< Gesami Hea:su 96 >

1 Hina Godema gesami gaheabolo hea: ma! Osobo bagade fifi asi gala huluane! Hina Godema gesami hea: ma!
Oh, mwimbieni Yahwe wimbo mpya; mwimbieni Yahwe, nchi yote.
2 Hina Godema gesami hea: le hahawane nodone sia: ma! Eso huluane Ea nini gaga: i sia: noga: idafa amo sisa: i lama!
Mwimbieni Yahwe, tukuzeni jina lake; tangazeni wokovu wake siku hadi siku.
3 Fifi asi gala ilima Ea hadigi amo dili ima! Fifi asi gala dunu huluanema Ea gasa bagade hou hamobe dili ima.
Tangazeni utukufu wake kati ya mataifa, matendo yake ya ajabu kati ya mataifa.
4 Hina Gode da bagadedafaba: le, Ema baligili nodomu da defea. Eno ‘gode’ da gudulisili, Ema fawane da baligili nodone dawa: mu da defea.
Maana Yahwe ni mkuu na wakusifiwa sana. Ni wakuhofiwa kuliko miungu mingine.
5 Eno ‘gode’ fifi asi gala amoga galebe da ogogole ‘gode’ fawane, be Hina Gode da Hebene huluane hahamoi.
Maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, bali ni Yahwe aliye zifanya mbingu.
6 Hadigi amola baligili gasa bagade da E sisiga: sa, gasa bagade amola noga: idafa ba: su da Ea Debolo diasu amo nabalegala: sa.
Heshima na adhama ziko mbele zake. Nguvu na uzuri zimo katika patakatifu pake.
7 Osobo bagade dunu huluane! Hina Godema nodone sia: ma! Ea gasa bagade hou amola Ea hadigidafa amoma nodone sia: ma!
Mpeni Yahwe sifa, enyi ukoo wa watu, mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
8 Hina Gode Ea Hadigi Dio amoma nodone sia: ma. Ea Debolo diasu ganodini Ema iasu gaguli misa.
Mpeni Yahwe utukufu ambao unastahili jina lake. Leteni matoleo na muingie nyuani mwake.
9 E da doaga: sea, E da maleiba: le, osobo bagade dunu dilia da Ea midadi beguduma! Osobo bagade fifi asi gala dunu huluane! Ea midadi beda: ga yagugusa misa!
Mpigieni magoti Yahwe mkiwa mmevaa mavazi ambayo yanaheshimu utakatifu wake. Nchi yote tetemekeni mbele zake.
10 Fifi asi gala huluanema sia: ma, “Hina Gode da Hina bagade! Osobo bagade da noga: le ligisiba: le fogomu gogolei gasa bagade galebe. E da fofada: sea moloidafa fofada: su amoga fofada: mu.
Semeni kati ya mataifa, Yahwe anatawala.” Ulimwengu pia umeimarishwa; hauwezi kutikiswa. Yeye huwahukumu watu kwa haki.
11 Osobo bagade amola mu da: i! Nodoma! Hano wayabo bagade! Di amola nodoma! Di amola liligi dima ganodini esalebe huluane! Godema nodone wele sia: ma!
Mbingu na zifurahi, na nchi ishangilie; bahari na ivume na vyote viijazavyo vipige kelele kwa shangwe.
12 Amola soge ganodini liligi huluane nodone sia: ma! Ifalabo aligi da hahawaneba: le, nodone sia: mu.
Mashamba yashangilie na vyote vilivyomo. Kisha miti ya mstuni ipige kelele kwa furaha
13 Hina Gode da osobo bagade ouligimusa: masea, E da defeledafa Ea moloidafa fofada: su amoga fifi asi huluane ouligimu.
mbele za Yahwe, maana yeye anakuja. Anakuja kuihukumu nchi. Naye atauhukumu ulumwengu kwa haki na mataifa kwa uaminifu wake.

< Gesami Hea:su 96 >