< Wamolegei Sia: Olelesu 1 >

1 Amo buga ganodini, Yesu Gelesu da hobea misunu liligi olelesa. Gode da Ea hawa: hamosu dunu ilima hobea misunu hou olelei. Amalalu, Gelesu da Ea hawa: hamosu dunu Yone, ema olelemusa: , Ea a: igele dunu ema asunasi.
Ufunuo wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu ili awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo ni lazima yatukie hivi karibuni. Alijulisha mambo haya kwa kumtuma malaika wake kwa Yohana mtumishi wake,
2 Yone e da ea ba: i liligi huluane olelei dagoi. Amo meloa ganodini e da Gode Ea sia: i liligi, amo huluane Yesu Gelesu olelei, amo sia: ne iaha.
ambaye anashuhudia kuhusu kila kitu alichokiona, yaani, Neno la Mungu na ushuhuda wa Yesu Kristo.
3 Nowa dunu da amo buga idisia, e da hahawane bagade ba: mu. Amola nowa da amo hobea misunu hou amo sia: nabasea amola meloa ganodini sia: dedei amo nabawane hamosea, e da hahawane ba: mu. Amo ganodini dedei liligi da gadenenewane doaga: i dagoiba: le, noga: le nabimu da defea.
Amebarikiwa yeye asomaye maneno ya unabii huu, na wamebarikiwa wale wanaoyasikia na kuyatia moyoni yale yaliyoandikwa humo, kwa sababu wakati umekaribia.
4 Na, Yone, da Yesu Ea fa: no bobogesu fi fesuale gala A: isia soge amo ganodini, dilima sia: sa. Gode da esala, esalusu amola misini esalumu, a:silibu fesuale gala amo da Gode Ea Fisu midadi lela amola Yesu Gelesu, ilia da hahawane dogolegele iasu amola olofosu, dilima ima: ne dawa: lala.
Yohana, kwa makanisa saba yaliyoko Asia: Neema na amani iwe kwenu kutoka kwake aliyeko, aliyekuwako na atakayekuja, na kutoka kwa wale roho saba walioko mbele ya kiti chake cha enzi,
5 Gode da degabo Yesu Gelesu wa: legadolesi. Gelesu da osobo bagade ouligisu dunu huluane ilima Hina esala. E da ninima asigisa. Ea da bogobeba: le, nini wadela: i hou fadegai dagoi.
na kutoka kwa Yesu Kristo ambaye ni yule shahidi mwaminifu, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, mtawala wa wafalme wa dunia. Kwake yeye anayetupenda na ambaye ametuweka huru kutoka dhambi zetu kwa damu yake,
6 Yesu da nini Ea Ada Gode amo Ea hawa: hamomusa: gini, E da ninia osobo bagade hou fadegale, bu nini gobele salasu dunu ouligisu fi hamoi. Yesu Gelesu da hadigiwane, gasawane eso huluane esalalalumu. Ema nodonanumu da defea. Ama. (aiōn g165)
akatufanya sisi kuwa ufalme na makuhani, tumtumikie Mungu wake ambaye ni Baba yake. Utukufu na uwezo ni vyake milele na milele! Amen. (aiōn g165)
7 Dawa: ma! E da mu mobi da: iya misunu galebe. Dunu ilia da Ea afo soi amola eno dunu huluanedafa da Yesu ba: mu. Osobo bagade fifi asi gala dunu huluane da Ea mabe ba: beba: le, beda: ga dimu. Ama.
Tazama! Anakuja na mawingu, na kila jicho litamwona, hata wale waliomchoma; na makabila yote duniani yataomboleza kwa sababu yake. Naam, ndivyo itakavyokuwa! Amen.
8 Hinadafa Gode Bagadedafa amo da esala, esalu amola esalalalumu, E da amane sia: sa, “Na da Musu amola Na da Dagosu!”
“Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu, “aliyeko, aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.”
9 Na da dilia fi dunu Yone. Na da Yesuma fa: no bobogebeba: le, na da dili defele mae yolesili, se nabasu amo da dunu ea Hinadafa Hou amo ganodini esalebe dunu naba liligi defele, na da naba. Na da Gode Ea sia: olelebeba: le amola Yesu Ea dafawane hou E ninima olelei, amo olelebeba: le, eno dunu ilia da na Ba: damose oga amoga mugululi hiougi.
Mimi, Yohana, ndugu yenu ninayeshiriki pamoja nanyi mateso katika Yesu na katika ufalme na uvumilivu katika saburi, nilikuwa katika kisiwa cha Patmo kwa ajili ya neno la Mungu na ushuhuda wa Yesu.
10 Hinadafa Ea esoga (Sada: i), na da Gode Ea A: silibu amo ganodini esalebe ba: i. Amasea, na da sia: bagade, amo da dalabede agoane na baligidi manebe nabi.
Katika siku ya Bwana, nilikuwa katika Roho na nikasikia sauti kubwa kama ya baragumu nyuma yangu
11 Amane nabi, “Dia ba: mu liligi dedenanu, amo meloa dedei Yesu Ea fa: no bobogesu fi moilai bai bagade fesuale gala amo ganodini diala, ilima iasima. Moilai bai bagade dio da Efesase, Samena, Begamame, Daiadaila, Sadise, Filadelefia amola La: ioudisia.”
ikisema, “Andika kwenye kitabu haya yote unayoyaona, kisha uyapeleke kwa makanisa saba, yaani: Efeso, Smirna, Pergamo, Thiatira, Sardi, Filadelfia na Laodikia.”
12 Na da sia: adole iasu dunu ba: musa: beba: le, gouliga hamoi gamali bai fesuale gala ba: i.
Ndipo nikageuka ili nione ni sauti ya nani iliyokuwa ikisema nami. Nami nilipogeuka, nikaona vinara saba vya taa vya dhahabu,
13 Amo gamali bai gilisisu ganodini, dunu agoai, E da abula amo da Ea emoga doaga: i amola Ea bida: igiga gouli bulu ga: i, amo lelebe ba: i.
na katikati ya vile vinara vya taa, alikuwamo mtu kama Mwana wa Adamu, akiwa amevaa joho refu, na mkanda wa dhahabu ukiwa umefungwa kifuani mwake.
14 Ea dialuma hinabo da ahea: ya: idafa amola Ea si da lalu agoane ba: i.
Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu, nyeupe kama theluji, nayo macho yake yalikuwa kama mwali wa moto.
15 Ea emo da balase doga: i agoai ba: i. Ea sia: da hano nawa: li bagade ea gobe agoane nabi.
Nyayo zake zilikuwa kama shaba inayongʼaa, katika tanuru ya moto, nayo sauti yake ilikuwa kama mugurumo ya maji mengi.
16 E da Ea lobodafa amo ganodini gasumuni fesuale gala gagui. Ea lafidili amoga gegesu gobihei la: idili la: idili fe aduna hamoi, amo dialebe ba: i. Ea odagi da esomogoa esoga si gasenei agoai ba: i.
Katika mkono wake wa kuume alishika nyota saba, na kinywani mwake ulitoka upanga mkali wenye makali kuwili. Uso wake ulikuwa kama jua likingʼaa kwa nguvu zake zote.
17 Na da amo dunu ba: beba: le, bogoi dunu agoane Ea emo gadenene diasa: i. E da Ea lobodafa na da: i amoga ligisili, amane sia: i, “Mae beda: ma! Na da Musu amola Na da Dagosu!
Nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama aliyekufa. Ndipo akauweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope, Mimi ndiye wa Kwanza na wa Mwisho.
18 Na da esalalalusu Dunu! Na da bogoi, be wali Na da eso huluane esalalalumusa: esala. Na da bogosu amola bogosu soge, amoma Hina esala. (aiōn g165, Hadēs g86)
Mimi ni Yeye Aliye Hai, niliyekuwa nimekufa, na tazama, ni hai milele na milele! Nami ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn g165, Hadēs g86)
19 Amaiba: le, dia ba: be liligi dedema. Waha ba: sa liligi amola hobea misunu hou, huluane dedema.
“Basi andika mambo uliyoyaona, yaliyopo na yale yatakayotukia baada ya haya.
20 Amo gasumuni fesuale gala di da Na lobodafaga gagui ba: sa amola gouli gamali bai fesuale gala, amo ilia wamolegei dawa: loma: ne Na da dima olelemu. Gasumuni fesuale gala da a: igele dunu ilia Yesu Ea fa: no bobogesu fi fesuale gala ouligisa. Amola gamali bai fesuale gala da Yesu Ea fa: no bobogesu fi fesuale gala.”
Kuhusu siri ya zile nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kuume na vile vinara saba vya taa vya dhahabu ni hii: Zile nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba, navyo vile vinara saba ni hayo makanisa saba.

< Wamolegei Sia: Olelesu 1 >