< Segalaia 10 >

1 Hina Godema E da ha: i manu bugi fada: gia: ma: ne oubi amoga gibu ima: ne adole ba: ma! Hina Gode Hifawane da gibu mobi amola sasafugi gibu iaha. Amola amo gibu da dunu huluane fidima: ne, bugili nasu soge nasegaginisisa.
Mwombeni Bwana mvua wakati wa vuli; ndiye Bwana atengenezaye mawingu ya tufani. Huwapa watu manyunyu ya mvua, pia mimea ya shambani kwa ajili ya kila mtu.
2 Osobo bagade dunu da ogogole loboga hamoi ‘gode’ amola ogogole balofede dunu ilima adole ba: sa. Be ilima bu adole iasu da ogogosu amola hamedei sia: Mogili da simasia ba: i ilia bai olelesa, be ogogole olelesa. Amo dogo denesisu hou ilia da iabe da hamedei fawane. Amaiba: le, dunu da sibi fisi defele, udigili lafiadalebe. Ilia da bidi hamosu bagade ba: lala. Bai ilia da ouligisu dunu hame gala.
Sanamu huzungumza udanganyifu, waaguzi huona maono ya uongo; husimulia ndoto ambazo si za kweli, wanatoa faraja batili. Kwa hiyo watu wanatangatanga kama kondoo walioonewa kwa kukosa mchungaji.
3 Hina Gode da amane sia: sa, “Na da ga fi amo da Na fi dunu ouligibi, ilima ougi bagade gala. Amaiba: le, Na da ilima se dabe imunu. Yuda fi dunu ili da Na: Amola Na, Hina Gode Bagadedafa, Na fawane da ili ouligimu. Ilia da fedege agoane, Na gasa bagade gegesu hosi agoai ba: mu.
“Hasira yangu inawaka dhidi ya wachungaji, nami nitawaadhibu viongozi; kwa kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote atalichunga kundi lake, nyumba ya Yuda, naye atawafanya kuwa kama farasi mwenye kiburi akiwa vitani.
4 Yuda fi amoga ouligisu dunu amola hamoma: ne sia: i olelesu dunu, ilia da heda: le, Na fi ouligimu.
Kutoka Yuda litatokea Jiwe la pembeni, kutoka kwake vitatoka vigingi vya hema, kutoka kwake utatoka upinde wa vita, kutoka kwake atatoka kila mtawala.
5 Yuda fi dunu da ilima ha lai dunu hasalimu. Dadi gagui dunu da ilia ha lai dunuma osa: le heda: le, logo fafuga ososa: gilisibi, amo defele ilia da hasalimu. Hina Gode da ili gilisili gegebeba: le, ilia da gasawane gegemu. Amola ilia hosi da: iya fila heda: i dunu amolawane hasalimu.
Kwa pamoja watakuwa kama mashujaa wanaokanyaga barabara za matope wakati wa vita. Kwa sababu Bwana yu pamoja nao, watapigana na kuwashinda wapanda farasi.
6 Hina Gode da amane sia: sa, “Na da Yuda fi dunu gasa fufugilisimu. Na da Isala: ili dunu gaga: mu. Na da ilima asigimu, amola ili huluane bu ilia fifi lasua oule misunu. Na da ili fonobahadi fisiagai dagoi. Be ilia da bu masea, ilia da Na ili hamedafa fisiagai agoane ba: mu. Bai Na da ilia Hina Gode, amola Na da ilia sia: ne gadobe amoma dabe adole imunu.
“Nitaiimarisha nyumba ya Yuda na kuiokoa nyumba ya Yosefu. Nitawarejesha kwa sababu nina huruma juu yao. Watakuwa kama watu ambao sijawahi kuwakataa kwa sababu mimi ndimi Bwana Mungu wao, nami nitawajibu.
7 Isala: ili dunu da gasa bagade, dadi gagui dunu agoai ba: mu. Ilia dunu amo da waini hano maiba: le hahawane ba: be agoai ba: ma. Iligaga fifi mabe dunu da amo hasalasisu dawa: mu. Amola Hina Gode Ea hamobeba: le, hahawane ba: mu.
Waefraimu watakuwa kama mashujaa, mioyo yao itafurahi kana kwamba ni kwa divai. Watoto wao wataona na kufurahi, mioyo yao itashangilia katika Bwana.
8 Na da Na dunuma wele, ili gagadole gilisimu. Na da ili gaga: mu. Amola ilia idi da musa: bagohame amo defele Na da ilia idi agoai bu hamonesimu.
Nitawaashiria na kuwakusanya ndani. Hakika nitawakomboa, nao watakuwa wengi kama walivyokuwa mwanzoni.
9 Na da Na fi dunu ga fifi asi gala amo ganodini afagogolesi dagoi. Be amo soge sedagaga ilia da Na bu dawa: lumu. Ilia amola ilia mano da mae bogole, gilisili ili fifi lasua buhagimu.
Ijapokuwa niliwatawanya miongoni mwa mataifa, hata hivyo wakiwa katika nchi za mbali watanikumbuka mimi. Wao na watoto wao watanusurika katika hatari nao watarudi.
10 Na da ili Idibidi sogega amola Asilia soge amoga lale, ili bu oule misunu. Amola ilia fifi lasudafa amo ganodini bu fifi lama: ne hamomu. Na da ili Gilia: de amola Lebanone soge amolawane ili fifi lama: ne oule misunu. Dunu ilia da soge huluane nabamu.
Nitawarudisha kutoka Misri na kuwakusanya toka Ashuru. Nitawaleta katika nchi ya Gileadi na Lebanoni, na hapo hapatakuwa na nafasi ya kuwatosha.
11 Ilia da bidi hamosu amo fedege agoane hano wayabo bagade baligili ahoasea, Na, Hina Gode, da hano amoga gafululi famu. Amasea, Naile Hano lugudu da hafoga: mu. Na da Asilia gasa fi dunu ili asabomu. Amola gasa bagade Idibidi fi dunu amoga ilia gasa fadegale fasimu.
Watapita katika bahari ya mateso; bahari iliyochafuka itatulizwa na vilindi vyote vya Mto Naili vitakauka. Kiburi cha Ashuru kitashushwa, nayo fimbo ya utawala ya Misri itatoweka.
12 Na da Na fi dunu gasa fufugilisimu. Ilia da Nama nodone sia: ne gadomu amola Na hamoma: ne sia: i nabawane hamomu.” Hina Gode da sia: i dagoi.
Nitawaimarisha katika Bwana, na katika jina lake watatembea,” asema Bwana.

< Segalaia 10 >