< Gesami Hea:su 84 >

1 Hina Gode Bagadedafa, na da Dia Debolo diasu amo bagadewane hanai gala!
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya wana wa Kora. Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, makao yako yapendeza kama nini!
2 Na da amoga esalumusa: hanai bagadewane gala. Na da Hina Gode Ea Debolo Diasu amo ganodini esalumusa: bagadewane hanai gala. Na da: i huluane amoga na da esalebe Godema hahawane nodone gesami hea: sa.
Nafsi yangu inatamani sana, naam, hata kuona shauku, kwa ajili ya nyua za Bwana; moyo wangu na mwili wangu vinamlilia Mungu Aliye Hai.
3 Gogobe amolawane da ea musugai gala amola segena: dia amolawane da ilila: diasu gala amola ilia da ilia mano amo Dia oloda gadenene dialoma: ne hamosa. Hina Gode Bagadedafa da na Hina Bagade amola na Gode!
Hata shomoro amejipatia makao, mbayuwayu amejipatia kiota mahali awezapo kuweka makinda yake: mahali karibu na madhabahu yako, Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mfalme wangu na Mungu wangu.
4 Dia Debolo ganodini esalebe dunu ilia da eso huluane hahawane bagade gala! Ilia da Dima nodone eso huluane gesami hea: lala.
Heri wale wanaokaa nyumbani mwako, wanaokusifu wewe daima.
5 Dimadi misi gasa lai dunu ilia da hahawane bagade gala. Ilia da Saione goumi amoga masunusa: bagadedafa hanai gala
Heri wale ambao nguvu zao ziko kwako, na njia ziendazo Sayuni zimo mioyoni mwao.
6 Ilia da Ba: iga hafoga: i fago amodili baligisa ba: loba, amo soge da bubuga: su soge hamonanebe ba: sa, amola woufo dialu gibu dabe amoga da si hano nabale gagai.
Wanapopita katika Bonde la Baka, hulifanya mahali pa chemchemi, pia mvua za vuli hulijaza kwa madimbwi.
7 Ilia mae gogaeane gasa filiwane ahoa. Ilia da Gode (E da eno ‘gode’ bagade baligisa) Saione goumi da: iya ba: mu.
Huendelea toka nguvu hadi nguvu, hadi kila mmoja afikapo mbele za Mungu huko Sayuni.
8 Gode Hina Bagade Ya: igobe ea Gode, na sia: ne gadobe nabima!
Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, sikia maombi yangu; nisikilize, Ee Mungu wa Yakobo.
9 Gode, nini Hina Bagade amo Di ilegelesi, Ema hahawane hou ima!
Ee Mungu, uitazame ngao yetu, mtazame kwa wema mpakwa mafuta wako.
10 Eso afae Dia Debolo diasu ganodini esalumu da eso 1,000 eno sogega esalumu bagadewane baligisa. Na da na Gode Ea diasua logo ga: su gadili lelumu da defea, be wadela: i hamosu dunu ea diasu ganodini esalumu da defea hame.
Siku moja katika nyua zako ni bora kuliko siku elfu mahali pengine; afadhali ningekuwa bawabu katika nyumba ya Mungu wangu kuliko kukaa katika mahema ya waovu.
11 Ninia Hina Gode da nini Gaga: sudafa amola hadigidafa Hina Bagade. E da ninima olofosa amola nodone dawa: sa. E da molole hamonanebe dunu amo ea adi liligi adole ba: sea, amo ema iaha.
Kwa kuwa Bwana ni jua na ngao, Bwana hutoa wema na heshima; hakuna kitu chema anachowanyima wale ambao hawana hatia.
12 Hina Gode Bagadedafa! Nowa dunu Dima dafawaneyale dawa: le fa: no bobogebe dunu, ilia da hahawane bagadedafa gala.
Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, heri ni mtu yule anayekutumaini wewe.

< Gesami Hea:su 84 >