< Gesami Hea:su 76 >

1 Yuda fi dunu da Gode dawa: Amola Isala: ili fi dunu da Ea Dio amoma nodone sia: sa.
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo. Katika Yuda, Mungu anajulikana, jina lake ni kuu katika Israeli.
2 E da Yelusaleme moilai bai bagade ganodini Ea fifi lasu gala. E da Saione Goumia esala.
Hema lake liko Salemu, makao yake katika Sayuni.
3 Amogawi E da ha lai dunu ilia dadi fifili sali. Dafawane! E da ilia da: igene ga: su amola gegesu gobihei amola ilia gegesu liligi huluane fifili sali.
Huko alivunja mishale imetametayo, ngao na panga, silaha za vita.
4 Gode! Di da hadigidafa! Di da goumi amoga Di da Dima ha lai dunu hasali, amolalu buhagilala, Dia da hadigi bagadedafa ba: sa.
Wewe unangʼaa kwa mwanga, mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.
5 Ilia nimi gesa: i dadi gagui dunu da da: i nabado agoane ba: sa. Amola wali ilia da bogoi ilia diabe defele diala. Ilia gasa amola dawa: hou da ili fidimu hamedei ba: su.
Mashujaa hulala wametekwa nyara, hulala usingizi wao wa mwisho; hakuna hata mmoja wa watu wa vita anayeweza kuinua mikono yake.
6 Ya: igobe ea Gode! Di da ilima magagiba: le, ilia hosi amola amoga fila heda: i dunu da bogole gala: la sa: i dagoi ba: i.
Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, farasi na gari la vita vilikaa kimya.
7 Be Hina Gode! Dunu huluane da Diba: le beda: sa! Di da ougi galea, dunu afaega da Dia midadi aligimu hamedei ba: sa.
Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa. Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?
8 Di da Hebene amoganini Dia fofada: su osobo bagade dunu dawa: digima: ne sia: i. Di da wa: legadole, osobo bagade banenesi dunu amo gaga: ma: ne, fofada: su ea bai oleleloba, osobo bagade fi dunu da amo nababeba: le, beda: i amola beda: ne ouiyai dialu.
Kutoka mbinguni ulitamka hukumu, nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:
9
wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu, kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.
10 Dafawane! Osobo bagade dunu da Dima ougiba: le, Di da nodosu baligili lamu. Dunu amo da gegesu ganodini hame bogoi esalea, da Dia lolo nasu hamonanumu.
Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa, na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.
11 Dilia da dilia Hina Godema imunu ilegei liligi amo Ema ima. Gadenene esalebe fifi asi gala! Dilia Ema iasu gaguli misa! Gode da osobo bagade dunu beda: ma: ne hamosa.
Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza; nchi zote za jirani na walete zawadi kwa Yule astahiliye kuogopwa.
12 E da gasa fi hina bagade mano amo fofonobonesisa. Amola E da gasa bagade hina bagade dunu ili baligili beda: ma: ne hamosa.
Huvunja roho za watawala; anaogopwa na wafalme wa dunia.

< Gesami Hea:su 76 >