< Gesami Hea:su 88 >

1 Hina Gode na Gaga: sudafa! Na da eso huluane Dima wele sia: nana, amola gasia na da Dia midadi Dima maha.
Yahwe, Mungu wa wokovu wangu, ninalia mchana na usiku mbele zako.
2 Na Dima sia: ne gadobe amo nabima! Na da Dia fidima: ne digini wele sia: be amo nabima!
Sikiliza maombi yangu; utazame kulia kwangu.
3 Bidi hamosu bagohame da nama misiba: le, na da bogomu gadenei. (Sheol h7585)
Maana nimejawa taabu, na uhai wangu umefika kuzimuni. (Sheol h7585)
4 Na gasa huluane da fisi dagoi! Na da dunu oda agoane bogomu gadenei agoai galebe.
Watu hunichukulia kama wale waendao chini shimoni; mimi ni mtu asiye na nguvu.
5 Na da bogogia: su sogebi amoga dialoma: ne fisi dagoi ba: sa! Na da fane legesu dunu agoane ilia uli dogoi ganodini dialebe agoai amo da Dia fidimu hamedene gogolesa gogoleidafa.
Nimetelekezwa miongoni mwa wafu; niko kama mfu alalaye katika kaburi, wao ambao wewe huwajari tena kwa sababu wametengwa mbali na nguvu zako.
6 Di da bogoi salasu uli dogoi gududafa amoga na sanasi dagoi. Amo gelabo da gasi dunasi amola sedadedafa.
Wewe umeniweka katika sehemu ya chini kabisa ya shimo, sehemu yenye giza na kilindini.
7 Dia ougi da na da: i hodo da: iya dioi bagade diala amola amoga na da banenesi diala.
Gadhabu yako yanielemea, na mawimbi yako yote yanatua juu yangu. (Selah)
8 Di da hamobeba: le, na dogolegei dunu da nama gahegisa, amola na dogolegei dunu ilia siga na da wadela: idafa ba: sa. Na da halegale hobeamu hamedei ba: sa.
Kwa sababu yako, wale wanijuao wote hunikwepa. Umenifanya wakutisha machoni pao. Nimefungwa na siwezi kutoroka.
9 Na da se nababeba: le, ba: mu gogolei. Hina Gode, na da eso huluane Dima wele sia: sa, amola na lobo gaguia gadole sia: ne gadolala.
Macho yangu yamefifia kutokana na shida; kila siku nakuita wewe, Yahwe; ninakunyoshea wewe mikono yangu.
10 Di da bogoi dunuma musa: hame ba: su hou hahamoma: bela? Ilia da bu wa: legadole Dima nodone sia: ma: bela: ?
Je! utafanya miujiza kwa ajili ya wafu? Wale waliokufa watafufuka na kukusifu wewe? (Selah)
11 Dunu ilia da Dia mae fisili asigi hou bogoi uli dogoi gelaba ganodini sia: ma: bela: ? Dia didili hamosu da gugununfinisisu soge amo ganodini dialoma: bela: ?
Uaminifu wa agano lako utatangazwa kaburini? au uaminifu wako mahali pa wafu?
12 Dia hame ba: su liligi hou da, amo gasi sogebi amo ganodini ba: ma: bela: ? Dunu ilia eno dunu amo da bogoi sogega daha hedolo gogolesa. Amo soge ganodini, Dia noga: idafa hou da dialoma: bela: ?
Matendo yako ya ajabu yatajulikana gizani? au haki yako katika mahali pa usahaulifu?
13 Hina Gode, na da Dia na fidima: ne Dima wele sia: sa. Eso huluane hahabe na da Dima sia: ne gadosa.
Lakini ninakulilia wewe, Yahwe; wakati wa asubuhi maombi yangu huja kwako.
14 Hina Gode, abuliba: le Di da nama higale ba: sala: ? Abuliba: le Di da nama baligi fa: sala?
Yahwe, kwa nini unanikataa? Kwa nini unauficha uso wako mbali nami?
15 Na da goifonoboga ganiniwane se nabasu amola na da bogomu gadenenewane esalusu. Na da Dia dawa: ma: ne se bidi iasu dioi bagadeba: le, amoga sesele gasa hame galebe.
Nimekuwa nikiteswa kila siku na hatihati ya kifo tangu ujana wangu. Nimeteseka dhidi ya hofu yako kuu; ninakata tamaa.
16 Dia ougi hou bagadedafa amoga na da banenesi dagoi. Dia gasa fili doagala: su amoga na da gugunufinisi dogoi.
Matendo yako ya hasira yamepita juu yangu, na matendo yako ya kutisha yameniangamiza.
17 Eso huluane ilia da na sisiga: le aliligibi amo ba: sea, da hano hihi heda: i agoai ba: sa, ilia da na beba: le huluane eale disisa.
Siku zote yananizingira mimi kama maji; yote yamenizunguka mimi.
18 Di da na dogolegeidafa ani sasamogene nabe dunu amo na fisiagama: ne hamoi, amola gasi fawane da na sama agoai gala.
Wewe umemuondoa kwangu kila rafiki na anijuaye. Na sasa anijuaye pekee ni giza.

< Gesami Hea:su 88 >