< Gesami Hea:su 97 >

1 Osobo bagade, hahawane nodoma! Hina Gode da Hina Bagadedafa! Hano wayabo bagade ganodini oga dialebe gala! Dilia da nodoma!
Yahwe anatawala; nchi ishangilie; visiwa vingi na vifurahi.
2 Mu mobi amola gasi da E sisiga: sa. E da moloidafa amola moloidafa fofada: su amoga ouligisa.
Mawingu na giza vyamzunguka. Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake.
3 Lalu da Ea midadi bisili ahoana, Ema ha lai dunu E sisiga: le aliligi amo nene ahoa.
Moto huenda mbele zake nao huwateketeza adui zake pande zote.
4 Ea da: gini gala: be amoga osobo bagade huluane da digaga: la: sa! Amola osobo bagade da amo ba: sea yagugusa.
Taa yake huangaza ulimwengu; nchi huona na kutetemeka.
5 Agolo huluane da osobo bagade Hina Gode Ea midadi gamali ulagisia daeane dabe agoai ba: mu.
Milima huyeyuka kama nta mbele za Yahwe, Bwana wa dunia yote.
6 Hebene da Ea moloidafa hou amo olelesa, amola fifi asi gala huluane da Ea hadigi amo ba: sa.
Mbingu hutangaza haki yake, na mataifa yote huuona utukufu wake.
7 Ogogole ‘gode’ huluane da Hina Gode Ea midadi begudusa, amaiba: le dunu huluane ogogole ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadobe da gogosiasu fawane ba: mu.
Wale wote waabuduo sanamu za kuchonga wataaibishwa, wale wanao jivuna katika sanamu zisizo na maana mpigieni yeye magoti, enyi miungu wote!
8 Hina Gode! Saione fi dunu amola Yuda moilale gagale fi dunu da hahawaneba: le nodosa. Bai Dia fofada: su hou da moloidafa.
Sayuni ilisikia na kufurahi, na miji ya Yuda ilishangilia kwa sababu ya amri zako za haki, Yahwe.
9 Hina Gode Bagadedafa! Di da osobo bagade fifi asi gala huluane Ouligisudafa. Di da ogogole ‘gode’ amo huluane baligi dagoi.
Kwa kuwa wewe, Yahwe, ndiye uliye juu sana, juu ya nchi yote. Umetukuka sana juu ya miungu yote.
10 Hina Gode da nowa da wadela: i hamosu amo higabe, ilima nodosa. E da Ea dunu ilia esalusu amo gaga: sa. Wadela: i hou hamosu dunu ilia gasa amoga Ea fi dunu wadela: lesisa: besa: le, E da ili gaga: sa.
Ninyi ambao mnampenda Yahwe, chukieni uovu! Yeye hulinda uhai wa watakatifu wake, naye huwatoa mikononi mwa waovu.
11 Hadigi da moloidafa dunu amodili diga: sa. Amola hahawane hou da noga: i dunu amodili diga: sa.
Nuru imepandwa kwa ajili ya wenye haki na furaha kwa ajili ya wanyoofu wa moyo.
12 Molole hamobe dunu dilia huluane da Hina Gode Ea hahamobe hou amo dawa: le, hahawane ba: ma! Hadigi Gode Ea hamobe bu dawa: ma amola Ema nodone sia: ma!
Furahini katika Yahwe, enyi wenye haki; na mpeni shukurani mkumbukapo utakatifu wake.

< Gesami Hea:su 97 >