< Wamolegei Sia: Olelesu 16 >
1 Amalalu, na da sia: bagade Debolo Diasuga misini nabi. Sia: da a: igele dunuma amane olelei, “Masa! Gode Ea ougi hou ofodo fesuale ganodini sali, amo osobo bagadega sogasanasima!”
Nikasikia sauti kubwa ikiita kutoka kwenye sehemu ya patakatifu na ikasema kwa wale malaika saba, “Nenda na ukamwage juu ya dunia mabakuli saba ya ghadhabu ya Mungu.”
2 A: igele age da asili, ougi amo ea ofodo ganodini sali, osobo bagadega sogasanasi. Nowa dunu da ilima ohe fi liligi ea dawa: digima: ne dedesu dialebe ba: i amola ea loboga hamoi agoaila liligi amoma nodone sia: ne gadoi, ilia da se bagade aiya bagohame madelai.
Malaika wa kwanza alienda na kumwaga bakuli lake katika dunia; majeraha mabaya na yenye maumivu makali yalikuja kwa watu wenye alama ya mnyama, kwa wale ambao waliabudu sanamu yake.
3 Amalalu, a:igele ageyadu da ea ofodo ganodini sali liligi hano wayabo bagade amoga sogasanasi. Amalalu, hano da afadenene bu bogoi dunu ea maga: me agoane hamoi. Menabo fi amola hano wayabo ganodini esalebe fi liligi huluane da bogogia: i dagoi.
Malaika wa pili alimwaga bakuli lake katika bahari; ikawa kama damu ya mtu aliyekufa, na kila kiumbe hai katika bahari kilikufa.
4 Amalalu, a:igele osoda da ea ofodo ganodini sali liligi amo hano amola hano nasu amoga sogasanasi. Amalalu, hano huluane da maga: me hamoi.
Malaika wa tatu akamwaga bakuli lake katika mito na katika chemichemi za maji; zikawa damu.
5 Na da a: igele amo da hano huluane ouligisa, amo ea sia: nabi, “Hadigi Gode! Di da esala amola esalu. Dia fofada: i amo da moloidafa.
Nikasikia malaika wa maji akisema, “Wewe ni mwaminifu - mmoja uliyepo na uliyekuwako, Mtakatifu - kwa sababu umezileta hukumu hizi.
6 Amo osobo bagade dunu ilia Gode Ea fi dunu amola balofede dunu, amo ilia maga: me sogadigi. Amaiba: le, Dia da ilia moma: ne, ilima maga: me iaha. Ilia da ilia hou hamoi defele laha!”
Kwa sababu walimwaga damu za waamini na manabii, umewapa wao kunywa damu; ndicho wanachostahili.”
7 Amalalu, sia: amo da oloda amoga misi, na amane nabi, “Hina Gode Bagadedafa! Dia fofada: su da dafawane amola moloidafa!”
Nikasikia madhabahu ikijibu, “Ndiyo! Bwana Mungu mwenye kutawala juu ya vyote, hukumu zako ni kweli na za haki.”
8 Amalalu, a:igele biyadu da ea ofodo ganodini sali liligi esoga sogadigi. Gode da dunu ilia esoga gia: ma: ne, logo hamoi.
Malaika wa nne akamwaga kutoka kwenye bakuli lake juu ya jua, na likapewa ruhusa kuunguza watu kwa moto.
9 Gia: i bagadeba: le, ilia da nenana, Gode da amo se nabasu amoma ouligisu esala, amo ilia dawa: beba: le, Ema lasogoi. Be ilia da wadela: i hou hame yolesi, amola Gode Ea gasa bagade hou amoma hame nodoi.
Waliunguzwa kwa joto lenye kutisha, na wakalikufuru neno la Mungu, mwenye nguvu juu ya mapigo yote. Hawakutubu wala kumpa yeye utukufu.
10 Amalalu, a:igele bi da ohe fi liligi amo ea fisuga ea ofodo ganodini sali liligi sogasanasi. Ohe fi liligi amo ea fi huluane da gasi bagade ba: i. Ilia se bagade nababeba: le, ilisu gona: su gasonasu.
Malaika wa tano akamwaga kutoka kwenye bakuli lake katika kiti cha enzi cha mnyama, na giza likaufunika ufalme wake. Walisaga meno katika maumivu makali.
11 Ilia da se bagade nababeba: le amola aiya bagohame madelabeba: le, ilia Gode Hebene ganodini esala Ema gagabui. Be ilia wadela: i hou hame yolesi.
Wakamtukana Mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu yao na majeraha yao, na bado waliendelea kutokutubu kwa kile walichotenda.
12 Amalalu, a:igele gafe da ea ofodo ganodini sali liligi amo hano bagade ea dio amo Iufala: idisi amoma sogasanasi. Gusugoe fi dunu ilia hina bagade ili amo hano degema: ne, hano da hedolowane hai dagoi ba: i.
Malaika wa sita alimwaga kutoka kwenye bakuli lake katika mto mkubwa, Frati, na maji yake yakakauka ili kuweza kuandaa njia kwa wafalme watakaokuja kutoka mashariki.
13 Amalalu, na da nigima: a:silibu udiana amo da guama agoane ba: i. Ilia da hanome, ohe fi liligi amola ogogosu balofede dunu, amo ilia lafidili manebe ba: i.
Nikaona roho tatu chafu zilizoonekana kama chura watokao nje ya mdomo wa yule joka, yule mnyama, na yule nabii wa uongo.
14 Amo a: silibu da Fio liligi ilia musa: hame ba: su gasa bagade hamosu dawa: Amo a: silibu udiana da asili, osobo bagade ouligisu dunu huluane, Gode Bagadedafa amo Ea ilegei esoga gegemusa: oule maha.
Ni roho za pepo zitendazo ishara na miujiza. Walikuwa wakienda kwa wafalme wa dunia yote ili kuweza kuwakusanya pamoja kwa vita katika siku kuu ya Mungu, mwenye kutawala juu ya vyote.
15 Yesu da amane sia: sa, “Nabima! Na da wamolasu dunu ea mabe agoane misunu. Nowa dunu da mae golale ea abula noga: le ouligisia, e da da: i nabadowane gogosiane hame ahoanumuba: le, hahawane ba: mu!”
(“Tazama! Ninakuja kama mwizi! Heri yule adumuye katika kukesha, atunzaye mavazi yake ili asiweze kwenda nje uchi na kuiona aibu yake.”)
16 Amalalu, a:silibu udiana da osobo bagade hina bagade dunu huluane, soge ea dio Hibulu sia: ga da Amagedone amoma gilisimusa: oule misi.
Waliwaleta pamoja katika sehemu iliyoitwa katika kiebrania Amagedoni.
17 Amalalu, a:igele dunu fesu da ea ofodo ganodini sali liligi hisi amoga sogadigi. Sia: bagade da Fisu Debolo Diasu ganodini diala, amoga amane misi, “Dagoi galebe!”
Malaika wa saba alimwaga kutoka kwenye bakuli lake katika anga. Kisha sauti kuu ikasikika kutoka pakatifu na kutoka kwenye kiti cha enzi, ikisema, “Imekwisha!”
18 Ha: ha: na yogi, gugelebe amola bebeda: nima bagade ba: i. Amo bebeda: nima da bebeda: nima musa: masu huluane baligi dagoi. Bebeda: nima bagadedafa.
Kulikuwa na miale ya mwanga wa radi, ngurumo, vishindo vya radi, na tetemeko la kutisha - tetemeko kubwa la ardhi ambalo halijawahi kutokea duniani tangu wanadamu wamekuwepo duniani, hivyo ni tetemeko kubwa zaidi.
19 Moilai bai bagade da fili, mogili, udiana agoane hamoi. Moilai bai bagade huluane soge huluane amo ganodini da mugului dagoi. Ba: bilone fi dunu ilia hou bu dawa: le, Gode da waini hano, amo Ea ougi bagade hou, amo Ea faigeleiga manusa: , Ba: bilone fi dunu ilima i.
Mji mkuu uligawanyika katika sehemu tatu, na miji ya mataifa ikaanguka. Kisha Mungu akamkumbusha Babeli mkuu, na akaupa mji huo kikombe kilichokuwa kimejaa divai kutoka kwenye ghadhabu yake iliyo kali.
20 Oga huluane da mugululi hamedafa ba: i. Goumi amola huluane da mugululi hamedafa ba: i.
Kila kisiwa kikapotea na milima haikuonekana tena.
21 Mugene bagadedafa, amo ea dioi defei da 50 gilogala: me agoane da muagadodi misini, dunu medosu. Se nabasu bagadedafa da doaga: beba: le, osobo bagade dunu da Godema gagabuli lasogoi.
Mvua kubwa ya mawe, ikiwa na uzito wa talanta, ikashuka kutoka mbinguni juu ya watu, na wakamlaani Mungu kwa mapigo ya mvua ya mawe kwa sababu lile pigo lilikuwa baya sana.