< Ludi 1 >

1 Musa: hemonega, Isala: ili hina bagade amo mae hamone, bisisu dunu ilia Isala: ili soge ouligibiga, amo soge da ha: i bagade galu. Be dunu afae ea dio amo Ilimelege esalu, E da Efala: de sosogo fi amoga galu, amola E da Yuda soge amo ganodini, Bedeleheme moilaiga esalusu. Amalu Ea uda Na: ioumi amola elea dunu mano aduna Malone amola Gilione, ilia da Yuda soge yolesili, Moua: be sogega asili esalusu. Ilia da amogai esalu,
Ilitokea katika siku za utawala wa majaji kuwa kulikuwa na njaa katika nchi, na mtu mmoja wa Bethelehemu ya Yuda alikwenda katika nchi ya Moabu pamoja na mke wake na watoto wake walili wa kiume.
2
Jina la mtu huyo lilikuwa Elimeleki, na jina la mke wake lilikuwa Naomi. Majina ya watoto wake wawili wa kiume waliitwa Mahiloni na Kileoni, ambao walikuwa Waefraimu wa Betherehemu ya Yuda. Waliwasili katika nchi ya Moabu na kuishi hapo.
3 Ilimelege e bogoi, amola Na: ioumi e da ea dunu mano ilisu fawane esalusu.
Ndipo Elimeleki, mume wa Naomi, alikufa, na Naomi aliachwa na watoto wake wa kiume wawili.
4 Be ela da Moua: be fi uda a: fini amo Oba amola Ludi elea lai. Amalu ode nabuane agoane galagale,
Watoto hawa walioa wanawake wa Moabu; jina la mmoja lilikuwa Oripa, na jina la mwingine lilikuwa Ruth. waliishi huko kwa takribani miaka kumi.
5 Malone amola Gilione ela bogoi. Amalu Na: ioumi e da gawa o mano hamedene hisu esalu. Na: ioumi amola Ludi ela Bedeleheme Moilaiga buhagi.
Kisha wote Mahiloni na Kileoni walikufa, na kumuacha Naomi bila mme wake na bila watoto wake wawili.
6 Eso enoga Na: ioumi e da amane nabi, Hina Gode e da Ea dunu fi ilima hahawane dogolegele amo gamisu noga: i amola ha: i manu sagale moma: ne bagade ilima i. Amabeba: le e amola esoa: , ilia Moua: be soge amoga masunusa: liligi momagei.
Ndipo Naomi aliamua kuondoka Moabu pamoja na wake wa watoto wake na kurudi Yuda kwa sababu alikuwa amesikia katika mkoa wa Moabu kuwa Yahweh amewasaidia watu wake katika uhitaji na amewapa chakula.
7 Ilia gilisili Yuda sogega sinidigi, be logoga ahoanoba,
Hivyo aliondoka sehemu aliyokuwa pamoja na wake wa watoto wake wawili, walitelemka njia kurudi kwenye nchi ya Yuda.
8 Na: ioumi e da esoa: elama amane sia: i, “Sinidigili amola dia: me ali esaloma. Ali da nama amola bogogia: i dunu ilima asigi bagade hamoi. Gode da alima amo defele asigimu na da hanai.
Naomi aliwaambia wake wa watoto wake, “Nendeni, mrudi, kila mmoja wenu, kwenye nyumba ya mama yake. na Mungu aonyeshe wema juu yenu, kama mlivyo onyesha wema kwao waliokufa na kwangu.
9 Amola Hina Gode da ali noga: le asigiba: le ali afae afae bu dunuma fimu amola diasu lamu da defea.” Be Na: ioumi ea ela nonogone asigibio sia: i. Be amomane ilia didiga: le,
Mungu awajalie ninyi kupata pumziko, kila mmoja wenu katika nyumba ya mme mwingine.” Kisha akawabusu, na wakapaza sauti zao na kulia.
10 amola ema amane sia: i, “Hame mabu! Ninia da gilisili dia dunu fi ilima masunu.”
Wakamwambia, “Hapana! tutarudi pamoja na wewe kwa watu wako.”
11 “Nadiwi alia da sinidigima!” Na: ioumi e sia: i. “Abuliba: le alia nana gilisili misunusa: sia: bela: ? Alia amola da na dunu mano eno galabeale amoma fimusa: mabela: ?
Lakini Naomi alisema, “Rudini, wanangu! Kwa nini mtakwenda na mimi? Kwani bado nina watoto katika tumbo langu kwa ajili yenu, ili kwamba waje wawe waume zenu?
12 Bu sinidigima! Na da da: i hamoi dagoiba: le, bu gawa hame fimu galebe. Be na dawa: loba da na da wali gasi ganodini gawa fili amola dunu mano lai galea,
Rudini, wanangu, nendeni katika njia zenu wenyewe, kwa kuwa mimi ni mzee sana kuwa na mme. Kama nikisema, 'Natumaini nipate mume usiku huu,' na kisha kuzaa watoto wakiume, kwa hiyo mnaweza kusubiri mpaka wakue?
13 ali da amo mano asigilama: ne ouesaloma: bela: ? O amo hou da alia eno dunu fimusa: yolema: bela? Hame mabu, nadiwi! Amo da amane hame hamomu. Hina Gode da nama baligifa: i. Amaiba: le na da alima asigisa.”
Mtasubiri na msiolewe sasa? Hapana, wanangu! Ina nihuzunisha zaidi, kuliko inavyo wahuzunisha ninyi, kwa sababu mkono wa Yahweh umeenda kinyume na mimi.”
14 Bu ilia da muni didigia: i. Amalu Oba ea uda esoa: amo nonogoi amola asigibio sia: i. Amalalu bu sinidigi. Be Ludi da e gagulaligi.
Ndipo wake wa watoto wake wakapaza sauti zao na kulia tena. Oripa alimuaga kwa kumbusu, lakini Ruth aliendelea kubaki naye.
15 Be Na: ioumi ema amane sia: i “Ludi, di bai da ea dunuma bu ogobele asili amola ilia ogogosu ‘gode’ma asi. Di e amola gilisili moilaiga ogobema.”
Naomi alisema, “sikiliza, mwenzako amerudi kwa watu wake na miungu yake. Ruri pamoja naye.”
16 Be Ludi da amane sia: i, “Di da na di yolesima: ne, mae sia: ma! Na da ani masunu, di habi ahoasea na masunu. Habi di fisia, na gilisili fifi masunu. Dia dunu fi amo da na dunu fi ganumu amola dia Gode amo da na Gode ganumu.
lakini Ruth alisema, “Usiniache niondoke mbali nawe, kwa kuwa uendako, nitakwenda, utakapoishi, nitaishi; watu wako watakuwa watu wangu, na Mungu wako atakuwa Mungu wangu.
17 Di habi bogosea, na amogai bogomu amola na da amogai uli dogone salimu. Di amola na ania bogobeba: le fawane da afafamu. Amai hame galea, Gode da nama baligili se dabe imunu da defea.”
Mahali utakapofia, nitafia hapo, na hapo nitazikwa. Yahweh aniwezeshe, na hata zaidi, ikiwa kuna chochote isipokuwa kifo kamwe hakiwezi kututenganisha.
18 Be Na: ioumi ea Ludi ba: loba e da ele masunusa: hanai bagade ba: i, be amaiba: le ea liligi eno hame sia: i.
Naomi alipoona kuwa Ruth alikuwa ameamua kwenda naye, aliacha kubishana naye.
19 Ilia ahoana amola Bedeleheme moilaiga doaga: i. Amola ilia doaga: loba, moilai fi dunu ilia bagade nodoi amola hahawane ba: i. Ilia fofogadigili amane sia: i;, “Goe da dafawane Na: ioumila: ?”
Hivyo wote wawili walisafiri mpaka walipofika mjini Bethelehemu. Kwa hiyo walipofika Bethlehemu, mji wote uliwafurahia, wanawake walisema, “Huyu ni Naomi?”
20 Amola Na: ioumi e amane sia: i, “Na dio Na: ioumi mae sia: ma! Be na da Mala sia: ma! Bai Gode Bagadedafa Ea nama se iasu.
Lakini aliwaambia, “Msiniite Naomi. Niiteni Mchungu, kwa kuwa Mwenyezi Mungu amenitenda mambo machungu sana.
21 Na gui yolesiba, na da liligi bagohame galu. Be amomane Hina Gode Ea na oule bu sinidigili, na liligi hame gaguli misi. Abuliba: le nama Na: ioumi sia: sala: ? Hina Gode Bagadedafa da nama fofada: nanu nama bidi hamosu ia dagoi.”
Nilikwenda nikiwa nimejaa, lakini Yahweh kanirudisha nyumbani nikiwa sina wote. Hivyo kwa nini mnaniita Naomi, wakati mnaona Yahweh amenihukumu, kuwa Mwenyezi Mungu amenitaabisha?”
22 Amo da bu Na: ioumi ea Moua: be sogega buhagi. Esoa: Ludi (Moua: be uda) amola da misi. Amola ela da bu Bedeleheme moilaiga doaga: loba, ‘bali’ ha: i manu gamisu eso da doaga: i dagoi ba: i.
Kwa hivyo Naomi na Ruth Mmoabu, mke wa mtoto wake, walirudi kutoka nchi ya Moabu. walirudi Bethrehemu mwazo wa mavuno ya shairi.

< Ludi 1 >