< Gesami Hea:su 79 >

1 Gode! Dia sia: hame dawa: su dunu ilia Dia soge doagala: musa: golili sa: i. Ilia Dia Hadigi Debolo diasu amo wadela: lesili nigima: fili dagoi. Amola ilia da Yelusaleme gugunufinisili, yolesi.
Zaburi ya Asafu. Mungu, Mataifa ya kigeni yameingia kwenye urithi wako; wamelinajisi hekalu lako takatifu; wameigeuza Yerusalemu kuwa chungu cha magofu.
2 Ilia Dia fi dunu ilia bogoi da: i hodo amo sia sioga moma: ne, yolesi. Amola Dia hawa: hamosu dunu ilia bogoi da: i hodo amo sigua ohe fi ilia moma: ne, yolesi.
Wamezitoa maiti za watumishi wako ziwe chakula cha ndege wa angani, miili ya watakatifu wako iwe chakula cha wanyama wa nchi.
3 Ilia Dia dunu ilia maga: me amo hano agoane soga: digima: ne hamosu, amola maga: me da hano agoane Yelusaleme ganodini aiasi. Amalalu dunu afae da amo bogogia: i dunu uli dogonesisimu hamedafa ba: i.
Wamemwaga damu zao kama maji sehemu zote za Yesrusalemu, na hakuwepo wa kuwazika.
4 Nini beba: le fifi lai ilia da ninima gadele sia: daha, amola ilia da niniba: le oufesega: sa, amola ninima higale ba: sa.
Sisi tumekuwa aibu kwa majirani zetu, tukidhihakiwa na kuzomewa na wale wanaotuzunguka.
5 Hina Gode, Di da ninima mae yolele gebewane ougi dialoma: bela: ? Dia ougi hou amo da lalu agoane mae yolele nenanoma: bela: ?
Mpaka lini Yahwe? Utabaki kuwa na hasira milele? Ni kwa muda gani hasira yako ya wivu itawaka kama moto?
6 Di da delegili gale, Dia ougi hou amo fifi asi gala Dima hame nodone sia: be amola Dima hame sia: ne gadobe dunu, amo ilima ima.
Mwaga hasira yako juu ya mataifa ambayo hayakujui wewe na ufalme ambao hauliiti jina lako.
7 Bai ilia da Dia fi dunu fane lelegei amola ilia da Dia soge amo wadela: le gugunufinisi dagoi.
Kwa maana walimvamia Yakobo na waliharibu kijiji chake.
8 Ninia aowalali ilia wadela: i hou hamoi amoga ninima se dabe mae ima. Ninima waha asigima. Ninia dafawane hamoma: beyale dawa: su da fisi dagoi.
Usiendelee kukumbuka dhambi za baba zetu dhidi yetu; matendo yako ya huruma yaje kwetu, maana tuko chini.
9 Gode! Nini fidima, amola nini gaga: ma. Dunu da Dima nodone dawa: ma: ne, ninia wadela: i hou hamoi amo Dia gogolema: ne olofoma.
Utusaidie, Mungu wa wokovu wetu, kwa ajili ya utukufu wa jina lako; utuokoe na usamehe dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.
10 Abuliba: le fifi asi gala da ninima agoane adole ba: ma: bela: ? “Dilia Gode da habila: ?” Fifi asi gala dunu ilia da Dia hawa: hamosu dunu fane legeiba: le, ninia ba: ma: ne, Dia ilima se dabe ima.
Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Mungu wao yuko wapi?” Damu ya watumishi wako ambayo ilimwagwa na ilipize kisasi juu ya mataifa mbele ya macho yako.
11 Se iasu diasu sali dunu ilia gayasu amo nabima! Ilia da se imunusa: fofada: i dagoi. Be Dia gasa bagade hou amoga ilia se iasu diasu logo doasima.
Kilio cha wafungwa na kije mbele zako; kwa uweza wa nguvu zako uwaweke ai wana wa mauti.
12 Hina Gode! Fifi asi gala eno da Dima bagadewane gadele sia: su. Di ilima fesuale agoane se dabe ima.
Uwalipize majirani zetu vifuani mwao mara saba zaidi ya walivyo kutukana wewe, Bwana.
13 Amasea, Dia fi dunu, (ninia da dia sibi wa: i fi) da Dima mae yolele fa: no misunu eso huluane amoga nodonanumu.
Hivyo sisi watu wako na kondoo wa malisho yako tutakushukuru milele. Tutazisimulia sifa zako kwa vizazi vyote.

< Gesami Hea:su 79 >