< Wamolegei Sia: Olelesu 22 +

1 A: igele da eno liligi nama olelei. Amo da eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu hano, fofoloi nawa: li agoane hamoi, Gode amola Sibi Mano, amo ela Fisu amoga yogodalu,
Kisha yule malaika akanionyesha mto wa maji ya uzima, maangavu kama kioo yakitiririka kutoka kwenye kile kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo,
2 moilai bai bagade logo dogoa ahoanebe ba: i. Amo hano bega: bega: eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu Ifa ba: i. Amo da ode huluane amoga oubi fagoyale huluanega fage legesesa. Amola ea lubi da fifi asi gala amo uhinimusa: dawa:
kupitia katikati ya barabara kuu ya huo mji. Kwenye kila upande wa huo mto kulikuwa na mti wa uzima utoao matunda ya aina kumi na mbili, ukizaa matunda yake kila mwezi. Nayo majani ya mti huo ni kwa ajili ya uponyaji wa mataifa.
3 Liligi huluanedafa amoma Gode Ea gagabusu aligisu da galea, amo huluane da moilai bai bagade ganodini hamedafa ba: mu. Gode amola Sibi Mano Ea fisu da amo moilai bai bagade ganodini ba: mu. Gode Ea hawa: hamosu dunu da Ema nodonanumu.
Katika mji huo hakutakuwa tena na laana, bali kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo kitakuwamo humo na watumishi wake watamtumikia,
4 Ilia da Gode Ea odagi ba: mu. Gode Ea Dio da ilia odagi da: iya dedei ba: mu.
nao watamwona uso wake na Jina lake litakuwa kwenye vipaji vya nyuso zao.
5 Gasi da bu hame ba: mu. Hina Gode da ilia Hadigi esalumuba: le, ilia da gamali amola eso hadigi hamedei liligi ba: mu. Ilia da hina bagade agoane eso huluane ouligilalumu. (aiōn g165)
Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na milele. (aiōn g165)
6 Amalalu, a:igele da nama amane sia: i, “Amo sia: da dafawane, hame ogogosa. Hina Gode, amo da balofede dunuma Ea A: silibu iaha, E da Ea hawa: hamosu dunu ilima gadenene misunu hou olelema: ne, Ea a: igele dunu asunasi dagoi.
Kisha yule malaika akaniambia, “Maneno haya ni ya kuaminika na kweli. Bwana, Mungu wa roho za manabii, alimtuma malaika wake kuwaonyesha watumishi wake yale ambayo hayana budi kutukia upesi.”
7 Yesu da amane sia: sa, “Nabima! Na da hedolo misunu. Nowa da ba: la: lusu sia: amo buga ganodini dedei noga: le nabasea, e da hahawane ba: mu!”
“Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.”
8 Na, Yone, da amo liligi huluane ba: i amola nabi. Amo huluane nabi amola ba: i dagobeba: le, na da a: igele amo nama liligi olelesu, amo ea emo gadenene ema nodone sia: ne gadomusa: diasa: i.
Mimi, Yohana, ndiye niliyesikia na kuyaona mambo haya. Nami nilipokwisha kuyasikia na kuyaona, nilianguka chini nikasujudu miguuni pa yule malaika aliyekuwa akinionyesha mambo hayo.
9 Be e da nama amane sia: i, “Agoane mae hamoma! Na da di amola balofede dunu amola dunu huluane ilia sia: amo buga ganodini dedei naba dunu, amo huluane defele na da Gode Ea hawa: hamosu dunu fawane. Godema fawane nodone sia: ne gadoma!”
Lakini yeye akaniambia, “Usifanye hivyo! Mimi ni mtumishi pamoja nawe na ndugu zako manabii na wote wanaoyashika maneno ya kitabu hiki. Msujudie Mungu!”
10 E da eno nama amane sia: i, “Amo buga ba: la: lusu sia: dedei mae wamolegema! Amo sia: i hou misunu da gadeneiba: le, mae wamolegema!
Kisha akaniambia, “Usiyafunge maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, kwa sababu wakati umekaribia.
11 Nowa da wadela: i hamoi, e da bu wadela: le hamomusa: dawa: Nowa da ledo hamoi da amaiwane dialumu. Nowa da hou ida: iwane hamosa esalea, e da bu houida: iwane hamonanoma: mu. Nowa da hadigi hamoi galea, e da bu hadigiwane esalalaloma: mu.”
Atendaye mabaya na aendelee kutenda mabaya, aliye mchafu na aendelee kuwa mchafu, yeye atendaye haki na aendelee kutenda haki, na yeye aliye mtakatifu na aendelee kuwa mtakatifu.”
12 Yesu da amane sia: sa, “Nabima! Na da hedolo misunu. Na da bidi gaguli misunu. Na da dunu huluane afae afae amo ea hawa: hamoi defele, ema bidi imunuyo.
“Tazama, naja upesi! Thawabu yangu i mkononi mwangu, nami nitampa kila mtu sawasawa na alivyotenda.
13 Na da Musu amola Dagosu. Na da Degabo defei amola Sinado dibi defei!”
Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.
14 Nowa dunu da ilia abula dodofei dagoiba: le, eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu ifa ea fage manusa: amola Yelusaleme Gaheabolo ea logo ga: su ganodini golili masunusa: , amo defele ba: sa, amo dunu da hahawane bagade.
“Wamebarikiwa wale wafuao mavazi yao, ili wapate haki ya kuuendea huo mti wa uzima na kuuingia huo mji kupitia kwenye malango yake.
15 Be moilai bai bagade gadili da wa: me ba: mu. Amo da wadela: i uda lasu hamosu dunu, wamuni dawa: su dunu, wadela: i hamosu dunu, medole legesu dunu, loboga hamoi ‘gode’ liligi ilima sia: ne gadosu dunu, dunu ilia sia: ga amola hawa: hamobega ogogosu dunu, amo huluane da gadili esalumu.
Huko nje wako mbwa, wachawi, wazinzi, wauaji, waabudu sanamu, na kila mtu apendaye udanganyifu na kuufanya.
16 Na, Yesu, da dima amo liligi huluane olelemusa: , a: igele dunu asunasi dagoi. Na da Da: ibidi egaga fi ganodini lalelegei. Na da hadigi Gusubia Gasumuni esala!”
“Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu kushuhudia mambo haya kwa ajili ya makanisa. Mimi ndimi Shina na Mzao wa Daudi, ile Nyota ya Asubuhi ingʼaayo.”
17 Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala amola Yesu Ea uda, da amane sia: sa, “Misa!” Nowa da amo sia: nabasea, e amola da eno dunuma “Misa!” sia: ma: ma! Nowa da hano hanai galea, Misa! Nowa da eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu hano hanai galea, moma! Amo da hahawane dogolegele iasu liligi. Sia: Dagosu
Roho na bibi arusi wanasema, “Njoo!” Naye asikiaye na aseme, “Njoo!” Yeyote mwenye kiu na aje, na kila anayetaka na anywe maji ya uzima bure.
18 Na, Yone, da nowa dunu e da amo ba: la: lusu sia: nabasea, ilima sisasu sia: sa. Nowa dunu da olelesu eno amo olelesuma gilisisia, Gode da se nabasu amo buga ganodini dedei ema imunu.
Namwonya kila mtu asikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki: Mtu yeyote akiongeza humo chochote, Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
19 Nowa da ba: la: lusu sia: buga ganodini dedei amo mogili afafane, eno fadegasea, Gode amola da amo dunu eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu ifa fage manusa: amola Hadigi moilai bai bagade ganodini esalumusa: , amo buga ganodini olelei, Gode da ema amo logo ga: mu.
Kama mtu yeyote akipunguza humo chochote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
20 Dunu da amo sia: huluane dedei, amo da dafawane E da sia: sa. E da amane sia: sa, “Ma! Dafawane! Na da hedolowane misunu.” Ama! Hina Gode Yesu! Misa!
Yeye anayeshuhudia mambo haya asema, “Hakika, naja upesi!” Amen. Njoo, Bwana Yesu.
21 Gode Ea fi dunu huluane da Hina Gode Yesu Ea hahawane dogolegele iasu hou noga: le dawa: ma: ne, na dawa: lala. Sia: Ama Dagoi
Neema ya Bwana Yesu iwe na watakatifu wote. Amen.

< Wamolegei Sia: Olelesu 22 +