< Soloumane ea Gesami 1 >
1 Gesami noga: idafa amo Soloumane ea dedei. Uda da amane sia: i,
Wimbo ulio bora wa Solomoni.
2 “Dia lafi da nonogosu amoga na dedebosa. Dia sasagesu hou da waini hano ea hedai baligisa.
Unibusu kwa busu la kinywa chako, kwa maana upendo wako unafurahisha kuliko divai.
3 Di da gabusiga: agoane naba. Na da dia dio nabasea, amo dawa: lala. Uda huluane da dima sasagemusa: fawane dawa: lala.
Manukato yako yananukia vizuri, jina lako ni kama manukato yaliyomiminwa. Ndiyo sababu wanawali wanakupenda!
4 Na dia oule, ani hobeale masunu. Di nama ouligisu hamone, dia sesei amoga na oule masa. Ani da gilisili hahawane hamomu. Ania da waini hano nanu, sasagesu hou bagade hamobeba: le, asigi dawa: su fisimu. Dafawane! Uda huluane da dima asigiba: le, na da hame hiosa.
Nichukue twende nawe, na tufanye haraka! Mfalme na anilete ndani ya vyumba vyake. Marafiki Tunakushangilia na kukufurahia, tutasifu upendo wako zaidi kuliko divai. Mpendwa Tazama jinsi ilivyo bora wakupende!
5 Dilia Yelusaleme fi uda! Na gadofo da bunumai be na da noga: iwane ba: sa. Na da hafoga: i soge abula diasu Gida sogebiga diala, amo defele bunumai gala, Be na da Soloumane hina bagade diasu giga: gisu abula defele, ida: iwane ba: sa.
Mimi ni mweusi, lakini napendeza, enyi binti za Yerusalemu, mweusi kama mahema ya Kedari, kama mapazia ya hema la Solomoni.
6 Na gadofo da bunumaiba: le, dilia na mae higama. Bai na gadofo da esoga gia: le, bunumai. Lolalali da nama ougiba: le, na waini efe bugiga hawa: hamoma: ne asunasi. Na da nina: da: i ouligimu eso hame ba: i.
Usinikazie macho kwa sababu mimi ni mweusi, kwa sababu nimefanywa mweusi na jua. Wana wa mama yangu walinikasirikia na kunifanya niwe mtunza mashamba ya mizabibu. Shamba langu mwenyewe la mizabibu nimeliacha.
7 Na dogolegei! Nama adoma! Di da dia sibi wa: i gisi moma: ne habidili oule masa: bela: ? Ilia da dogoa eso gia: sea, habidili helefima: bela: ? Na da laluba: le sibi ouligisu eno ilia sibi wa: i ganodini, di hogoma: bela: ?” Dunu da amane sia: i,
Niambie, wewe ambaye ninakupenda, unalisha wapi kundi lako la kondoo na ni wapi unapowapumzisha kondoo wako adhuhuri. Kwa nini niwe kama mwanamke aliyefunikwa shela karibu na makundi ya rafiki zako?
8 “Di, uda eno ilia noga: idafa ba: su hou baligisu uda! Di da na esalebe sogebi hame dawa: bela: ? Di asili, sibi wa: i amo fa: no bobogema. Dia goudi da gisi moma: ne, gisi sogebi amo sibi ouligisu dunu ilia abula diasu gadenene hogoma.
Kama hujui, ewe mwanamke mzuri kuliko wote, fuata nyayo za kondoo, na kulisha wana-mbuzi wako karibu na hema za wachungaji.
9 Na dogolegei! Felou ea sa: liode hiougisu hosi gawali ilia da hosi aseme ba: sea, hanasa, amo defele, dunu da di ba: sea, hanasa.
Mpenzi wangu, ninakufananisha na farasi jike aliyefungwa katika mojawapo ya magari ya vita ya Farao.
10 Dia dialuma hinabo da dia ba: dialebe, noga: i ba: sa. Amola dia dialuma hinabo da dia mugi da: iya dugisi da nina: hamosu igi agoai ba: sa.
Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli, shingo yako ikiwa na mikufu ya vito.
11 Be ninia da dia gisa: gima: ne, gouli sia: ine amoga silifa nina: hamoi liligi gala, amo hamomu.” Uda da amane sia: i,
Tutakufanyia vipuli vya dhahabu, vyenye kupambwa kwa fedha.
12 “Na hina bagade da ea fafai da: iya dialu. Na da gabusiga: manoma legeiba: le, hisi da gabusiga: amoga nabai ba: i.
Wakati mfalme alipokuwa mezani pake, manukato yangu yalisambaza harufu yake nzuri.
13 Na sasagesu dunu da ‘me’ gabusiga: galebe agoane naba. E da na dodo da: iya diala.
Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane kati ya matiti yangu.
14 Na sasagesu dunu da soge ale ifa mosoi amo da Enegidai moilai waini efe sagai ganodini falegasa, agoane ba: sa.” Dunu da amane sia: i,
Mpenzi wangu kwangu mimi ni kama kishada cha maua ya mhina kutoka mashamba ya mizabibu ya En-Gedi.
15 “Na dogolegei! Di da noga: idafa ba: sa! Di da nama sasagele ba: beba: le, dia si da nenemei ba: sa.” Uda da amane sia: i,
Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Tazama jinsi ulivyo mzuri! Macho yako ni kama ya hua.
16 “Na dogolegei! Di amola da noga: idafa ba: sa! Di da nama hahawane hamosa! Golofoia: i gisi da ania golasu hamomu.
Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Ee, tazama jinsi unavyopendeza! Na kitanda chetu ni cha majani mazuri.
17 ‘Dolo’ ifa da ania diasu sa di agoai ba: mu. Amola ‘saibalase’ ifa da ania diasu figisu ganodini fei liligi agoai ba: mu.
Nguzo za nyumba yetu ni mierezi, na mapao yetu ni miberoshi.