< Gesami Hea:su 81 >
1 Ninia Gaga: su Hina Gode Ema nodone wele sia: ma! Ya: igobe ea Gode Ema nodone gesami hea: ma!
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu. Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu; mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!
2 Ilibu muni ba: gu da la: idi la: idi figi amoga duma. Noga: le hanai nabima: ne, ilibu amola sani baidama duma.
Anzeni wimbo, pigeni matari, pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.
3 Lolo nasea, oubi da genoni aligila heda: i lelea amola oubi da ufa manea, dalabede fulaboma.
Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume wakati wa Mwandamo wa Mwezi, na wakati wa mwezi mpevu, katika siku ya Sikukuu yetu;
4 Amo da Isala: ili fi ganodini sema agoane hamoi, amola amo Ya: igobe ea Gode Hi hamoma: ne sia: i.
hii ni amri kwa Israeli, agizo la Mungu wa Yakobo.
5 Gode da Idibidi soge amoma doagala: loba, E da amo hamoma: ne sia: i Isala: ili dunu ilima iasi. Na da Dia hame dawa: sia: amoga agoane sia: be nabala,
Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu alipotoka dhidi ya Misri, huko tulikosikia lugha ambayo hatukuielewa.
6 “Na da dilia baligia dioi dialu amo fadegale fasi. Na da osoboga hamoi igi dilia gaguli ahoasu amo ligisima: ne logo doasi.
Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao; mikono yao iliwekwa huru kutoka kwenye kikapu.
7 Dilia da dilima bidi hamosu doaga: beba: le Nama wele sia: i, amola Na da dili gaga: i. Na da Na wamoaligisu soge mulu amo ganodini esala, dia sia: amoma dabe sia: i. Na da Meliba guhano amoga dilima adoba: su hamoi.
Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa, nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo; nilikujaribu katika maji ya Meriba.
8 Na dunu, Na sisa: ne sia: be amo nabima. Isala: ili fi! Abuli hamone Na sia: nabima: bela: ?
“Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya: laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!
9 Dilia da eno Godema maedafa nodone sia: ne gadoma.
Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu; msimsujudie mungu wa kigeni.
10 Na da dilia Hina Gode. Dili Idibidi soge ganodini esaloba, Nisu da dili fadegai. Dilia lafi dagale gama, amasea Na da diligili ha: i manu mugusimu.
Mimi ni Bwana Mungu wako, niliyekutoa nchi ya Misri. Panua sana kinywa chako nami nitakijaza.
11 Be Na dunu ilia da Na sia: be hame nabi. Isala: ili ilia da Na sia: be didili hame hamoi.
“Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza; Israeli hakutaka kunitii.
12 Amaiba: le, Na da ilisu gasa fi hou hamonanoma: ne yolesi, amola ili hanai hamoma: ne yolesi.
Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao wafuate mashauri yao wenyewe.
13 Abuli hamone Na fi dunu ilia da Na sia: nabima: bela: , abuli hamone ilia da Na sia: didili hamoma: bela: ?
“Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza, kama Israeli wangalifuata njia zangu,
14 Ilia da agoai hamomu ganiaba, Na da hedolowane ilima ha lai dunu ili hasalasila: loba, amola ilima ha lai dunu huluane ilima gasa fili hasalasila: loba.
ningaliwatiisha adui zao kwa haraka, na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!
15 Nama higale ba: su dunu ilia da beda: iba: le, na midadi dialuma fili begudumu. Ilima se bidi iasu da maedafa yolele, gebewane dialumu.
Wale wanaomchukia Bwana wangalinyenyekea mbele zake, na adhabu yao ingedumu milele.
16 Be amomane Na da dilima widi ha: i manu ianumu amola na da dili sadima: ne soge agime hano moma: ne imunu.”
Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora, na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”