< Gesami Hea:su 81 >

1 Ninia Gaga: su Hina Gode Ema nodone wele sia: ma! Ya: igobe ea Gode Ema nodone gesami hea: ma!
Mwimbieni Mungu aliye nguvu yetu kwa sauti; pigeni kelele za furaha kwa Mungu wa Yakobo.
2 Ilibu muni ba: gu da la: idi la: idi figi amoga duma. Noga: le hanai nabima: ne, ilibu amola sani baidama duma.
Imbeni wimbo na pigeni matari, kinubi chenye sauti nzuri pamoja na kinanda.
3 Lolo nasea, oubi da genoni aligila heda: i lelea amola oubi da ufa manea, dalabede fulaboma.
Pigeni panda mwandamo wa mwezi, katika siku ya mbalamwezi, mwanzoni mwa sikukuu.
4 Amo da Isala: ili fi ganodini sema agoane hamoi, amola amo Ya: igobe ea Gode Hi hamoma: ne sia: i.
Kwa kuwa ni agizo kwa Israeli, amri iliyotolewa na Mungu wa Yakobo.
5 Gode da Idibidi soge amoma doagala: loba, E da amo hamoma: ne sia: i Isala: ili dunu ilima iasi. Na da Dia hame dawa: sia: amoga agoane sia: be nabala,
Aliitoa kama maelekezo kwa Yusufu alipoenda katika nchi ya Misri, ambako nilisikia sauti ambayo sikuweza kuitambua:
6 “Na da dilia baligia dioi dialu amo fadegale fasi. Na da osoboga hamoi igi dilia gaguli ahoasu amo ligisima: ne logo doasi.
“Niliutua mzigo kutoka mabegani mwake; mikono yake ilipumzishwa kubeba kikapu.
7 Dilia da dilima bidi hamosu doaga: beba: le Nama wele sia: i, amola Na da dili gaga: i. Na da Na wamoaligisu soge mulu amo ganodini esala, dia sia: amoma dabe sia: i. Na da Meliba guhano amoga dilima adoba: su hamoi.
Katika dhiki yako uliniita, nami nikakusaidia; nilikujibu kutoka katika wingu jeusi la radi. Nilikujaribu kwenye maji ya Meriba. (Selah)
8 Na dunu, Na sisa: ne sia: be amo nabima. Isala: ili fi! Abuli hamone Na sia: nabima: bela: ?
Sikilizeni, watu wangu, nami nitawaonya, Israeli, kama tu ugalinisikiliza!
9 Dilia da eno Godema maedafa nodone sia: ne gadoma.
Lazima kati yenu kusiwepo na mungu wa kigeni; haupaswi kumwabudu mungu wa kigeni.
10 Na da dilia Hina Gode. Dili Idibidi soge ganodini esaloba, Nisu da dili fadegai. Dilia lafi dagale gama, amasea Na da diligili ha: i manu mugusimu.
Mimi ni Yahwe niliyekutoa katika nchi ya Misri, fungua sana kinywa chako, nami nitakijaza.
11 Be Na dunu ilia da Na sia: be hame nabi. Isala: ili ilia da Na sia: be didili hame hamoi.
Lakini watu wangu hawakusikiliza maneno yangu; Israeli hawakunitii.
12 Amaiba: le, Na da ilisu gasa fi hou hamonanoma: ne yolesi, amola ili hanai hamoma: ne yolesi.
Nikawaacha waende katika katika njia yao wenyewe ya ukaidi ili kwamba waweze kufanya kinachoonekana sahihi kwao.
13 Abuli hamone Na fi dunu ilia da Na sia: nabima: bela: , abuli hamone ilia da Na sia: didili hamoma: bela: ?
Oh, laiti watu wangu wangenisikiliza mimi; oh, watu wangu wangelitembea katika njia yangu.
14 Ilia da agoai hamomu ganiaba, Na da hedolowane ilima ha lai dunu ili hasalasila: loba, amola ilima ha lai dunu huluane ilima gasa fili hasalasila: loba.
Kisha ningewatiisha adui zao haraka na kugeuzia mkono wangu dhidi ya watesi wao.
15 Nama higale ba: su dunu ilia da beda: iba: le, na midadi dialuma fili begudumu. Ilima se bidi iasu da maedafa yolele, gebewane dialumu.
Wale wanaomchukia Yahwe katika hofu na waanguke chini mbele zake! Wawe wanyonge milele.
16 Be amomane Na da dilima widi ha: i manu ianumu amola na da dili sadima: ne soge agime hano moma: ne imunu.”
Ningewalisha Israeli kwa ngano bora; Ningewatosheleza kwa asali itokayo mwambani.”

< Gesami Hea:su 81 >