< Wamolegei Sia: Olelesu 20 >
1 Amalalu, na da Hebene amoga a: igele dunu dalebe ba: i. E da ea lobo ganodini Gelabo Nosonodafa (A: bisi) amo gi gagui amola gasa bagade sia: ine gagui. (Abyssos )
Kisha niliona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa na ufunguo wa shimo lisilo na mwisho na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
2 E da hanome amo da musa: hemonega sania hamoi, ea dio amo Debele o eno Sa: ida: ne - amo gagulaligili, se iasu diasu ganodini ode 1000 esaloma: ne, sia: inega la: gi dagoi.
Alimshika yule joka, nyoka wa zamani, ambaye ni ibilisi au Shetani, na kumfunga miaka elfu.
3 A: igele da hanome Gelabo Nosonodafa (A: bisi) amo ganodini sanasili, amo ea logo ga: si dagoi. E da fifi asi gala dunu amo ode 1000 amoga bu ogogomu hamedei agoane ba: i. Be ode 1000 gidigili, ea se iasu diasu logo doasimuba: le, fonobahadi bu lalumu. (Abyssos )
Alimtupa kwenye shimo lisilo na mwisho, akalifunga na kulitia mhuri juu yake. Hii ilikuwa hivyo ili kwamba asiwadanganye mataifa tena mpaka miaka elfu itakapoisha. Baada ya hapo, ataachiwa huru kwa muda mchache. (Abyssos )
4 Amalalu, na da fisu ba: i dagoi. Amo da: iya fibi dunu ilia da fofada: musa: gasa lai dagoi. Amola na da dunu amo ilia da Yesu Ea dafawane olelei amola Gode Ea sia: , amo olelebeba: le dunu enoga medole legei, amo dunu ilia a: silibu ba: i. Ilia da ohe fi liligi amola ea loboga hamoi agoaila liligi, amoma hame nodone sia: ne gadosu. Amola ohe fi liligi ea dawa: digima: ne dedesu ilia odagiga o loboga hame lai. Ilia da bu wa: legadole, ouligisuwane ilia amola Gelesu, gilisili ode 1000 amoga hina bagade esalu.
Kisha niliona viti vya enzi. Waliokuwa wamevikalia ni wale ambao walikuwa wamepewa mamlaka ya kuhukumu. Vilevile niliona nafsi za wale ambao walikuwa wamekatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda kuhusu Yesu na kwa neno la Mungu. Walikuwa hawajamwabudu mnyama au sanamu yake, na walikataa kupokea alama juu ya paji za nyuso zao au mkono. Walikuja uzimani, na wakatawala pamoja na Kristo kwa miaka elfu.
5 (Eno bogoi dunu da hame wa: legadole, ode 1000 gidigiba: le fawane bu wa: legadoi.) Amo da Gode Ea Age (No. 1) bogoi wa: legadolesisu olelesa.
Wafu waliobaki hawakuja uzimani mpaka miaka elfu ilipokuwa imeisha. Huu ndio ufufuo wa kwanza.
6 Dunu ilia da amo Age wa: legadolesisu amo ganodini bu wa: legadosa, ilia da hahawane bagade. Bogosu Ageyadu (No. 2) da ilima gasa hame gala. Ilia da Gode amola Gelesu, amoma gobele salasu dunu fi hamoiba: le, ilia amola Gelesu, da ode 1000 amoga ouligisa esalumu.
Mbarikiwa na mtakatifu ni mtu yeyote ambaye achukua nafasi katika ufufuo wa kwanza! Mauti ya pili haina nguvu juu ya watu kama hawa. Patakuwa na makuhani wa Mungu na wa Kristo na watatawala na yeye kwa miaka elfu.
7 Ode 1000 da gidigi dagoiba: le, Gode da Sa: ida: ne ea se iasu diasu logo e fonobahadi masa: ne doasimu.
Wakati miaka elfu itakapofikia mwisho, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.
8 E da ahoabeba: le, fifi asi gala ilima ogogomu. E da Goge fi amola Magoge fi, ilima ogogomu. Sa: ida: ne da amo dunu gegemusa: gini momagele gilisimu. Ilia da sa: i amo hano wayabo bagade bega: diala amo ea idi defele ba: mu.
Atakwenda nje kuwadanganya mataifa katika kona nne za dunia -Gogu na Magogu - kuwaleta pamoja kwa ajili ya vita. Watakuwa wengi kama mchanga wa bahari.
9 Ilia da osobo bagade dedeboi dagoi. Ilia da Gode Ea fi dunu ilia esalebe soge amola moilai bai bagade amoma Gode da asigi, amo ilia sisiga: i dagoi. Be lalu da Hebene amoga misini, Sa: ida: ne ea fi huluane wadela: lesi dagoi.
Walikwenda juu kwenye tambarare ya nchi nao walizunguka kambi ya waumini, mji upendwao. Lakini moto ulikuja kutoka mbinguni na kuwaangamiza.
10 Amalalu, Debele, (e da amo dunu ilima ogogoi), e da lalu wayabo amo da salafaga nenanebe amoga ha: digi dagoi ba: i. Amoga musa: ohe fi liligi amola ogogosu balofede dunu ha: digi dagoi ba: i. Ilia da eso huluane mae dagole, eso amola gasi, amoga se nabalumu. (aiōn , Limnē Pyr )
Shetani, ambaye aliwadanganya, alitupwa ndani ya ziwa liwakalo kiberiti, ambamo mnyama na nabii wa uongo walikuwa wameshatupwa. Watateswa mchana na usiku milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
11 Amalalu, na da ahea: ya: i Fisu bagade amo da: iya Gode fibi ba: i. Osobo bagade amola mu da Ema beda: iba: le, mugululi bu hamedafa ba: i.
Kisha niliona kiti cha enzi kikubwa cheupe na yule ambaye alikaa juu yake. Dunia na mbingu zilikimbia mbali kutoka katika uwepo wake, lakini hapakuwako nafasi ya wao kwenda.
12 Amola bogoi dunu huluane, bagade amola fonobahadi, da wa: legadole, Fisu amo ea midadi lelu. Buga da houga: i ba: i. Buga afae amo eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu Buga ilia houga: i. Bogoi dunu ilia esalu hawa: hamoi amo buga ganodini dedei, amo defele Godema fofada: i.
Niliwaona waliokufa - hodari na wasio wa muhimu wamesimama katika kiti cha enzi, na vitabu vilifunuliwa. Kisha kitabu kingine kilifunguliwa - Kitabu cha Uzima. Wafu walihukumiwa kwa kile kilichoandikwa ndani ya vitabu, matokeo ya kile walichokifanya.
13 Amalalu, bogoi dunu musa: hanoga gela sa: ili bogoi amola bogoi amo bogoi sogebi amo ganodini dialu, amo da fofada: musa: wa: legadoi. Huluane da ilia hawa: hamoi defele fofada: su ba: i. (Hadēs )
Bahari iliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake. Kifo na kuzimu viliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake, na wafu walihukumiwa kulingana na walichofanya. (Hadēs )
14 Amalalu, Gode da bogosu hou amola bogosu sogebi, lalu wayabo amoga ha: digi. (Amo lalu wayabo da Bogosu Ageyadu) (Hadēs , Limnē Pyr )
Kifo na kuzimu zilitupwa ndani ya ziwa la moto. Hii ni mauti ya pili - ziwa la moto. (Hadēs , Limnē Pyr )
15 Nowa dunu da ea dio eso huluane mae bogole Fifi Ahoanusu Buga ganodini hame dedei dialebe ba: loba, e da lalu wayabo amo ganodini ha: digi dagoi ba: i. (Limnē Pyr )
Kama jina la yeyote halikupatikana limeandikwa ndani ya Kitabu cha Uzima, alitupwa ndani ya ziwa la moto. (Limnē Pyr )