< Wamolegei Sia: Olelesu 9 >

1 Amalalu, a:igele dunu bi da dalabede fulaboi. Na ba: loba, gasumuni afae da osoboga sa: i. Gode da gi ema i. Amo gi da Gelabo Nosonodafa (A: bisi), amo doasimu gi e da lai dagoi. (Abyssos g12)
Kisha malaika wa tano akapiga tarumbeta yake. Nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka juu ya nchi kutoka mbinguni. Nayo ikapewa ufunguo wa shimo la Kuzimu. (Abyssos g12)
2 Gasumuni da amo uli dogoi doasili, mobi amo lalu bagade mobi defele heda: beba: le, eso hadigi uligiba: le, gasi bagade ba: i. (Abyssos g12)
Basi, nyota hiyo ikafungua shimo la Kuzimu, kukatoka moshi wa tanuru kubwa. Jua na anga vikatiwa giza kwa moshi huo wa Kuzimu. (Abyssos g12)
3 Amalalu, danuba: bagohame da amo mobi ganodini esalu yolesili, osobo bagadega sa: i. Ilia da gasa amo gamaloa defele lai dagoi.
Nzige wakatoka katika moshi huo, wakaingia duniani wakapewa nguvu kama ya ng'e.
4 Gode da ilima amane sia: i, “Dilia gisi amola ifa huluane mae wadela: ma! Be nowa dunu ilia Gode Ea dawa: digima: ne ilegesu dedesu odagiga hame dedei galea, amo fawane wadela: ma.
Wakaamrishwa wasiharibu nyasi za nchi wala majani wala miti yoyote, bali wawaharibu wale tu ambao hawakupigwa mhuri wa Mungu katika paji la uso.
5 Dilia ili mae medole legema, be udigili oubi biyale gala amoga ilima se bagade ima!” Amo se iasu da se amo gamaloa ea gasonasu defele ba: i.
Nzige hao hawakuruhusiwa kuwaua watu, ila kuwatesa tu kwa muda wa miezi mitano. Maumivu watakayosababisha ni kama maumivu yanayompata mtu wakati anapoumwa na ng'e.
6 Amo oubi biyale gala ganodini, dunu huluane ilia da bogomu logo hogoi helele hame ba: mu. Dafawane, ilia da bogomusa: bagade hanamu, be bogosu da ilima hobeamu.
Muda huo watu watatafuta kifo lakini hawatakipata; watatamani kufa lakini kifo kitawakimbia.
7 Amo danuba: ilia ba: su da gegesu hosi amo defele ba: i. Ilia dialuma da: iya gouli habuga agoane ba: i amola ilia odagi da dunu ilia odagi agoane ba: i.
Kwa kuonekana, nzige hao walikuwa kama farasi waliowekwa tayari kwa vita. Juu ya vichwa vyao walikuwa na taji zilizo kama za dhahabu, na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
8 Ilia dialuma hinabo da uda dialuma hinabo agoane sedadedafa ba: i, amola ilia bese da laione wa: me amo ilia bese agoane ba: i.
Nywele zao zilikuwa kama nywele za wanawake, na meno yao yalikuwa kama meno ya simba.
9 Ilia bida: igia da: igene ga: su liligi sali ba: i. Ilia ougia da sia: amo hosi ilia sa: liode hiougili gegemusa: ahoa amo ea genena: genena: be defele nabi.
Vifua vyao vilikuwa vimefunikwa kitu kama ngao ya chuma. Sauti ya mabawa yao ilikuwa kama sauti ya msafara wa magari ya farasi wengi wanaokimbilia vitani.
10 Ilia la: go amola gasonasu guisu da gamaloa ea liligi agoane ba: i. Ilia da la: go amoga gasonabeba: le, dunu da oubi biyale gala amoga, se bagade nabalumu.
Walikuwa na mikia na miiba kama ng'e, na kwa mikia hiyo, walikuwa na nguvu ya kuwadhuru watu kwa muda wa miezi mitano.
11 Ilia ouligisu da a: igele dunu amo da Gelabo Nosonodafa (A: bisi) gala amoma ouligisu esala. Ea dio da Hibulu sia: ga “Aba: dane.” Galigi sia: ga, ea dio da Abolione (dawa: loma: ne da “Gugunufinisisu Dunu”). (Abyssos g12)
Tena wanaye mfalme anayewatawala, naye ndiye malaika wa kuzimu; jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kigiriki ni Apolioni, yaani mwangamizi. (Abyssos g12)
12 Defea! Se nabasu afadafa da dagoi. Be se nabasu aduna eno da misunu galebe.
Maafa ya kwanza yamepita; bado mengine mawili yanafuata.
13 Amalalu, a:igele dunu gafe da dalabede fulaboi. Na nabaloba, sia: da gouliga hamoi oloda amo Gode Ea midadi gala, amo hegomai biyaduyale gala amoga misi.
Kisha malaika wa sita akapiga tarumbeta yake. Nami nikasikia sauti moja kutoka katika pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele ya Mungu.
14 Sia: da a: igele dunu gafe ema amane sia: i, “A: igele dunu biyaduyale gala ilia da Iufala: idisi Hano amo gadenene lala: gili esala. Ilia halegale masa: ne, dia ilia lala: gi fadegama!”
Sauti hiyo ikamwambia huyo malaika wa sita mwenye tarumbeta, “Wafungulie malaika wanne waliofungwa kwenye mto mkubwa Eufrate!”
15 Amalalu, e da a: igele biyaduyale gala ilia lala: gi fadegai. Bai Gode da ilia amo aua, amo eso, amo oubi, amo ode, amoga ilia osobo bagade dunu fi udiana agoane mogili afafane, afadafa medole legemusa: , momagele ilegei.
Naye akawafungulia malaika hao wanne ambao walikuwa wametayarishwa kwa ajili ya saa hiyo ya siku ya mwezi huo, wa mwaka huohuo, kuua theluthi moja ya wanaadamu.
16 Na nabaloba, dadi gagui dunu amo da hosi da: iya fila heda: i ilia idi da 200,000,000.
Nilisikia idadi ya majeshi wapanda farasi ilikuwa milioni mia mbili.
17 Na esala ba: su amo ganodini, na da hosi amola amoga fila heda: i dunu ba: i. Ilia bida: igiga da: igene ga: su liligi yoi, ela: me amola bua: iya: i ba: i. Hosi ilia dialuma da laione wa: me amo ilia dialuma agoane ba: i. Ilia lafidili, lalu, mobi amola salafa manebe ba: i.
Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi na wapanda farasi katika hiyo njozi: Walikuwa na ngao vifuani zilizokuwa moto mtupu, zenye rangi ya samawati na njano kama kiberiti. Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vya simba; na moto, moshi, na kiberiti vilikuwa vinatoka kinywani mwao.
18 Amalalu, osobo bagade fi dunu da mogili udiana agoane hamone, idi afae da huluane lalu, mobi amola salafa, hosi ilia lafidili manebe ba: i, amoga medole legei dagoi ba: i.
Theluthi moja ya wanaadamu waliuawa kwa mabaa hayo matatu yaani, moto, moshi na kiberiti, yaliyokuwa yanatoka katika vinywa vyao;
19 Hosi ilia gasa da ilia lafi amola ilia la: go, amo ganodini diala. Ilia la: go da sania agoane dialuma gala, amo da dunu gasomanusa: dawa:
maana nguvu ya farasi hao ilikuwa vinywani mwao na katika mikia yao. Mikia yao ilikuwa na vichwa kama nyoka, na waliitumia hiyo kuwadhuru watu.
20 Dunu fifi asi gala eno, ilia amo medosu liligi amoga hame medole legei. Be ilia wadela: i loboga hamoi ‘gode’ liligi ilima sia: ne gadosu hou hame yolesi. Ilia da Fio liligi amola loboga hamoi ‘gode’ liligi amo gouli, silifa, balasi, igi amola ifa amoga hamoi liligi, (ba: su, nabasu, ahoasu amola hame dawa: liligi), amo dawa: beba: le ilia Godema sinidigimusa: hame dawa: i.
Wanaadamu wengine waliobaki ambao hawakuuawa na mabaa hayo, hawakugeuka na kuviacha vitu walivyokuwa wametengeneza kwa mikono yao wenyewe; bali wakaendelea kuabudu pepo, sanamu za dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti, vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia wala kutembea.
21 Amola ilia da dunu fasu hou, wamuni dawa: su hou, wadela: i uda lasu hou amola wamolasu hou amoba: le hame gogosia: i amola hame yolesi.
Wala hawakutubu na kuacha kufanya mauaji, uchawi, uzinzi, na wizi.

< Wamolegei Sia: Olelesu 9 >