< Gesami Hea:su 9 >
1 Hina Gode! Na dogo huluane amoga Dima nodosa. Amola hawa: hamosu noga: idafa Dia hamoi amo na da sisa: i lamu.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa muth-labeni. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, nitakutukuza kwa moyo wangu wote, nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu.
2 Di galebeba: le, na da hahawane gesami hea: mu. Gasa Bagade Gode! Na da Dima nodone gesami hea: mu.
Nitafurahi na kushangilia ndani yako. Nitaliimbia sifa jina lako, Ewe Uliye Juu Sana.
3 Di ba: beba: le, nama ha lai dunu da sinidigili bu hobeasa. Ilia da dafane bogosa.
Adui zangu wamerudi nyuma, wamejikwaa na kuangamia mbele zako.
4 Dia fofada: su da moloidafa amola Dia da na fidima: ne fofada: i dagoi.
Kwa maana umetetea haki yangu na msimamo wangu; umeketi kwenye kiti chako cha enzi, ukihukumu kwa haki.
5 Di da Godema higa: i dunu ilima fofada: ne se iasu. Amola Di da wadela: i hamosu dunu wadela: lesi dagoi. Amo dunu da bu hame ba: mu.
Umekemea mataifa na kuwaangamiza waovu; umeyafuta majina yao milele na milele.
6 Ninima ha lai dunu da fisi dagoi, bu hamedafa ba: mu. Di da ilia moilai huluane gugunufinisi dagoi. Ilia amola da bu hamedafa ba: mu.
Uharibifu usiokoma umempata adui, umeingʼoa miji yao; hata kumbukumbu lao limetoweka.
7 Be Hina Gode da eso huluane Hinadafa esalalalumu. E da Ea Fofada: su Fisu hahamoi dagoi.
Bwana anatawala milele, ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.
8 E da fofada: su hou moloidafa amoga fifi asi gala amo huluane ouligisa. E da fi huluane ilima moloidafa fofada: nana.
Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki, atatawala mataifa kwa haki.
9 Se nabasu da banenesi dunu ilima doaga: sea, Hina Gode da ilia gaga: su wamoaligisu sogebi agoai ba: sa.
Bwana ni kimbilio la watu wanaoonewa, ni ngome imara wakati wa shida.
10 Hina Gode! Nowa da Dia hou dawa: sea, ilia da Di dafawaneyale dawa: mu. Nowa da Dima masea, Di da amo dunu hamedafa yolesimu.
Wote wanaolijua jina lako watakutumaini wewe, kwa maana wewe Bwana, hujawaacha kamwe wakutafutao.
11 Hina Gode da Saione soge amo ouligisa. Ema nodone gesami hea: ma. Fifi asi gala huluane ilima Ea hou olelema.
Mwimbieni Bwana sifa, amefanywa mtawala Sayuni, tangazeni miongoni mwa mataifa, yale aliyoyatenda.
12 Nowa dunu e se nabasea amola disia, Gode da hame gogolesa. Amola dunu da ilima se iabe, Gode da ilima amolawane se iaha.
Kwa maana yeye alipizaye kisasi cha damu hukumbuka, hapuuzi kilio cha wanaoonewa.
13 Hina Gode! Nama asigima! Nama ha lai dunu da nama se bagade iaha. Hina Gode! Na bogosa: besa: le, hedolo fidila misa.
Ee Bwana, tazama jinsi walivyo wengi adui zangu wanaonitesa! Nihurumie, uniinue kutoka malango ya mauti,
14 Amasea, na da Yelusaleme dunu fi amo ilia midadi lelu, liligi huluane na Dima nodosa, amo huluane ilima olelemu. Dia da na gaga: iba: le, na da hahawane bagade ba: mu.
ili niweze kutangaza sifa zako katika malango ya Binti Sayuni na huko niushangilie wokovu wako.
15 Hame lalegagui dunu fedege agoane da ilia uli dogole, amo ganodini dafai. Ilia da eno dunu sa: ima: ne sanenisisia, ilisu da amo sani ganodini sa: i dagoi.
Mataifa wameanguka kwenye shimo walilolichimba, miguu yao imenaswa kwenye wavu waliouficha.
16 Hina Gode da Ea moloidafa fofada: su amoga Ea hou olelesa. Be wadela: i hamosu dunu da wadela: le hamobeba: le, ilila: sanenisisu amo ganodini daha.
Bwana anajulikana kwa haki yake, waovu wamenaswa katika kazi za mikono yao.
17 Dunu huluane amo da wadela: le hamosa amola Godema higabe dunu huluane da bogosu ba: mu. (Sheol )
Waovu wataishia kuzimu, naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu. (Sheol )
18 Wali hame gagui dunu da se nabawane esala. Ilia da banenisi dagoi agoai ba: sa. Be amo hou da eso huluane hame dialumu.
Lakini mhitaji hatasahaulika siku zote, wala matumaini ya walioonewa hayatapotea.
19 Hina Gode misa! Osobo bagade dunu da Di higamu da defea hame galebe. Di wadela: i hamosu dunu amo Dima fofada: musa: misa: ne sia: ma. Amasea, ilima fofada: nanu, se iasu ima.
Ee Bwana, inuka, usimwache binadamu ashinde. Mataifa na yahukumiwe mbele zako.
20 Hina Gode! Ili beda: ma: ne hamoma. Ilia da osobo bagade dunu fawane amola ilia da bogosu ba: mu. Amo ilia dawa: ma: ne, Di olelema.
Ee Bwana, wapige kwa hofu, mataifa na yajue kuwa wao ni watu tu.