< Segalaia 12 >

1 Hina Gode da mu fadegale gai. E da osobo bagade hahamoi. E da osobo bagade dunu ilima esalusu iasu. Amo Hina Gode da Isala: ili soge ea fa: no misunu hou olelema: ne, amo sia: ne iasu i.
Hili ni neno la Bwana kuhusu Israeli. Bwana, yeye azitandaye mbingu, awekaye misingi ya dunia na aiumbaye roho ya mwanadamu ndani yake, asema:
2 E da amane sia: sa, “Na da Yelusaleme amo faigelei waini hanoga nabai agoane hamomu. Fifi asi gala ema sisiga: le disi da amoga nalu, adini ba: i dunu defele felowale masunu. Amola ilia da Yelusaleme doagala: musa: masea, ilia da Yuda moilai bai bagade huluane doagala: mu.
“Nitakwenda kufanya Yerusalemu kuwa kikombe cha kuyumbisha mataifa yote yanayoizunguka. Yuda utazingirwa kwa vita na Yerusalemu pia.
3 Be amo esoha, Na da Yelusaleme amo igi dioi bagadedafa agoane hamomu. Nowa fifi asi gala da amo gaguia gadomusa: dawa: sea da se bagade nabimu. Osobo bagade fifi asi gala huluane da Yelusaleme doagala: musa: gilisimu.
Katika siku hiyo, wakati mataifa yote ya dunia yatakapokusanyika dhidi yake, nitaufanya Yerusalemu kuwa jabali lisilosogezwa kwa mataifa yote. Wote watakaojaribu kulisogeza watajiumiza wenyewe.
4 Amo esoha, Na da ilia hosi huluane beda: ne fofogadigima: ne hamomu. Amola ilima fila heda: i dunu huluane Na da doula masa: ne hamomu. Na da Yuda fi sosodo aligimu, be ilima ha lai dunu ilia hosi si huluane Na da dofonesimu.
Katika siku hiyo nitampiga kila farasi kwa hofu ya ghafula, naye ampandaye nitampiga kwa uwazimu,” asema Bwana. “Nitalielekeza jicho langu la ulinzi juu ya nyumba ya Yuda, nami nitawapofusha farasi wote wa mataifa.
5 Amasea, Yuda sosogo fi ilia da ilisu amane sia: mu, ‘Hina Gode Bagadedafa da Ea fi dunu Yelusaleme ganodini esalebe ilima gasa fufugilisisa.’
Kisha viongozi wa Yuda watasema mioyoni mwao, ‘Watu wa Yerusalemu wana nguvu kwa sababu Bwana Mwenye Nguvu Zote ni Mungu wao.’
6 Amo galu, Na da Yuda sosogo fi ili, lalu amo da iwila ganodini o gagoma bugi denesi ganodini nebe, agoane hamomu. Ilia da ili sisiga: le fifi asi gala amo huluane wadela: lesimu. Yelusaleme fi dunu ilia da ilia moilai bai bagade ganodini hahawane gaga: iwane esalebe ba: mu.
“Katika siku hiyo nitawafanya viongozi wa Yuda kuwa kama kigae cha moto ndani ya lundo la kuni, kama mwenge uwakao kati ya miganda. Watateketeza kulia na kushoto mataifa yote yanayowazunguka, lakini Yerusalemu utabaki salama mahali pake.
7 Na, Hina Gode, da hidadea Yuda dadi gagui wa: i ilima hasalasu imunu. Amasea, Da: ibidi egaga fi dunu amola Yelusaleme fi dunu iligaga fi dunu ilima nodosu da Yuda fi dunu eno ilima nodosu hame baligimu.
“Bwana atayaokoa makao ya Yuda kwanza, ili heshima ya nyumba ya Daudi na wakazi wa Yerusalemu isiwe kubwa zaidi kuliko ile ya Yuda.
8 Amo esoha, Hina Gode da Yelusaleme ganodini esalebe dunu gaga: mu. Ilia gilisisu ganodini, gogayaidafa dunu da Da: ibidi defele gasa bagade ba: mu. Da: ibidi egaga fi dunu da Hina Gode Ea a: igele dunu amola Godedafa amo defele, ili sigi masunu.
Katika siku hiyo, Bwana atawakinga wale waishio Yerusalemu, ili kwamba aliye dhaifu kupita wote miongoni mwao awe kama Daudi, nayo nyumba ya Daudi itakuwa kama Mungu, kama Malaika wa Bwana akiwatangulia.
9 Amo esoha, nowa fifi asi gala da Yelusaleme doagala: musa: adoba: sea, Na da amo fi gugunufinisimu.
Katika siku hiyo nitatoka kuangamiza mataifa yote yatakayoshambulia Yerusalemu.
10 Na da Da: ibidi egaga fi dunu amola Yelusaleme fi dunu eno huluane amo asigidafa amola sia: ne gadosu a: silibu amoga nabalesimu. Ilia da Na bogoma: ne soi dagoi, amola amo esoha ilia da Na bu ba: muba: le, dunu da ea magobo mano bogoiba: le didiga: su defele, ha: giwane didiga: mu.
“Nami nitamiminia nyumba ya Daudi na wakazi wa Yerusalemu roho ya neema na maombi. Watanitazama mimi, yule waliyemchoma. Nao watamwombolezea kama mtu anayemwombolezea mwanawe wa pekee na kusikitika kwa uchungu kama anayemsikitikia mzaliwa wake wa kwanza wa kiume.
11 Megidou umi ganodini, ogogole ‘gode’ Ha: ida: delimone da bogoiba: le, dunu da ha: giwane didiga: sa. Na da Yelusaleme amoma bu masea, Yelusaleme fi dunu ilia didiga: su da amo defele ba: mu.
Katika siku hiyo kilio kitakuwa kikubwa Yerusalemu, kama kilio cha Hadad-Rimoni katika tambarare ya Megido.
12 Yuda soge ganodini, sosogo fi huluane afafai da higagale dimu. Da: ibidi egaga fifi misi, Na: ida: ne egaga fifi misi, Lifai egaga fifi misi, Simiai egaga fifi misi amola eno fifi misi huluane da higagale didiga: mu. Dunu da ilisu didiga: mu amola uda da ilisu didiga: mu.
Nchi itaomboleza, kila ukoo peke yake, nao wake zao peke yao. Ukoo wa nyumba ya Daudi na wake zao, ukoo wa nyumba ya Nathani na wake zao,
ukoo wa nyumba ya Lawi na wake zao, ukoo wa Shimei na wake zao,
na koo zote zilizobaki na wake zao.

< Segalaia 12 >