< Soloumane ea Gesami 3 >

1 Na gasi huluane bobaligilalebe, na da na golasuga golai dialu, na sasagesu dunu simasia ba: i. Na da e hogolalu be hame ba: i.
Usiku katika kitanda changu nilikuwa na shauku ya yeye ni mpendaye; nilimtafuta, lakini sikumpata.
2 Na da moilai bai bagadega amoga logoba: le amola logo fonoboiba: le, e hogosa lalalu. Na da e hogolalu, be hame ba: i.
Nilisema binafsi, “Nitainuka na kwenda kupitia mji, kupitia mitaa na sokoni; nitamtafuta.” Nilimtafuta, lakini sikumpata.
3 Sosodo aligisu dunu amo da moilai ouligili lalebe da na ba: i. Na da ilima amane adole ba: i, ‘Dilia da na sasagesu dunu ba: bela: ?’
Walinzi walinipata walipo kuwa doria katika mji. Nikawauliza, “Mmemuona mpenzi wangu?”
4 Na da ili yolesilalu, e ba: i. Na da e gagulaligili, amola e masa: ne mae yolesili dialobawane, na da e adole, na: me ea diasuga oule asili, sesei amoga na da lalelegei, amoga e oule asi.
Ni baada ya mda mfupi kupita nilipo wapita nikampata ninaye mpenda. Nilimshika na sikumuacha hadi nilipo mleta nyumbani mwa mama yangu, katika chumba cha yeye aliyenichukua mimba. Mwanamke akiongea na wanawake wengine.
5 Yelusaleme uda dilia! Hehenasu ‘dia’ amola ‘gasele dia’ ilia houba: le, sia: dafawaneyale ilegema! Ania sasagesu gilisili fibi hou mae hedofama: ne sia: ma!” Uda da amane sia: i,
Ninataka muape, mabinti wa wanaume waYerusalemu, kwa ayala na paa wa porini, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
6 “Hafoga: i sogeganini manebe liligi da adila: ? Amo da mobi ganumu amo da gabusiga: manoma amola ‘me’ (bidi lasu dunu amoga lasu liligi agoai) agoane naba, agoai liligi ba: sa.
Nini hiyo inayo toka nyikani kama nguzo za moshi, umefukizwa manemane na ubani, pamoja na unga wote wa manukato unao uzwa na wafanya biashara?
7 Soloumane da ea fisu da: iya fili, enoga gaguli manebe ba: sa. Dadi gagui dunu Isala: ili soge ganodini baligili noga: i dunu 60 agoane da ea da: i sosodo aligisu dunu, e sigi manebe ba: sa.
Angalia, nikitanda cha Sulemani; mashujaa sitini wamekizunguka, wanajeshi elfu sitini wa Israeli
8 Ilia huluane da gobihei bagade amoga gegemu hou bagade dawa: Ilia da gegesu bagohame hamobeba: le, gasa bagade gala. Soloumane ea ha lai da gasia ema doagala: sa: besa: le, ilia afae afae da gegesu gobihei gagusa.
Wao ni wazoefu wa upanga na wanaujuzi wa vita. Kila mwanaume ana upanga wake pembeni yake, akijizatiti na maasi ya usiku.
9 Hina bagade Soloumane da fisu amo noga: idafa ifa amoga hamoi, amoga fila heda: le, enoga gaguli ahoanebe ba: sa.
Mfalme Sulemani akajijengea kiti cha kifalme cha kubebwa na mbao za Lebanoni.
10 Amo fisu ea bada da silifa amoga dedeboi. Abula amo da gouliga ga: muga: legei da ea fisu dedebosa. Ea bada fugulu dedebosu liligi da yoi abula amo Yelusaleme uda ilia da asigiwane amunasi.
Nguzo zake zilijengwa kwa fedha; nyuma kuliekwa dhahabu, na kiti kitambaa cha zambarau. Ndani mwake kulipambwa na upendo na mabinti wa wanaume wa Yerusalemu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa Yerusalemu
11 Saione uda, dilia! Hina bagade Soloumane ba: la misa! Ea dialuma da: iya, habuga figisi dialebe ba: sa. Ea uda lasu esoga, e da hahawane bagade ba: i. Amola ea: me da amo esoga amo habuga ea dialuma da: iya figisi.”
Nenda nje, mabinti wa wanaume wa Sayuni, na mtazame mfalme Sulemani, akivikwa taji ambalo mamaye alimvika siku ya arusi yake, katika siku ya furaha ya maisha yake.

< Soloumane ea Gesami 3 >