< Gesami Hea:su 89 >

1 Hina Gode, na da eso huluane Dia mae fisili asigi hou amoga ligiagale gesami hea: lumu. Na da mae fisili Dia didili hamosu hou amo fifi asi gala huluanema adodolalumu.
Utenzi wa Ethani Mwezrahi. Nitaimba juu ya upendo mkuu wa Bwana milele; kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako ujulikane kwa vizazi vyote.
2 Na dawa: , Dia asigidafa hou da mae fisili eso huluane dialumu. Amola Dia didili hamosu hou da bagadedafa amola fisimu hamedei muagado haisewe agoai dialumu.
Nitatangaza kuwa upendo wako unasimama imara milele na uaminifu wako umeuthibitisha mbinguni.
3 Di da amane sia: i, “Na da Ni ilegele fi dunu amo anisu gaguli gousa: i dagoi, amola Na da Na hawa: hamosu dunu Da: ibidi, ema hamomusa: ilegele sia: i dagoi.
Ulisema, “Nimefanya agano na mteule wangu, nimemwapia mtumishi wangu Daudi,
4 ‘Digaga fifi ahoanebe amoga da eso huluane hina bagade dunu hamonanumu. Na da mae fisili dia sosogo fi amoga enoga wadela: lesisa: besa: le gaga: lalumu.’”
‘Nitaimarisha uzao wako milele na kudumisha ufalme wako kwa vizazi vyote.’”
5 Hebene da Dia noga: i liligi hahamoi amoga gesami hea: sa, amola hadigidafa a: igele dunu da Hina Gode Dia didili hamosu amoga gesami hea: sa.
Ee Bwana, mbingu zinayasifu maajabu yako, uaminifu wako pia katika kusanyiko la watakatifu.
6 Hina Gode, Hebene amo ganodini da Di agoai afae hame gala. Hebene amo ganodini galebe liligi amoga da Dila defemu afae hamedafa.
Kwa kuwa ni nani katika mbingu anayeweza kulinganishwa na Bwana? Ni nani miongoni mwa viumbe vya mbinguni aliye kama Bwana?
7 Amola a: igele gasolo ilia hadigi malei sesei amo ganodini ilia da Dima beda: sa, amola ilia huluane da Dima sosodo aligi diala.
Katika kusanyiko la watakatifu, Mungu huogopwa sana, anahofiwa kuliko wote wanaomzunguka.
8 Hina Gode Bagadedafa, bagadedafa Di agoai afae da hame gala. Hina Gode, Di da liligi huluanedafa amoma moloidafa ba: sa.
Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, ni nani aliye kama wewe? Ee Bwana, wewe ni mwenye nguvu, na uaminifu wako unakuzunguka.
9 Di da hano wayabo gasa bagade amo ouligisa. Di da hano ea gasa bagade gafulusu amo asabolesisa.
Wewe unatawala bahari yenye msukosuko; wakati mawimbi yake yanapoinuka, wewe unayatuliza.
10 Di da ohe bagadedafa, La: iha: be, amo Di gasa bagadedafa amoga fane dadalega: le salalu, amola Dia ha lai dunu hasalasi.
Wewe ulimponda Rahabu kama mmojawapo wa waliochinjwa; kwa mkono wako wenye nguvu, uliwatawanya adui zako.
11 Hebene amo da Dia: , amola osobo bagade amola liligi huluane amo ganodini diala amo da Di fawane hahamoi.
Mbingu ni zako, nayo nchi pia ni yako, uliuwekea ulimwengu msingi pamoja na vyote vilivyomo.
12 Di da ga (north) amola ga (south) amo hahamoi. Dabo goumi amola Hemone goumi da Dima nodone gesami hea: sa.
Uliumba kaskazini na kusini; Tabori na Hermoni wanaliimbia jina lako kwa furaha.
13 Dia nimi da bagadedafa gala! Dia gasa da baligili bagadedafa!
Mkono wako umejaa uwezo; mkono wako una nguvu, mkono wako wa kuume umetukuzwa.
14 Dia Hinadafa hou da moloidafa hou, moloidafa fofada: su hou, asigi hou amola dafawaneyale dawa: su hou amo da: iya bugiba: le, Dia hamobe hou huluane da noga: le olelesa.
Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako cha enzi; upendo na uaminifu vinakutangulia.
15 Dunu ilia da Dima nodone gesami hea: beba: le, hahawane bagadedafa gala, amola ilia da Dia hadigi amola asigisu amo ganodini esala agoane hamosa!
Heri ni wale ambao wamejifunza kukusifu kwa shangwe, wanaotembea katika mwanga wa uwepo wako, Ee Bwana.
16 Bai ilia da yoga eso huluane Dima, Dia noga: idafa hou amoga nodone sia: nana.
Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa, wanafurahi katika haki yako.
17 Di da ninima hasalasisu hou bagadedafa i. Dia asigidafa hou amoga Di da ninima hasalasisu i.
Kwa kuwa wewe ni utukufu na nguvu yao, kwa wema wako unatukuza pembe yetu.
18 Di, Hina Gode, Di fawane da ninia gaga: su dunu ilegei. Di, Isala: ili ilia Hadigidafa Gode da ninia hina bagade ninima i.
Naam, ngao yetu ni mali ya Bwana, na mfalme wetu mali ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.
19 Di, Hina Gode, Di da mae fisili noga: idafa hawa: hamosu dunu, esala ba: su ganodini ilima amane sia: i, “Na da mimogo dadi gagui dunuma fidima: ne ilegei dagoi. Na da Isala: ili fi dunu amoga ouligisu dunu ilegei.
Ulizungumza wakati fulani katika maono, kwa watu wako waaminifu, ukasema: “Nimeweka nguvu kwa shujaa, nimemwinua kijana miongoni mwa watu.
20 Na da Na hawa: hamosu dunu Da: ibidi ea dialuma da: iya malei susuligi sogagala: lu, e hina bagade dunu hahamonesi.
Nimemwona Daudi, mtumishi wangu, na nimemtia mafuta yangu matakatifu.
21 Na gasa da eso huluane e amola gilisili lalumu. Na nimi hou amoga e da gasa bagade heda: mu.
Kitanga changu kitamtegemeza, hakika mkono wangu utamtia nguvu.
22 Ema ha lai dunu ilia da ema hasalimu da hamedei ba: mu, amola wadela: i hamosu dunu, ilia da e hame hasalasimu.
Hakuna adui atakayemtoza ushuru, hakuna mtu mwovu atakayemwonea.
23 Na da ea ha lai dunu amo fane dadega: le fofasimu amola ema higale ba: be dunu amo huluane fane lelegemu.
Nitawaponda adui zake mbele zake na kuwaangamiza watesi wake.
24 Na da ema asigilalumu amola ema madelagimu. Na da ema eso huluane ea hasalasisu fawane hamonanoma: mu.
Upendo wangu mkamilifu utakuwa pamoja naye, kwa Jina langu pembe yake itatukuzwa.
25 Na da ea hina bagade hou amo Medidela: inia hano wayabo bagade amogainini, Iufala: idisi hanoga alofele galesimu.
Nitauweka mkono wake juu ya bahari, mkono wake wa kuume juu ya mito.
26 E da Nama amane sia: mu. “Di da na Ada amola na Gode, amola Di da na gesu amola na gaga: su.
Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi wangu.’
27 Hina dunu bagohame amo ganodini, Na da ema Na magobo mano hamomu.
Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza, aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia.
28 Na da Na hamomusa: ema ilegele sia: i da eso huluane dawa: i dialumu, amola Na da gousa: su ema ilegele sia: i da mae fisili amanewane dialumu.
Nitadumisha upendo wangu kwake milele, na agano langu naye litakuwa imara.
29 Ea sosogo fi da mae mumugululi, muagado haisewe agoaiwane dialumu. Egaga fifi manebe da eso huluane hina bagade dunu hamonanusu hamomu.
Nitaudumisha uzao wake milele, kiti chake cha enzi kama mbingu zinavyodumu.
30 “Be ilia da Na sema amo hame fa: no bobogesea, amola Na hamoma: ne sia: i amo hame hamosea,
“Kama wanae wataacha amri yangu na wasifuate sheria zangu,
31 Ilia da Na sema amo hame nabasea, amola Na hamoma: ne sia: i amoma hame fa: no bobogesea,
kama wakihalifu maagizo yangu na kutoshika amri zangu,
32 amasea, Na da ilia wadela: i hou amo dabe ilima se bidi imunu. Ilia da giadofale hamoiba: le, Na da ilima se bidi iabeba: le, ilia da se naba hahaninanumu.
nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo, uovu wao kwa kuwapiga,
33 Be amomane Na da Da: ibidima asigi hou da hame yolesimu amola Na ema hamomusa: ilegele sia: i da hame yolesimu.
lakini sitauondoa upendo wangu kwake, wala sitausaliti uaminifu wangu kamwe.
34 Na ema gousa: su da hame yolesimu, amola ema Na da hamomusa: ilegei amoga hodo afadafa Ni hame lalegamu.
Mimi sitavunja agano langu wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.
35 “Afae dafawane, amo huluane Na da Na malei Dioba: le ilegele sia: sa. Na da Da: ibidima hamedafa ogogomu.
Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu, nami sitamdanganya Daudi:
36 E da eso huluane egaga fifi ahoanumu, amola Na da ea hina bagade hawa: hamosu amo ganodini eso digaga: la: be galu, ema sosodo lelumu.
kwamba uzao wake utaendelea milele, na kiti chake cha enzi kitadumu mbele zangu kama jua;
37 Oubi da muagadodili mae fisili lela. Amo defele Da: ibidi egaga fi da Isala: ili ouligisa esalumu.”
kitaimarishwa milele kama mwezi, shahidi mwaminifu angani.”
38 Be amomane Di da dia ilegei hina dunuma ougi galebe, Di da e yolesiaga: le, e gogolei dagoi galebe.
Lakini wewe umemkataa, umemdharau, umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.
39 Di da Dia hawa: hamosu dunuma gousa: su amo fisi dagoi amola ea habuga da udigili isu da: iya galagai dagoi.
Umelikana agano lako na mtumishi wako, na umeinajisi taji yake mavumbini.
40 Di da ea moilai fi dobea fei amo gadelale sanasi dagoi, amola ea gasa bagade gagili sali amo wadela: lesi dagoi.
Umebomoa kuta zake zote, na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.
41 Dunu ilia da amodili baligisia, ilia da ea liligi amo wamolasa, amola e gadenene fifilai dunu ilia da e ba: le oufesega: sa.
Wote wapitao karibu wamemnyangʼanya mali zake; amekuwa dharau kwa jirani zake.
42 Di da ea ha lai dunuma hasalasu hou ilima i dagoi, amola Di da ili hahawane galoma: ne hamoi.
Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake, umewafanya watesi wake wote washangilie.
43 Di da ea gegesu liligi amo gasa hamedene hahamonesi, amo e da gegesu amo ganodini ema hasalima: ne hamoi.
Umegeuza makali ya upanga wake, na hukumpa msaada katika vita.
44 Di da ea malei galiamo fadegale fasili, amola ea hadigi fisu amo osoba gudu muwane sanasi.
Umeikomesha fahari yake, na kukiangusha kiti chake cha enzi.
45 Di da ea eso hame doaga: iya asagia, e da: i hahamonesi, amola Di da ema gogosiasu iasi.
Umezifupisha siku za ujana wake, umemfunika kwa vazi la aibu.
46 Hina Gode, Dia odagi mae olele gebewane wamoaligi dialoma: bela: ? Dia ougi da lalu agoane habowali seda nenanoma: bela: ?
Hata lini, Ee Bwana? Utajificha milele? Ghadhabu yako itawaka kama moto hata lini?
47 Na esalusu da dunumunihadi amo Di dawa: ma. Dunu nini huluane da Di hahamoi, amo Di dawa: ma!
Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita haraka. Ni kwa ubatili kiasi gani umemuumba mwanadamu!
48 Nowa da mae bogole fifi ahoanoma: bela: ? Dunudafa ninia da, nini bogoi uli dogoi amoga dasa: besa: le habodane gaga: ma: bela: ? (Sheol h7585)
Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo, au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi? (Sheol h7585)
49 Hina Gode, ninia da Dia musa: asigi hou amo dawa: digisu da habila: ? Dia Da: ibidima hamomusa: ilegei amo da habila: ?
Ee Bwana, uko wapi upendo wako mkuu wa mwanzoni, ambao katika uaminifu wako ulimwapia Daudi?
50 Mae gogolema, na, Dia hawa: hamosu dunu! Ilia da nama gadele sisa: nosa. Ilia da nama gagabusu aligima: ne sia: daha.
Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa, jinsi ninavyovumilia moyoni mwangu dhihaka za mataifa yote,
51 Hina Gode, Dima ha lai ili da Dia ilegele lai Hina Bagade Ema gadele sisa: nosa! Ilia da E habodili ahoanebe ba: sea, Eba: le gadele sisa: nosa.
dhihaka ambazo kwazo adui zako wamenisimanga, Ee Bwana, ambazo kwazo wamesimanga kila hatua ya mpakwa mafuta wako.
52 Hina Godema eso huluane nodone sia: noma! Ama! Ama!
Msifuni Bwana milele!

< Gesami Hea:su 89 >