< Gesami Hea:su 68 >
1 Gode da wa: legadole, Ema ha lai dunu amo afagogolesisa. Dunu amo da Ema higabe dunu da hasali dagoiba: le, hobeale ahoa.
Mungu ainuke, maadui zake watawanyike; pia wale wamchukiao wakimbie mbele zake.
2 Mobi da foga mini ahoabe agoane, E da ili se bobogesa. Ifa gamali da laluga daeyane dabe defele, wadela: i hamosu dunu da Gode Ea midadi bogogia: sa.
Kama moshi uondoshwavyo, hivyo uwaondoshe wao; kama nta iyeyukavo mbele ya moto, hivyo waovu waangamizwe uweponi mwa Mungu.
3 Be moloidafa dunu da Ea midadi hahawane nodosa. Ilia da hahawaneba: le, nodone wele sia: sa.
Bali wenye haki wafurahi; washangilie mbele za Mungu; washangilie na kufurahi.
4 Godema gesami hea: ma! Ea Dioba: le, Ema nodone gesami hea: ma! E da mu mobi da: iya fila heda: le ahoa. Ea logo fodolesima! Ea Dio da Hina Gode! Ea midadi amoga hahawane hamoma!
Mwimbieni Mungu! Lisifuni jina lake! Msifuni yule aendeshaye farasi kwenye tambarare ya bonde la Mto Yordani! Yahwe ni jina lake! Shangilieni mbele zake!
5 Gode da Ea sema Debolo Diasuga esala. E da guluba: mano amola uda didalo amo ouligisa.
Baba wa yatima, na mwamuzi wa wajane, ni Mungu anayeishi mahali patakatifu.
6 E da fofagi dunuma golama: ne diasu iaha. E da udigili hawa: hamosu dunu halegale laloma: ne, gadili oule ahoa. Be E da lelesu dunu amo wadela: i se nabasu soge amo ganodini esaloma: ne hamosa.
Mungu huwaweka wakiwa katika familia; yeye huwafungua wafungwa kwa kuimba bali waasi huishi katika ardhi kavu.
7 Gode! Di da Dia dunu oule, mogodigili hafoga: i soge amodili ahoabeba: le, osobo bagade da fogoi amola mu da gibu hano sogadigi. Bai Sainai Gode, Isala: ili Gode, da manebe ba: i.
Mungu, wewe ulipoenda mbele ya watu wako, ulipotembea kupitia jangwani, (Selah)
nchi ilitetemeka; mbingu pia zilidondosha mvua katika uwepo wa Mungu, uweponi mwa Mungu wakati alipokuja Sinai, uweponi mwa Mungu, Mungu wa Israeli.
9 Dia soge da bugili nana daoui dagoi ba: i. Be Di da gibu bagade sa: ima: ne hamobeba: le, soge da bu nasegagi ba: i.
Wewe, Mungu, ulituma mvua nyingi; uliuimarisha urithi wako wakati ulipokuwa umechoka.
10 Dia fi dunu ilia da amogai fifi lasu hamoi. Dia noga: idafa hou amoga hame gagui dunuma defele iasu.
Watu wako waliishi humo; Wewe, Mungu, uliutoa kwa wema wako kwa maskini.
11 Hina Gode da hamoma: ne sia: i dagoi. Amalalu, uda bagohame da amo sia: amane alofele sisia: i lai,
Bwana alitoa amri, na wale walio zitangaza walikuwa ni jeshi kuu.
12 “Hina bagade ilia amola ilia dadi gagui wa: i, ilia da hobeale a: fia: be! Uda diasuga esalu ilia da doagala: le lai liligi amo momogili lai.
Wafalme wa majeshi wanakimbia, wanakimbia, na wanawake wakisubiri nyumbani kuvigawana wao na familia zao vilivyotekwa nyara.
13 Doagala: le lai liligi mogili da ‘dafe’ sio loboga hamoi amoga silifa dedeboi. Ilia ougia da gouli noga: iga dedeboiba: le, nenemegi. (Dilia mogili da abuliba: le gegesu eso amogala gegesu mae misini, sibi gagili ga: su amo gadenene lelefulula: ?)
Njiwa walio vikwa fedha wakiwa na mabawa ya njano ya dhahabu. Wakati baadhi ya watu wakikaa kati ya mifugo ya kondoo, kwa nini umefanya haya?
14 Gode Bagadedafa da Sa: lamone Goumia, hina bagade dunu ili afagogolesi. Amogalu, E da mugene su sa: ima: ne hahamonesi.
Mwenyezi Mungu aliwatawanya Wafalme huko, ilikuwa kama vile wakati wa theluji juu ya Mlima Salmoni.
15 Ba: isia: ne Goumi da goumi bagadedafa. E da bagadewane agesone fisiagagadoi.
Mlima mkubwa ni milima wa mji wa Bashani; mlima mrefu ni mlima wa mji wa Bashani.
16 Dilia da abuliba: le dilia bagadewane agesone fisiagagadoi goumi amoga Gode Ea esalebe goumi (Saione) amo higale ba: sala: ? Bai amogawi (Saione Goumi) Hina Gode da eso huluane fifi ahoanumu.
Ewe mlima mrefu wa nchi, kwa nini unatazama kwa jicho la husuda, kwenye mlima ambao Mungu ameutaka kwa ajili ya mahali ambapo yeye ataishi? Hakika, Yahwe ataishi humo milele.
17 Hina Gode amola Ea gasa bagade ‘sa: liode’ osea: idafa, da Sainai Goumiga misini, Malei Sesei amo ganodini golili daha.
Magari ya Mungu ni ishirini elfu, maelfu juu ya maelfu; Bwana yu kati yao katika mahari patakatifu, kama katika Sinai.
18 E da gadodafa heda: le, doagala: le fedele lai dunu bagohame amo oule heda: sa. Osobo bagade lelesu dunu da Ema hahawane dogolegele liligi iaha. Hina Gode da gadodafa sogebi amoga esalumu.
Wewe umepaa juu; uliwaongoza mateka; umepokea zawadi kutoka kati ya watu, hata kutoka kwa wale waliopigana dhidi yako, ili kwamba wewe, Yahwe Mungu, uweze kuishi huko.
19 Hina Godema nodoma! E da ninia dioi bagade agui liligi eso huluane aguni ahoa. E da Gode amola E da nini gaga: sa.
Abarikiwe Bwana, atubebeaye mizigo yetu, Mungu ambaye ni wokovu wetu. (Selah)
20 Ninia Gode da Gaga: su Gode! E da Hina Gode, ninia Hina Gode! E da nini mae bogoma: ne gaga: sa!
Mungu wetu ni Mungu aokoaye; Yahwe Bwana ni yule awezaye kutuokoa sisi dhidi ya kifo.
21 Gode da Ea ha lai dunu, amo da mae fisili gebewane wadela: i hou hamonana, E da ilia dialuma goudamu.
Lakini Bwana atapiga vichwa vya adui zake, mpaka kwenye ngozi ya kichwa yenye nywele ya wale watembeao katika makosa dhidi yake.
22 Hina Gode da amane sia: i dagoi, “Na da dilia ha lai dunu Ba: isia: ne Goumia esala, amo bu oule misunu. Dilia ha lai dunu hano wayabo bagade luguduga diala, amo Na da bu oule misunu.
Bwana alisema, “Nitawarudisha adui zangu kutoka Bashani; nitawarudisha kutoka katika kina cha bahari
23 Amasea dilia da ilia maga: me degemu. Amola dilia wa: me ilia da ilia hanaiga defele ilia maga: me heloa: mu. Amo da Gode (na
ili kwamba upate kuwaangamiza adui zako, ukichovya mguu wako katika damu, na ili kwamba ndimi za mbwa wako zipate mlo wao kutoka kwa adui zenu.”
24 Gode! Dunu huluane da Dia hasalasu mogodigisu ba: sa. Amo da Gode (na Hina Bagade) Ea Hadigi Sogebi ganodini masa: ne mogodigisu.
Mungu, wameona maandamano yako, maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, kwenye mahali patakatifu.
25 Gesami hea: su dunu da bisili ahoa amola gesami hea: su dusu dunu amo da fa: no mogodigisa. Amola dogoa da uda a: fini da gulaga hamoi ilibu beano amo dusa mogodigisa.
Waimbaji walitangulia, walifuatiwa na wapiga muziki, na katikati walikuwa wanawali wakicheza ngoma.
26 Gode Ea fi dunu ilia gilisili sia: dasu amo ganodini, Ema nodone sia: ma! Dilia Ya: igobe egaga fifi manebe! Dilia huluane Hina Godema nodone sia: ma!
Mtukuzeni Mungu katika kusanyiko; msifuni Yahwe, ninyi ukoo wa kweli wa Israeli.
27 Bisili da Bediamini ea sosogo fi fonobahadi amo maha. Amalu da Yuda fi hina dunu da ilia sosogo fi amo bisili maha. Amo baligiga da Sebiulane amola Na: fadalai elea hina dunu ilia maha.
Kuna Benjamini kwanza, kabila dogo, kisha viongozi wa Yuda na watu wao, viongozi wa Zabuloni na viongozi wa Naftali.
28 Gode! Di da Dia gasaga nini fidi galu. Amo gasa ninia ba: ma: ne olelema!
Mungu wenu, Israeli, ameamuru nguvu zenu; uzifunue kwetu nguvu zako, Mungu, kama ulivyo zifunua wakati uliopita.
29 Osobo bagade hina bagade dunu da Di amo Dia Yelusaleme Debolo Diasuga esala, amoga hahawane dogolegele iasu Dima iaha. Amoga Dia gasa bagade hou olelema!
Uzifunue nguvu zako kwetu toka katika hekalu la Yerusalemu, ambako wafalme huleta zawadi kwako.
30 Idibidi fi da fedege agoane, sigua ohe saga: ganodini esala agoane ba: sa. Ilima gagabole sia: ma! Fifi asi gala eno da fedege agoane bulamagau gawali amola ilia mano agoane ba: sa. Ilima gebewane gagabole sisia: ahoaneawane, ilia Dima beguduli ilia silifa Dima ia dagoiba: le fawane yolesima. Dunu amo da gegemusa: hanai gala, ili huluane afagogolesima!
Pigeni kelele katika vita dhidi ya wanyama wa porini katika mianzi, dhidi ya watu, lile kundi la mafahari na ndama. Wafedhehesheni na kuwalazimisha wawaletee zawadi; watawanyeni watu wapendao kupigana vita.
31 Alofele sia: ne iasu dunu da Idibidi sogega misi dagoi ba: mu. Suda: ne dunu ilia da lobo gaguia gadole Godema sia: ne gadomu.
Wakuu watatoka katika Misri; Ethiopia itafanya haraka kuufikisha mkono wake kwa Mungu.
32 Osobo bagade fifi asi gala hina bagadega ouligi fi huluane! Hina Godema nodone gesami hea: ma!
Mwimbieni Mungu, enyi falme za nchi; (Selah) mwimbieni sifa Yahwe.
33 E da musa: hemonega hamoi mu, amo ganodini ahoa. E da gugelebe agoane gulula ahoa.
Kwake yeye apitaye juu ya mbingu za mbingu, zilizokuwepo tangu zama za kale; tazama, yeye hupiga kelele kwa nguvu
34 Gode Ea gasa amo ha: giwane olema! Ea gasa bagadedafa da Isala: ili fi ouligisa. Ea gasa bagade hou da mu amo ganodini ba: sa.
Tangazeni kuwa Mungu ni mwenye nguvu; enzi yake iko juu ya Israeli, na nguvu zake ziko angani.
35 Isala: ili fi ilia Gode da Ea Hadigi Sogebi amoga masea, Ea hou da baligili gasa bagadeba: le, dunu huluane da fofogadigisa. E da Ea fi dunu ilima gasa iaha. Godema nodoma!
Mungu, mahali pako patakatifu panatisha; Mungu wa Israeli, yeye huwapa watu wake nguvu na uweza. Atukuzwe Mungu.