujui kuwa hivi ni vitu gani?” Nikajibu, “Hapana, bwana wangu.”
6 A: igele dunu da nama amo Hina Gode Ea sia: ne iasu Selababelema sia: ma: ne sia: i, “Di da dadi gagui wa: i ilia gasaga o dia gasa, amoga hame hasalasimu. Be di da Na A: silibu amoga hasalasimu.
Kisha akaniambia, “Hili ni neno la Bwana kwa Zerubabeli: ‘Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa Roho yangu,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
7 Di da ahoasea, dia logo ga: su liligi goumi bagade defele ba: mu. Be Na gasaga amo da alalolesimu. Di da Debolo diasu bu gagumu. Amola, amo dagosea, di da fa: nodafa igi ligisisia, dunu huluane da, ‘Noga: idafa! Noga: idafa!’ nodone sia: mu.”
“Wewe ni kitu gani, ee mlima mkubwa sana? Mbele ya Zerubabeli wewe utakuwa ardhi tambarare. Kisha ataweka jiwe la juu kabisa la mwisho na watu wakipiga kelele wakisema, ‘Mungu libariki! Mungu libariki!’”
8 Hina Gode da eno sia: ne iasu nama i.
Kisha neno la Bwana likanijia:
9 E amane sia: i, “Selababele da Debolo bai fa: si dagoi. Amola e da Debolo diasu amo gaguli dagomu. Amo hou ba: sea, Na fi dunu da Na da di ilima asunasi, amo dawa: digimu.
“Mikono ya Zerubabeli iliweka msingi wa Hekalu hili, mikono yake pia italimalizia. Kisha mtajua ya kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote amenituma mimi kwenu.
10 Wali, hawa: hamosu da hame hehenaiba: le, ilia da da: i dioi. Be fa: no ilia da Selababele gebewane Debolo diasu gagulalebe ba: sea, ilia da hahawane ba: mu.”
“Ni nani anayeidharau siku ya mambo madogo? Watu watashangilia watakapoona timazi mkononi mwa Zerubabeli. “(Hizi saba ni macho ya Bwana ambayo huzunguka duniani kote.)”
Kisha nikamuuliza yule malaika, “Hii mizeituni miwili iliyoko upande wa kuume na wa kushoto wa kinara cha taa ni nini?”
Tena nikamuuliza, “Haya matawi mawili ya mizeituni karibu na hiyo mirija miwili ya dhahabu inayomimina mafuta ya dhahabu ni nini?”
Akajibu, “Hujui kuwa haya ni nini?” Nikamjibu, “Hapana, bwana wangu.”
Kwa hiyo akasema, “Hawa ni wawili ambao wamepakwa mafuta ili kumtumikia Bwana wa dunia yote.”

< Segalaia 4 >