< Louma 2 >
1 Na na: iyado! Di da eno dunu amo ea wadela: i hou dawa: lalu ema fofada: musa: dawa: bala? Di da amo dunu ilia wadela: i hou defele hamobeba: le, ilima fofada: sea, di gobele dima se dabe lama: ne fofada: nana.
Kwa hiyo huna udhuru wowote, wewe utoaye hukumu kwa mwingine, kwa maana katika jambo lolote unalowahukumu wengine, unajihukumu wewe mwenyewe kwa sababu wewe unayehukumu unafanya mambo hayo hayo.
2 Gode da wadela: i hamosu dunuma fofada: sea, Ea hou da moloidafa. Amo ninia noga: le dawa:
Basi tunajua kwamba hukumu ya Mungu dhidi ya wale wafanyao mambo kama hayo ni ya kweli.
3 Di da eno dunuma ilia wadela: i hou hamoiba: le fofada: sa. Be di da ili hou defele hamobeba: le, Godema fofada: su amo yolesima: ne, hobeamu logo hamedafa ba: mu.
Hivyo wewe mwanadamu, utoapo hukumu juu yao na bado unafanya mambo yale yale, unadhani utaepuka hukumu ya Mungu?
4 Di da Gode Ea asigidafa hou, hahawane hou amola hedolo hame se dabe iasu hou amo higabela: ? Gode da di Ema sinidigima: ne logo olelesa. Di da amo dawa: bela: ?
Au waudharau wingi wa wema, ustahimili na uvumilivu wake, bila kujua kuwa wema wa Mungu wakuelekeza kwenye toba?
5 Be dia ge da ga: i dagoi amola dia dogo da ga: nasi hamoi dagoi. Amaiba: le, Gode Ea ougiwane moloidafa fofada: su Esoha, disu gobele dia se dabe iasu baligiliwane hahamoi dagoi ba: mu.
Lakini kwa sababu ya ukaidi wenu na mioyo yenu isiyotaka kutubu, mnajiwekea akiba ya ghadhabu dhidi yenu wenyewe kwa siku ile ya ghadhabu ya Mungu, wakati hukumu yake ya haki itakapodhihirishwa.
6 Gode da dunu huluane afae afae ea hawa: hamosu amo defele bidi imunu.
Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake.
7 Dunu mogili ilia da eso huluane hawa: moloidafa hamonana. Ilia hadigi hou, Godema nodosu hou amola eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu hogoi helesa. Gode da ilima eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu imunu. (aiōnios )
Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. (aiōnios )
8 Be eno dunu da ilisu hanai hou hamonana. Ilia hou moloidafa higale, wadela: i hou fawane fa: no bobogesa. Fedege agoane, Gode da Ea ougi se dabe iasu ilima sogadigimu.
Lakini kwa wale watafutao mambo yao wenyewe na wale wanaokataa kweli na kuzifuata njia mbaya, kutakuwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
9 Wadela: i hamosu dunu, Yu dunu hidadea amola Dienadaile dunu huluane da se bagade nabimu.
Kutakuwa na taabu na dhiki kwa kila mmoja atendaye maovu, Myahudi kwanza na mtu wa Mataifa pia,
10 Be hou moloidafa hamosu dunu, Yu dunu hidadea amola Dienadaile dunu, ilima Gode da Ea hadigi, nodosu amola olofosu imunu.
bali utukufu, heshima na amani kwa ajili ya kila mmoja atendaye mema, kwa Myahudi kwanza, kisha kwa mtu wa Mataifa.
11 Gode da dunu huluanedafa defele ilima fofada: sa.
Kwa maana Mungu hana upendeleo.
12 Dienadaile dunu da Mousese ea Sema hame dawa: Ilia da Sema giadofaiba: le hame, be wadela: i hou hamobeba: le Godema afafane, yolesi dagoi ba: sa. Be Yu dunu ilia Mousese ea Sema dawa: Amaiba: le, amo Sema ilegei defele, Gode da ilima fofada: mu.
Watu wote waliotenda dhambi pasipo sheria wataangamia pasipo sheria, nao wote wale waliotenda dhambi chini ya sheria watahukumiwa kwa sheria.
13 Gode Ea Sema gega nababeba: le, dunu da bu afadenene moloidafa hamoi hame ba: sa. Be dunu da Sema nababeba: le, noga: le defele hamosea, amo dunu Gode da hahawane ba: mu.
Kwa maana si wale wanaoisikia sheria ambao ni wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale wanaoitii sheria ndio watakaohesabiwa haki.
14 Dienadaile dunu da Sema hame dawa: Be ilia asigi dawa: su ganodini hanaiba: le, Sema sia: defele hamosea, ilia hou moloidafa amola hou wadela: iwane, amo da hisu hisu ilia dawa: , amo olelesa. Be Mousese ea Sema dedei ilia hame dawa:
(Naam, wakati wa watu wa Mataifa, ambao hawana sheria, wanapofanya kwa asili mambo yatakiwayo na sheria, wao ni sheria kwa nafsi zao wenyewe, hata ingawa hawana sheria.
15 Ilia hou hamobeba: le, Sema da fedege agoane ilia dogo ganodini dedene legei dagoi olelesa. Ilia asigi dawa: su amo ganodini dawa: beba: le, amo hou da dafawane ilia da olelesa. Hou afae hamobeba: le, ilia asigi dawa: su da ilima diwaneya udidisa. Hou eno hamobeba: le, ilia asigi dawa: su da ilima abalomu.
Wao wanaonyesha kwamba lile linalotakiwa na sheria limeandikwa kwenye mioyo yao, ambayo pia dhamiri zao zikiwashuhudia, nayo mawazo yao yenye kupingana yatawashtaki au kuwatetea.)
16 Fofada: su Esoga, Gode da Ea Sia: Ida: iwane defele, Yesu Gelesu Ea lafidili dunu huluane ilia asigi dawa: su ilia dogo ganodini wamo sali, amoma fofada: sea, amo hou defele da ba: mu. Na da Gode Ea Sia: Ida: iwane Gala agoane olelesa.
Hili litatukia siku hiyo Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu kwa njia ya Yesu Kristo, kama isemavyo Injili yangu.
17 Di amola! Di da Yu dunu! Di da amane sia: sa, “Na da Yu dunu”! Di da Sema dafawaneyale dawa: sa. Di hidale Gode noga: le dawa: sia: sa.
Tazama, wewe ukiwa unaitwa Myahudi na kuitegemea sheria na kujisifia uhusiano wako na Mungu,
18 Di da Gode Ea hanai hamoma: ne liligi dawa: Di da Gode Ea Sema dawa: beba: le, hou moloidafa ilegemusa: dawa:
kama unajua mapenzi ya Mungu na kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na hiyo sheria,
19 Di da si dofoi dunuma logo olelemusa: defele esala, amo dawa: lala. Dia da dunu gasi ganodini esala, ilima hadigi olelemusa: defele esala, amo di dawa: lala.
kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio gizani,
20 Dia da gagaoui dunu amola hame dawa: su dunu, ilima houdafa olelemusa: defele esala, amo dawa: lala. Dia da Sema amo ganodini da dawa: su hou huluanedafa amola dafawane hou huluanedafa dialebe, amo dawa: lala.
mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa watoto wachanga, kwa kuwa una maarifa ya kweli katika hiyo sheria,
21 Dia da eno dunuma olelebeba: le, abuliba: le dima di gobele hame olelesala: ? Dia eno dunuma, “Mae wamolama!” sia: sa. Be dia da wamolasu dawa: bela: ?
basi wewe, uwafundishaye wengine, mbona hujifunzi mwenyewe? Wewe uhubiriye kwamba mtu asiibe, wewe mwenyewe waiba?
22 Dia eno dunuma, “Inia uda mae adole lama!” sia: sa. Be dia da inia uda adole lasu hou dawa: bela: ? Dia loboga hamoi ogogosu ‘gode’ higasa. Be dia Debolo Diasu liligi wamolasala: ?
Wewe usemaye mtu asizini, wewe mwenyewe wazini? Wewe uchukiaye miungu ya sanamu, wafanya jambo la kumchukiza katika mahekalu?
23 Dia da hidale Gode Ea Sema lalegagui dagoi sia: sa. Be dia da Gode Ea Sema wadela: beba: le, dia Gode Ea Dio wadela: sa.
Wewe ujivuniaye sheria, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria?
24 Gode Sia: da agoane dedei diala, “Dilia Yu dunu da wadela: i hou hamonanebeba: le, Dienadaile dunu da Godema lasogole sia: sa!”
Kama ilivyoandikwa, “Kwa ajili yenu ninyi, Jina la Mungu linatukanwa miongoni mwa watu wa Mataifa.”
25 Dia da Sema mae giadofale hamonana ganiaba, dia gadofo damui da bai galebe ba: la: loba. Be dia Sema hame naba ganiaba, dia gadofo hame damumu da defea galula: loba.
Kutahiriwa kuna thamani ikiwa unatii sheria, lakini kama unavunja sheria, kutahiriwa kwako kumekuwa kutokutahiriwa.
26 Adi dawa: bela: ? Dienadaile gadofo hame damui dunu da Sema huluane mae giadofale hamosea, Gode da amo dunu gadofo damui dunu defele ba: ma: bela: ?
Hivyo, ikiwa wale wasiotahiriwa wanatimiza mambo ambayo sheria inataka, je, kutokutahiriwa kwao hakutahesabiwa kuwa sawa na kutahiriwa?
27 Dilia Yu dunu da Sema dedei gala amola dilia gadofo damui gala. Be dilia da Sema giadofabeba: le, Gode da amo mae dawa: le., dilima Sema defele medoma: ne fofada: mu. Be Dienadaile dunu, ilia Sema hame dawa: amola gadofo hame damui. Be ilia hou da dilia hou baligiwane ba: mu. Bai mogili ilia Sema udigili nabawane hamosa.
Ndipo wale ambao hawakutahiriwa kimwili lakini wanaitii sheria watawahukumu ninyi, ambao ingawa mmetahiriwa na kuijua sana sheria ya Mungu iliyoandikwa, lakini mwaivunja.
28 Dunu da ea gadofo damui dagoiba: le, Yudafa dunu hame hamosa. E da gadofo damui dagoiba: le, dabuagado fawane Yu dunu hamoi.
Kwa maana mtu si Myahudi kwa vile alivyo kwa nje, wala tohara ya kweli si kitu cha nje au cha kimwili.
29 Be Yu dunudafa da ea dogo ganodini Yu dunu hamoi. Fedege agoane, ea dogo gadofo damui dagoiba: le, Yu dunudafa hamosa. Amo da Sema dedei amoga hame hamosa, be Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala amoga hamosa. Agoaiwane dunu da dunuma nodosu mae lale, Gode Ea nodosu fawane ba: sa.
Lakini mtu ni Myahudi alivyo ndani, nayo tohara ya kweli ni jambo la moyoni, ni la Roho, wala si la sheria iliyoandikwa. Mtu wa namna hiyo hapokei sifa kutoka kwa wanadamu bali kwa Mungu.