< Soloumane ea Gesami 2 >

1 Na da soge ale ifa mosoi Sia: lane sogega bugi agoai. Amola na da ‘lili’ mosoi goumi fago ganodini aligi agoai.” Dunu da amane sia: sa,
Mimi ni ua katika tambarare, nyinyoro katika bonde. Mwanaume akizungumza naye
2 “Na dogolegei! Di da uda gilisisu amo ganodini, ‘lili’ mosoi noga: iwane, aya: gaga: nomei gigisi ganodini agoai ba: sa.” Uda da amane sia: sa,
Kama nyinyoro miongoni mwa mimba, ndivyo wewe, mpenzi wangu, miongoni mwa mabinti wengine wote. Mwanamke akizungumza mwenyewe
3 “Na dogolegei da dunu eno gilisi amoga ‘a: bele’ ifa noga: i amo iwilaga aligi ifa ganodini bugi agoai ba: sa. Na da ea baba ganodini fimusa: hanai gala. Amola ea fage legei da nama hedaidafa gala.
Kama mti wa mpera ulivyo miongoni mwa miti ya misituni, ndivyo mpenzi wangu alivyo miongoni mwa wanaume. Nina kaa chini ya kivuli chake kwa furaha sana, na tunda lake ni tamu kwa ladha yangu.
4 E da na ea lolo nabe diasuga oule misi. Amola e da ea gosagisu abula amo na dedeboma: ne, hiougili gadoi. Ea gosagisu da sasagesu hou.
Amenileta kwenye ukumbi wa maakuli, na bendera yake juu yangu ilikuwa upendo. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake.
5 Na da bu gasa lama: ne, hafoga: i waini fage nama ima. Na bu obeagima: ne, ‘a: bele’ fage nama ima. Na da sasagesu hou ha: giwane hamobeba: le, gasa hamedei gala.
Ni uishe kwa keki za mizabibu na kuniuisha na mapera, kwa kuwa nimedhohofika na mapenzi. Mwanamke akizungumza mwenyewe
6 Ea fofadi lobo da na dialumaha diala, amola ea lobodafa da na sogoba: le nonogosa.
Mkono wake wakushuto upo chini ya kichwa changu, na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
7 Yelusaleme uda, dilia! Hehenasu ‘dia’ gebo amola ‘gasele dia’ gebo ilia houba: le, sia: dafawaneyale ilegema. Ania sasagesu gilisili fibi hou mae hedofama: ne sia: ma!” Uda da amane sia: i,
Ninataka muhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwa swala na paa wa porini, kwamba hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke akizungumza mwenyewe.
8 “Na da na sasagesu dunu ea sia: be naba. E da goumi da: iya giadofale hehenaiya manebe. E da agolo da: iya giadofale nama manebe.
Sauti ya mpenzi wangu hiyo! O, huyu yuwaja, akiruka ruka juu milima, akiruka vilimani.
9 Na sasagesu dunu da ‘gasele’ dia agoai ba: sa. E da waha debe ‘dia’ gawali agoai gala. E da dobea fei bega: aligisa. E da fo logo agei gelabodiliaga ba: sa. E da ifa gigiadomai gelabodiliaga ba: sa.
Mpenzi wangu ni kama swala au mtoto mdogo wa paa; angalia, amesimama nyuma ya ukuta wetu, akishangaa kupitia dirishani, akichungulia wavuni.
10 Na sasagesu dunu da nama sia: sa.” Dunu da amane sia: i, “Na dogolei! Misa! Ani ahoa: di!
Mpenzi wangu alizungumza na mimi na kusema, “Amka, mpenzi wangu; mzuri wangu, twende pamoja nami.
11 Anegagi oubi da yolei. Gibu amola da yolei.
Angalia, baridi imepita; mvua imeisha na kwenda.
12 Sogega mosoi da falegai dagoi. Wali da gesami hea: su esoha. Moifufui amoga ‘dafe’ sio da gesami hea: lala.
Maua yametokeza juu ya nchi; wakati wa kupunguza matawi na kuimba kwa ndege umekuja, na sauti za hua zimesikika nchini kwetu.
13 Figi fage da muni yosa. Efe mosoi da falegabeba: le, hisi da gabusiga: agoai naba. Na dogolegei! Misa! Ani ahoa: di!
Mti wa tini umepevusha tini zake za kijani, na mizabibu imestawi; yatoa marashi yake. Inuka, mpenzi wangu, mzuri wangu, na uje nami.
14 Di da ‘dafe’ sio amo da igi bagade gouda: i gala: i adobo amo ganodini wamoaligisa agoane ba: sa. Dia odagi noga: idafa, na da ba: ma: ma. Dia sia: noga: idafa na da nabima: ma.
Hua wangu, katika miamba ya mawe, katika miamba ya siri ya mipasuko ya milima, acha nione uso wako. Acha nisikie sauti yako, kwa kuwa sauti ni tamu, na uso wako ni mzuri.” Mwanamke akiongea mwenyewe
15 Fogisi wa: me da waini sagai sogea heda: i amo wadela: lesisa: besa: le, ili seba: ma.” Uda da amane sia: i,
Wakamate mbweha kwa ajili yetu, mbweha wadogo wanao haribu shamba za mizabibu, kwa kuwa shamba la mizabibu limestawi.
16 “Na sasagesu dunu da na: Amola na da ea: E da ea sibi wa: i amo ‘lili’ bugiga ha: i manu ianeawane,
Mpenzi wangu ni wangu, na mimi ni wake; anakula penye nyinyoro kwa raha. Mwanamke anaongea na mpenzi wake
17 hahabe fo da fulabosea amola gasi da alalolesi ba: sea fawane yolesisa. Na dogolegei! Buhagima! ‘Gasele dia’ ohe agoane amola ‘dia’ gawali amo da Bidia goumi alelaloi amoga esala agoane, buhagima.
Enenda zako, mpenzi wangu, kabla pepo za jioni hazija vuma na vivuli kutoweka. Nenda zako; kuwa kama ayala au mtoto mdogo wa paa katika milima mawe mengi.

< Soloumane ea Gesami 2 >