< Gesami Hea:su 92 >

1 Hina Gode Baligili Gadodafa, Dima nodone sia: mu amola Dima nodone gesami hea: mu da defeadafa.
Ni jambo jema kumshukuru Yahwe na kuliimbia sifa jina lako, Uliye Juu,
2 Dia mae fisili asigidafa amo eso huluane hahabe sia: nanumu da defea, amola Dia didili hamosu hou amo gasia huluane sia: nanumu da defea.
kutangaza uaminifu wa agano lako wakati wa asubuhi na uaminifu wako kila usiku,
3 Sani baidama amola baidamadafa, amoga dusa, Dima nodonanumu da defea.
kwa kinubi cha nyuzi kumi na kwa tuni ya kinubi.
4 Hina Gode, Dia baligili bagadedafa hamobe hou amoga na da nodosa, amola Dia hahamoi liligi amo ba: beba: le, na da nodone gesami hea: sa.
Kwa kuwa wewe, Yahwe, matendo yako yamenifurahisha. Nitaimba kwa furaha kwa sababu ya matendo ya mikono yako.
5 Hina Gode, Dia hahamobe liligi da bagadedafa! Dia dawa: su da oso dogoidafa gala!
Ni jinsi gani matendo yako ni makuu, Yahwe! mawazo yako ni ya kina.
6 Goe hou da gagaoui dunu, amo ea da dawa: mu gogolei,
Mtu mpumbavu hawezi kuyajua, wala mjinga kuyaelewa haya:
7 Wadela: i hamosu dunu da wadela: i gisi agoane heda: mu, amola giadofale hamosu dunu ilia da liligi bagade gagui dialebe ba: mu, be amomane ilia da bagadedafa gugunufinisi ba: mu.
Wasio haki watakapochipuka kama nyasi, na hata watendao uovu watakapo stawi, bado wataangamizwa kwenye uharibifu wa milele.
8 Bai Hina Gode da Gadodafa amola Fifi Ahoanusudafa.
Lakini wewe, Yahwe, utatawala milele.
9 Ninia dawa: , Dima ha lai dunu ilia da bogogia: mu, amola wadela: i hou hamosu dunu da hasalasi dagoi ba: mu.
Hakika, watazame adui zako, Yahwe! Hakika, watazame adui zako. Wataangamia! Wale wote watendao maovu watatawanywa.
10 Di da bulamagau sigua amo ea gasa defele nama gasa i, amola Di da hahawane dogolegele hou nama hamoiba: le, na da hahawane bagade.
Wewe umeyainua mapembe yangu kama mapembe ya Nyati wa porini; nimepakwa mafuta safi.
11 Na da nama ha lai ilima hasalasibi amo ba: i amola wadela: i hou hamosu dunu ilia didigia: be amo nabi.
Macho yangu yameona kuanguka kwa adui zangu; masikio yangu yamesikia maangamizi ya maadui zangu waovu.
12 Molole hamosu dunu ilia da gumudi dulu waha faselale salabe agoai ba: mu. Ilia da Lebanone soge ganodini dolo ifa heda: be agoai ba: mu.
Wenye haki watastawi kama mtende; watakua kama mwerezi wa Lebanoni.
13 Ilia da ninia Hina Gode Ea Debolo diasu ganodini bugi ifaga osomo falegabe agoai, amo da yalo idalo hamone, gebewane lubi dialuli fage legelalebe, gasa bagade ifa agoai ba: mu.
Wamepandwa katika nyumba ya Yahwe; wakistawi katika nyua za Mungu wetu.
Wao huzaa matunda hata uzeeni; hukaa safi na wenye afya,
15 Amoga ninia ba: sea da Hina Gode da moloidafa olelesa. E da na Gaga: su gala. Amola Ea hou amo ganodini, giadofale hamobe hamedafa ba: sa.
kutangaza kuwa Yahwe ni wa haki. Yeye ni mwamba wangu, na hakuna udhalimu ndani yake.

< Gesami Hea:su 92 >