< Soloumane ea Gesami 6 >

1 “Saga! Baligili noga: i ba: su uda! Dia sasagesu da habidili asibala: ? Ninia di fidili hogole ba: musa: , ea asi logo ninima adoma.” Uda da amane sia: i,
Mpenzi wako amekwenda wapi, ewe mzuri kupita wanawake wote? Mpenzi wako amegeukia njia ipi, tupate kumtafuta pamoja nawe?
2 “Na sasagesu dunu da ea ifabia (amogawi ‘bolosame’ ifa da heda: la) amoga asi dagoi. E da amogawi ea sibi wa: i amoma ha: i manu iana amola ‘lili’ mosoi gagadolala.
Mpenzi wangu amekwenda bustanini mwake, kwenye vitalu vya vikolezo, kujilisha bustanini na kukusanya yungiyungi.
3 Na sasagesu dunu da na: Amola na da ea: E da ‘lili’ bugi amo ganodini ea sibi wa: i amoma ha: i manu iana.” Dunu da amane sia: i,
Mimi ni wake mpenzi wangu, na mpenzi wangu ni wangu; yeye hujilisha katikati ya yungiyungi.
4 “Na dogolegei! Di da Yelusaleme moilai bai bagade amola Disa moilai bai bagade defele, noga: idafa ba: sa. Dunu da amo moilai bai bagade ela hahalogoboi ba: sea, fofogadigiba: le, habe ha: sa. Amola dia isisima: goi ba: sea, agoaiwane hamosa.
Wewe ni mzuri, mpenzi wangu, kama Tirsa, upendezaye kama Yerusalemu, umetukuka kama jeshi lenye bendera.
5 Dia si hamega ba: legama! Dia si da na gagulaligisa! Dia dialuma hinabo da goudi wa: i amo da Gilia: de agologa soagagala: ahoa agoane giginisa dabe ba: sa.
Uyageuze macho yako mbali nami, yananigharikisha. Nywele zako ni kama kundi la mbuzi wanaoteremka kutoka Gileadi.
6 Dia bese da sibi amo da hinabo waha dodofei agoane ba: sa. Afae da hame gumi ba: sa. Ilia huluane da defele dadalei ba: sa.
Meno yako ni kama kundi la kondoo watokao kuogeshwa. Kila mmoja ana pacha lake, hakuna hata mmoja aliye peke yake.
7 Dia ba: da dia odagi dedebosu abula baligiadili da nenemegisa.
Mashavu yako nyuma ya shela yako ni kama vipande viwili vya komamanga.
8 Defea! Hina bagade da uda 60 lamu da defea. Amola gidisedagi uda 80 amola uda afini idimu hamedei lamu da defea.
Panaweza kuwepo malkia sitini, masuria themanini na mabikira wasiohesabika;
9 Be na da afae fawane ni dogolegesa. Amola amo da ‘dafe’ sio defele, isisima: goi ba: sa. E da ea: me ea dogolegei uda mano afae fawane gala. Uda huluane ema ba: le nodone sia: sa. Hina bagade uda ilia, amola gidi sedagi uda ilia da e nodoma: ne gesami hea: sa.
lakini hua wangu, mkamilifu wangu, ni wa namna ya pekee, binti pekee kwa mama yake, kipenzi cha yeye aliyemzaa. Wanawali walimwona na kumwita aliyebarikiwa; malkia na masuria walimsifu.
10 Amo da nowala: ? Ea ba: la ahoabe da eso mabe agoai ba: sa. E da isisima: goi amola hadigi. E da eso amola oubi agoai, si nenemegini, ba: mu gogolei.
Ni nani huyu atokeaye kama mapambazuko, mzuri kama mwezi, mwangavu kama jua, ametukuka kama nyota zifuatanazo?
11 Na da ‘amode’ ifa bugi bobodole ganodini amo nono heda: i amola lubi gaheabolo efega lai amola ‘bomigala: nidi’ ifa amo ea mosoi ba: la misi dagoi.
Niliteremka kwenye bustani ya miti ya milozi ili kutazama machipuko ya bondeni, kuona kama mizabibu imechipua au kama mikomamanga imechanua maua.
12 Na da yagugubi. Sa: liode genonesisu dunu da gegemusa: hanai gala, amo defele na da dima sasagesu hou hamomu hanai.” Yelusaleme uda ilia da amane sia: i,
Kabla sijangʼamua, shauku yangu iliniweka katikati ya magari ya kifalme ya kukokotwa na farasi ya watu wangu.
13 “Siogoma! Siulame uda a: fini! Di siogoma! Ninia ba: musa: , dia siogoma!” Uda da amane sia: i, “Na da la: idi amola la: idi dadalele lefulubi dunu dogoa siogosea, dilia abuliba: le na ba: musa: hanabela: ?”
Rudi, rudi, ee Mshulami; rudi, rudi ili tupate kukutazama! Mpenzi Kwa nini kumtazama Mshulami, kama kutazama ngoma ya Mahanaimu?

< Soloumane ea Gesami 6 >