< Gesami Hea:su 79 >
1 Gode! Dia sia: hame dawa: su dunu ilia Dia soge doagala: musa: golili sa: i. Ilia Dia Hadigi Debolo diasu amo wadela: lesili nigima: fili dagoi. Amola ilia da Yelusaleme gugunufinisili, yolesi.
Zaburi ya Asafu. Ee Mungu, mataifa yameuvamia urithi wako, wamelinajisi Hekalu lako takatifu, wameifanya Yerusalemu kuwa magofu.
2 Ilia Dia fi dunu ilia bogoi da: i hodo amo sia sioga moma: ne, yolesi. Amola Dia hawa: hamosu dunu ilia bogoi da: i hodo amo sigua ohe fi ilia moma: ne, yolesi.
Wametoa maiti za watumishi kuwa chakula cha ndege wa angani na nyama ya watakatifu wako kwa wanyama wa nchi.
3 Ilia Dia dunu ilia maga: me amo hano agoane soga: digima: ne hamosu, amola maga: me da hano agoane Yelusaleme ganodini aiasi. Amalalu dunu afae da amo bogogia: i dunu uli dogonesisimu hamedafa ba: i.
Wamemwaga damu kama maji kuzunguka Yerusalemu yote, wala hakuna yeyote wa kuwazika.
4 Nini beba: le fifi lai ilia da ninima gadele sia: daha, amola ilia da niniba: le oufesega: sa, amola ninima higale ba: sa.
Tumekuwa kitu cha aibu kwa jirani zetu, cha dharau na mzaha kwa wale wanaotuzunguka.
5 Hina Gode, Di da ninima mae yolele gebewane ougi dialoma: bela: ? Dia ougi hou amo da lalu agoane mae yolele nenanoma: bela: ?
Hata lini, Ee Bwana? Je, wewe utakasirika milele? Wivu wako utawaka kama moto hadi lini?
6 Di da delegili gale, Dia ougi hou amo fifi asi gala Dima hame nodone sia: be amola Dima hame sia: ne gadobe dunu, amo ilima ima.
Mwaga ghadhabu yako kwa mataifa yasiyokukubali, juu ya falme za hao wasioliitia jina lako,
7 Bai ilia da Dia fi dunu fane lelegei amola ilia da Dia soge amo wadela: le gugunufinisi dagoi.
kwa maana wamemrarua Yakobo na kuharibu nchi ya makao yake.
8 Ninia aowalali ilia wadela: i hou hamoi amoga ninima se dabe mae ima. Ninima waha asigima. Ninia dafawane hamoma: beyale dawa: su da fisi dagoi.
Usituhesabie dhambi za baba zetu, huruma yako na itujie hima, kwa maana tu wahitaji mno.
9 Gode! Nini fidima, amola nini gaga: ma. Dunu da Dima nodone dawa: ma: ne, ninia wadela: i hou hamoi amo Dia gogolema: ne olofoma.
Ee Mungu Mwokozi wetu, utusaidie, kwa ajili ya utukufu wa jina lako; tuokoe na kutusamehe dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.
10 Abuliba: le fifi asi gala da ninima agoane adole ba: ma: bela: ? “Dilia Gode da habila: ?” Fifi asi gala dunu ilia da Dia hawa: hamosu dunu fane legeiba: le, ninia ba: ma: ne, Dia ilima se dabe ima.
Kwa nini mataifa waseme, “Yuko wapi Mungu wenu?” Mbele ya macho yetu, dhihirisha kati ya mataifa kwamba unalipiza kisasi damu iliyomwagwa ya watumishi wako.
11 Se iasu diasu sali dunu ilia gayasu amo nabima! Ilia da se imunusa: fofada: i dagoi. Be Dia gasa bagade hou amoga ilia se iasu diasu logo doasima.
Kilio cha huzuni cha wafungwa kifike mbele zako; kwa nguvu za mkono wako hifadhi wale waliohukumiwa kufa.
12 Hina Gode! Fifi asi gala eno da Dima bagadewane gadele sia: su. Di ilima fesuale agoane se dabe ima.
Walipize jirani zetu mara saba vifuani mwao aibu walizovurumisha juu yako, Ee Bwana.
13 Amasea, Dia fi dunu, (ninia da dia sibi wa: i fi) da Dima mae yolele fa: no misunu eso huluane amoga nodonanumu.
Ndipo sisi watu wako, kondoo wa malisho yako, tutakusifu milele; toka kizazi hadi kizazi tutasimulia sifa zako.