< Gesami Hea:su 85 >

1 Hina Gode, Di da Dia soge amoma asigi hou hamoi, amola Di da Isala: ili bu noga: le hahamonesi.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Ee Bwana, ulionyesha wema kwa nchi yako. Ulimrejeshea Yakobo baraka zake.
2 Di da Dia dunu ilia wadela: i hou gogolema: ne olofoi dagoi, amola ilia wadela: i hou huluane gogolema: ne olofolesi dagoi.
Ulisamehe uovu wa watu wako, na kufunika dhambi zao zote.
3 Di da ilima ougisu amo yolesi dagoi, amola gasa bagade nimi hou amo Di guminisi dagoi.
Uliweka kando ghadhabu yako yote na umegeuka na kuiacha hasira yako kali.
4 Nini gaga: su Gode, nini bu oule sinidigima, amola ninima hahawane hame ba: su amo yolesima!
Ee Mungu Mwokozi wetu, uturejeshe tena, nawe uiondoe chuki yako juu yetu.
5 Di da mae yolele ninima gebewane ougi dialoma: bela: ? Dia ougi da mae gumini gebewane dialoma: bela: ?
Je, utatukasirikia milele? Utaendeleza hasira yako kwa vizazi vyote?
6 Nini bu gasa filisima, amola Dia fi dunu ninia da Dima nodone sia: nanumu.
Je, hutatuhuisha tena, ili watu wako wakufurahie?
7 Hina Gode, Dia mae fisili asigidafa hou amo ninima olema, amola Dia nini fidili gaga: ma.
Utuonyeshe upendo wako usiokoma, Ee Bwana, utupe wokovu wako.
8 Na da Hina Gode Ea sia: be amo nabala. E da Ea fi dunuma hahawane olofosu hou amo imunusa: ilegele sia: sa, be amo da ninia musa: gagaoule hamonanusu hou amoga hame buhagisia,
Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye Bwana; anaahidi amani kwa watu wake, watakatifu wake: lakini nao wasirudie upumbavu.
9 E da dafawanedafa Ema nodone sia: be dunu amo gaga: musa: momagele ouesala, amola Ea gaga: su hou da ninia soge amo ganodini dialumu.
Hakika wokovu wake uko karibu na wale wamchao, ili utukufu wake udumu katika nchi yetu.
10 Asigi hou amola didili hamosu hou da ela disimu! Moloidafa hou amola olofosu hou da ela yosia: mu.
Upendo na uaminifu hukutana pamoja, haki na amani hubusiana.
11 Dunu ilia madelagisu hou da osoboga gudunini gado heda: mu, amola Gode Ea moloidafa hou amo da fedege agoane Hebenega gadonini gudu ba: legudumu.
Uaminifu huchipua kutoka nchi, haki hutazama chini kutoka mbinguni.
12 Hina Gode da nini bu noga: le hahamonesimu amola ninia soge da ha: i manu noga: le heda: mu.
Naam, hakika Bwana atatoa kilicho chema, nayo nchi yetu itazaa mavuno yake.
13 Moloidafa hou da Hina Gode Ea midadi bisili, E misa: ne logo fofodola masunu.
Haki itatangulia mbele yake na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake.

< Gesami Hea:su 85 >