< Gesami Hea:su 92 >

1 Hina Gode Baligili Gadodafa, Dima nodone sia: mu amola Dima nodone gesami hea: mu da defeadafa.
Zaburi. Wimbo wa siku ya Sabato. Ni vyema kumshukuru Bwana na kuliimbia jina lako, Ee Uliye Juu Sana,
2 Dia mae fisili asigidafa amo eso huluane hahabe sia: nanumu da defea, amola Dia didili hamosu hou amo gasia huluane sia: nanumu da defea.
kuutangaza upendo wako asubuhi, na uaminifu wako wakati wa usiku,
3 Sani baidama amola baidamadafa, amoga dusa, Dima nodonanumu da defea.
kwa zeze yenye nyuzi kumi na kwa sauti ya kinubi.
4 Hina Gode, Dia baligili bagadedafa hamobe hou amoga na da nodosa, amola Dia hahamoi liligi amo ba: beba: le, na da nodone gesami hea: sa.
Ee Bwana, kwa kuwa matendo yako yamenifurahisha, nitaziimba kwa shangwe kazi za mikono yako.
5 Hina Gode, Dia hahamobe liligi da bagadedafa! Dia dawa: su da oso dogoidafa gala!
Ee Bwana, tazama jinsi yalivyo makuu matendo yako, tazama jinsi yalivyo ya kina mawazo yako!
6 Goe hou da gagaoui dunu, amo ea da dawa: mu gogolei,
Mjinga hafahamu, mpumbavu haelewi,
7 Wadela: i hamosu dunu da wadela: i gisi agoane heda: mu, amola giadofale hamosu dunu ilia da liligi bagade gagui dialebe ba: mu, be amomane ilia da bagadedafa gugunufinisi ba: mu.
ingawa waovu huchipua kama majani na wote watendao mabaya wanastawi, wataangamizwa milele.
8 Bai Hina Gode da Gadodafa amola Fifi Ahoanusudafa.
Bali wewe, Ee Bwana, utatukuzwa milele.
9 Ninia dawa: , Dima ha lai dunu ilia da bogogia: mu, amola wadela: i hou hamosu dunu da hasalasi dagoi ba: mu.
Ee Bwana, hakika adui zako, hakika adui zako wataangamia. Wote watendao mabaya watatawanyika.
10 Di da bulamagau sigua amo ea gasa defele nama gasa i, amola Di da hahawane dogolegele hou nama hamoiba: le, na da hahawane bagade.
Umeitukuza pembe yangu kama ile ya nyati dume, mafuta mazuri yamemiminwa juu yangu.
11 Na da nama ha lai ilima hasalasibi amo ba: i amola wadela: i hou hamosu dunu ilia didigia: be amo nabi.
Macho yangu yamewaona adui zangu wakishindwa, masikio yangu yamesikia maangamizi ya adui zangu waovu.
12 Molole hamosu dunu ilia da gumudi dulu waha faselale salabe agoai ba: mu. Ilia da Lebanone soge ganodini dolo ifa heda: be agoai ba: mu.
Wenye haki watastawi kama mtende, watakuwa kama mwerezi wa Lebanoni,
13 Ilia da ninia Hina Gode Ea Debolo diasu ganodini bugi ifaga osomo falegabe agoai, amo da yalo idalo hamone, gebewane lubi dialuli fage legelalebe, gasa bagade ifa agoai ba: mu.
waliopandwa katika nyumba ya Bwana, watastawi katika nyua za Mungu wetu.
Wakati wa uzee watakuwa bado wanazaa matunda, watakuwa wabichi tena wamejaa nguvu,
15 Amoga ninia ba: sea da Hina Gode da moloidafa olelesa. E da na Gaga: su gala. Amola Ea hou amo ganodini, giadofale hamobe hamedafa ba: sa.
wakitangaza, “Bwana ni mkamilifu; yeye ni Mwamba wangu, na ndani yake hamna uovu.”

< Gesami Hea:su 92 >