< Gesami Hea:su 1 >
1 Nowa dunu ilia wadela: i hou hamosu dunu ilia fada: i sia: hame nabasea, amola wadela: i hou dawa: su dunu ilia hou amoma fa: no hame bobogesea, amola nowa ilia Gode ea hou higale dawa: be dunu ilima hame gilisisia, amo dunu da hahawane bagade.
Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu, wala hasimami katika njia ya wenye dhambi, au kuketi katika baraza la wenye mizaha.
2 Be amomane ilia da hahawane Hina Gode Ea sema dedei amoma nabasu hou amola fa: no bobogesa, amola ilia yoga amola gasia idisu hou amo eso huluane bu dafawane dadawa: sa idisa.
Bali huifurahia sheria ya Bwana, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
3 Ilia da ifa hano guba: le aligi agoai, amo fage eso doaga: sea legebe agoane legesa, amola ea lubi hame biosa. Ilia da hou huluane noga: le hamosa.
Mtu huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, ambao huzaa matunda kwa majira yake na majani yake hayanyauki. Lolote afanyalo hufanikiwa.
4 Be wadela: i dunu ilia goe hamedafa hanasa. Ilia da gisi amo fo misini mini asi dagoi agoai ba: sa.
Sivyo walivyo waovu! Wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 Wadela: i hou hamosu dunu ilia da Godema Hi fofada: sea, Ea se iasu ba: mu, amola ilia da Gode Ea fi dunu ilima afafai dagoi ba: mu.
Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 Moloidafa noga: i dunu da Hina Gode Ea gaga: su amola logo olelesu dawa: Be wadela: i hamosu dunu da se nabasu logo amoga ahoana, gugunufinisisudafa amoga doaga: mu.
Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki, bali njia ya waovu itaangamia.