< Segalaia 11 >

1 Lebanone soge! Lalu da dia dolo ifa ulagima: ne, dia logo gagai doasima!
Fungua milango yako, ee Lebanoni, ili moto uteketeze mierezi yako!
2 ‘Saibalase’ ifa! Dilia dima amola didiga: ma! Dolo ifa da dafai dagoi. Amo hadigi ifa huluane da wadela: lesi dagoi. Ba: isia: ne soge ‘ouge’ ifa! Dilia amola dima amola didiga: ma! Iwila digai da abusa: i dagoi ba: sa.
Piga yowe, ee mti wa msunobari, kwa kuwa mwerezi umeanguka; miti ya fahari imeharibiwa! Piga yowe, enyi mialoni ya Bashani, msitu mnene umefyekwa!
3 Ouligisu dunu da se bagade nababeba: le, wele disa. Ilia hadigi da asi dagoi. Laione wa: me ilia ha: giwane gesenebe nabima! Ilia iwila fifi lasu Yodane Hano bega: dialu da wadela: lesi dagoi!
Sikiliza yowe la wachungaji; malisho yao manono yameangamizwa! Sikia ngurumo za simba; kichaka kilichostawi sana cha Yordani kimeharibiwa!
4 Na Hina Gode da nama amane sia: i, “Di sibi ouligisu dunu defele, adoba: ma! Di da sibi amo da enoga medole legemu gadenei, amo ouligimusa: adoba: ma!
Hili ndilo asemalo Bwana Mungu wangu: “Lilishe kundi lililokusudiwa kuchinjwa.
5 Amo sibi ilia gagui dunu da ili medole legemu, be se dabe hame laha. Ilia da sibi ilia hu bidi lale, amane sia: daha, ‘Hina Godema nodoma! Ninia da bagade gagui gala.’ Amola sibi ilia ouligisu dunu amolawane da ilima hame asigisa.”
Wanunuzi wake huwachinja na kuondoka pasipo kuadhibiwa. Wale wanaowauza husema, ‘Bwana asifiwe, mimi ni tajiri!’ Wachungaji wao wenyewe hawawahurumii.
6 (Hina Gode da amane sia: i, “Na da wali weganini osobo bagade dunuma hame asigimu. Na Nisu da ouligisu dunu amo da ilia gasaga dunu huluane ouligima: ne asunasimu. Amo ouligisu dunu da osobo bagade gugunufinisimu. Amola Na da osobo bagade dunu amo ouligisu dunu ilia gasaga hame gaga: mu.”)
Kwa kuwa sitawahurumia tena watu wa nchi,” asema Bwana. “Nitawakabidhi kila mtu mkononi mwa jirani yake na mfalme wake. Wataitenda jeuri nchi, nami sitawaokoa kutoka mikononi mwao.”
7 Dunu amo da sibi bidiga lasu amola bidiga lama: ne legesu da na hawa: hamoma: ne hiougi. Amola na da sibi amo da medole legemu gadenei, ilia sibi ouligisu hamoi. Na da ifa daba: aduna lai. Ifa daba: afae amoga na da ‘Udigili Hahawane Iasu Hou’ dio asuli. Na da enoma, ‘Madela’ dio asuli. Amola na da sibi wa: i ouligi.
Kwa hiyo nikalilisha kundi lililotiwa alama kwa kuchinjwa, hasa kundi lililoonewa sana. Kisha nikachukua fimbo mbili, moja nikaiita Fadhili na nyingine Umoja, nami nikalilisha kundi.
8 Sibi ouligisu dunu eno udiana da nama higabeba: le, na da momaboi ba: i. Na da oubi afae amoga ili huluane fadegale fasi.
Katika mwezi mmoja nikawaondoa wachungaji watatu. Kundi la kondoo likanichukia, nami nikachoshwa nao,
9 Amalalu, na da sibi wa: i ilima amane sia: i, “Na da bu dilia ouligisu dunu hame ganumu. Dilia da bogomu galea, defea, bogoma! Dilia da wadela: lesimu galea, defea, wadela: lesi dagoi ba: mu da defea. Amola hame bogoi esalebe, da ili gobele wadela: lesimu.”
nikasema, “Sitakuwa mchungaji wenu. Waache wanaokufa wafe na wanaoangamia waangamie. Wale waliobakia kila mmoja na ale nyama ya mwenzake.”
10 Amalalu, na da ifa daba: ea dio amo ‘Udigili Hahawane Iasu Hou’ amo lale fi. Amo fedege agoane da Hina Gode Ea fifi asi gala huluane ilima Gousa: su Hamoi amo fi dagoi.
Kisha nikachukua fimbo yangu inayoitwa Fadhili nikaivunja, kutangua Agano nililofanya na mataifa yote.
11 Amaiba: le, amo esoha Hina Gode Ea Gousa: su da fisiagai dagoi ba: i. Dunu amo da sibi bidiga lasu amola bidiga lama: ne legesu da na ba: lalu. Hina Gode da na hamobe ganodini ilima sia: dalebe, amo ilia da dawa: i galu.
Likatanguka siku hiyo, kwa hiyo wale waliodhurika katika kundi, waliokuwa wakiniangalia wakajua kuwa hilo lilikuwa neno la Bwana.
12 Na da ilima amane sia: i, “Dilia da hanai galea, nama na hawa: hamosu bidi ima. Be hame imunu galea, dili gagulaligima!” Amaiba: le, ilia da na hawa: hamoi dabe, silifa fage 30 agoane nama i.
Nikawaambia, “Mkiona kuwa ni vyema, nipeni ujira wangu, la sivyo, basi msinipe.” Kwa hiyo wakanilipa vipande thelathini vya fedha.
13 Hina Gode da nama amane sia: i, “Amo silifa fage Debolo diasu muni salasu ganodini salima!” Amaiba: le, na da silifa fage 30 lale (na bidi lamu defei da silifa fage 30 fawane, ilia da dawa: i) amola Debolo diasu muni salasu ganodini sali.
Naye Bwana akaniambia, “Mtupie mfinyanzi,” hiyo bei nzuri waliyonithaminia! Kwa hiyo nikachukua hivyo vipande thelathini vya fedha na kumtupia huyo mfinyanzi katika nyumba ya Bwana.
14 Amalalu, na da eno ifa daba: ea dio amo ‘Madela’ amo fi. Amalalu, Isala: ili amola Yuda madela galu da mogi dagoi ba: i.
Kisha nikaivunja fimbo yangu ya pili iitwayo Umoja, kuvunja undugu kati ya Yuda na Israeli!
15 Amalalu, Hina Gode da nama amane sia: i, “Bu enowane, sibi ouligisu dunu ea hou defele adoba: ma! Be wali wadela: i sibi ouligisu dunu defele adoba: ma!
Kisha Bwana akaniambia, “Vitwae tena vifaa vya mchungaji mpumbavu.
16 Na da Na sibi wa: i ouligima: ne, ouligisu dunu ilegei. Be Na sibi da wadela: sa: besa: le, e da Na sibi hamedafa fidisa. E da sibi fisi amo hame hogosa, amola se nabi amo hame uhinisisa, amola hame bogoi esalebe sibi ilima ha: i hame iaha. Be amomane e da sibi sefenadafa amo ilia hu naha amola ilia emo ifi duga: le fasisa.
Kwa maana ninakwenda kumwinua mchungaji juu ya nchi ambaye hatamjali aliyepotea, wala kuwatafuta wale wachanga au kuwaponya waliojeruhiwa, wala kuwalisha wenye afya, lakini atakula nyama ya kondoo wanono na kuzirarua kwato zao.
17 Amo wadela: i hamedei sibi ouligisu dunu da wadela: lesi dagoi ba: mu. E da sibi wa: i amo fisiagai dagoi. Gegesu da ea gasa amo wadela: lesimu. Ea lobo da lologomu amola ea sidafadi da dofoi dagoi ba: mu.”
“Ole wa mchungaji asiyefaa, anayeliacha kundi! Upanga na uupige mkono wake na jicho lake la kuume! Mkono wake na unyauke kabisa, jicho lake la kuume lipofuke kabisa!”

< Segalaia 11 >