< Gesami Hea:su 86 >

1 Hina Gode! Na sia: be nabima! Amola nama dabe sia: ne ima! Bai na da gogobihei amola da: i gogaiya: i gala.
Sikia, Ee Yahwe, na unijibu, kwa kuwa ni maskini na mnyonge.
2 Na bogosa: besa: le, Dia na gaga: ma! Bai na da Dima madelagi dagoi! Amaiba: le na gaga: ma! Na da Dia hawa: hamosu dunu amola na da Dima dafawaneyale dawa: sa.
Unilinde, maana mimi ni mwaminifu; Mungu wangu, umuokoe mtumishi wako anayekuamini.
3 Di da na Gode! Amaiba: le nama asigi hou hamoma. Na da eso huluane Dima sia: ne gadolala.
Unihurumie, Bwana, maana ninakulilia wewe mchana kutwa.
4 Hina Gode, Dia hawa hamosu dunu hahawane ganoma: ma! Bai na sia: ne gadobe da heda: le, Dima doaga: sa.
Umfurahishe mtumishi wako, maana ni kwako, Bwana, ninaomba.
5 Di da ninima hahawane gala amola ninima gogolema: ne olofosu amola mae fisili asigidafa hou da Dima sia: ne gadobe dunu ilima iaha.
Wewe, Bwana, ni mwema, na uko tayari kusamehe, na huonesha huruma kubwa kwa wale wanao kulilia wewe.
6 Hina Gode, na Dima sia: ne gadobe amo nabima, amola Dia na fidima: ne Dima dini iabe amo nabima.
Yahwe, sikiliza maombi yangu; sikia sauti ya ombi langu.
7 Bidi hamosu da nama doaga: sea, na da Dima wele sia: sa! Bai Di da na Dima sia: ne gadobe amo naba.
Katika siku ya shida ninakuita wewe, kwa maana utanijibu.
8 Hina Gode, eno ‘gode’ Di agoai defele da hame gala. Enoga da Dia hamobe amo defele hamedafa hamosa.
Katikati ya miungu hakuna wa kufananishwa na wewe, Bwana. Hakuna matendo kama matendo yako.
9 Fifi asi gala Dia hahamoi amo huluane da misini Dima ilia dialuma begudumu! Ilia da Dia hahamoi bagadedafa amo ba: le, Dima nodone sia: mu.
Mataifa yote ambayo umeyafanya yatakuja kwako na kusujudu mbele zako, Bwana. nao wataliheshimu jina lako.
10 Di da bagadedafa amola noga: idafa gala! Difawane da Gode.
Kwa kuwa wewe ni mkuu na utendaye mambo ya ajabu; wewe pekee ndiwe Mungu.
11 Hina Gode, Di da na hamoma: ne hanai amo Dia nama olelema! Amola na da Dima molole fa: no bobogele amola Dia sia: didili hamomu. Na Dima mae fisili Dia hawa: hamosu hamoma: ne, nama olelema.
Unifundishe njia zako, Yahwe. Kisha nitatembea katika kweli yako. Unifanye kukuheshimu wewe.
12 Na: Hina Gode, na da na dogoga huluane Dima nodone sia: mu. Na da Dia gasa bagade hou amo mae yolele sisa: i lalumu.
Bwana Mungu wangu, nitakusifu kwa moyo wangu wote; nitalitukuza jina lako milele.
13 Dia nama asigi hou amo da mae yolele gebewane diala! Di da uli dogoi amo ganodini na dasa: besa: le, na noga: le gaga: i. (Sheol h7585)
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu kwangu; wewe umeokoa uhai wangu kutoka chini kuzimuni. (Sheol h7585)
14 Gode, hidasu dunu da nama mabe. Dodona: gi wamolasu dunu da na fane legemusa: mana. Amo dunu ilia da Dia sia: hame naba.
Ee Mungu, wenye kiburi wameinuka dhidi yangu. Kundi la watu wenye vurugu wanautafuta uhai wangu. Nao hawakuheshimu wewe.
15 Be amomane Hina Gode Di da asigisu amola gogolema: ne olofosu dawa: Di da eso huluane asabole ouesala amola eso huluane asigisa amola eso huluane didili hamosa.
Lakini wewe, Bwana, ni mwenye huruma na neema, hukasiliki haraka, na mwingi katika uaminifu wa agano lako na kweli.
16 Nama ba: leguda: le, na wadela: i hou hamoi Di gogolema: ne olofoma! Nama gasa ima amola na gaga: ma. Bai na ame ea hou defele, na da Dia hawa: hamosu hamonana.
Unigeukie na unihurumie; mpe nguvu zako mtumishi wako; umuokoe mwana wa mjakazi wako.
17 Na noga: le dawa: digima: ne, Dia noga: idafa hou amo na ba: ma: ne nama olema, amola Di da na noga: le lale salawane ouligibi ba: sea, nama higa: i dunu ilia da gogosiagia: mu.
Unioneshe ishara ya fadhila zako. Kisha wale wanichukiao wataziona na kuaibishwa kwa sababu yako; Yahwe, umenisaidia na kunifariji.

< Gesami Hea:su 86 >