< Gesami Hea:su 68 >

1 Gode da wa: legadole, Ema ha lai dunu amo afagogolesisa. Dunu amo da Ema higabe dunu da hasali dagoiba: le, hobeale ahoa.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo. Mungu na ainuke, watesi wake watawanyike, adui zake na wakimbie mbele zake.
2 Mobi da foga mini ahoabe agoane, E da ili se bobogesa. Ifa gamali da laluga daeyane dabe defele, wadela: i hamosu dunu da Gode Ea midadi bogogia: sa.
Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo, vivyo hivyo uwapeperushe mbali, kama vile nta iyeyukavyo kwenye moto, vivyo hivyo waovu na waangamie mbele za Mungu.
3 Be moloidafa dunu da Ea midadi hahawane nodosa. Ilia da hahawaneba: le, nodone wele sia: sa.
Bali wenye haki na wafurahi, washangilie mbele za Mungu, wafurahi na kushangilia.
4 Godema gesami hea: ma! Ea Dioba: le, Ema nodone gesami hea: ma! E da mu mobi da: iya fila heda: le ahoa. Ea logo fodolesima! Ea Dio da Hina Gode! Ea midadi amoga hahawane hamoma!
Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake, mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu: jina lake ni Bwana, furahini mbele zake.
5 Gode da Ea sema Debolo Diasuga esala. E da guluba: mano amola uda didalo amo ouligisa.
Baba wa yatima, mtetezi wa wajane, ni Mungu katika makao yake matakatifu.
6 E da fofagi dunuma golama: ne diasu iaha. E da udigili hawa: hamosu dunu halegale laloma: ne, gadili oule ahoa. Be E da lelesu dunu amo wadela: i se nabasu soge amo ganodini esaloma: ne hamosa.
Mungu huwaweka wapweke katika jamaa, huwaongoza wafungwa wakiimba, bali waasi huishi katika nchi kame.
7 Gode! Di da Dia dunu oule, mogodigili hafoga: i soge amodili ahoabeba: le, osobo bagade da fogoi amola mu da gibu hano sogadigi. Bai Sainai Gode, Isala: ili Gode, da manebe ba: i.
Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako, ulipopita nyikani,
8
dunia ilitikisika, mbingu zikanyesha mvua, mbele za Mungu, Yule wa Sinai, mbele za Mungu, Mungu wa Israeli.
9 Dia soge da bugili nana daoui dagoi ba: i. Be Di da gibu bagade sa: ima: ne hamobeba: le, soge da bu nasegagi ba: i.
Ee Mungu, ulinyesha mvua nyingi na kuiburudisha ardhi iliyokuwa imechoka.
10 Dia fi dunu ilia da amogai fifi lasu hamoi. Dia noga: idafa hou amoga hame gagui dunuma defele iasu.
Ee Mungu, watu wako waliishi huko, nawe kwa wingi wa utajiri wako uliwapa maskini mahitaji yao.
11 Hina Gode da hamoma: ne sia: i dagoi. Amalalu, uda bagohame da amo sia: amane alofele sisia: i lai,
Bwana alitangaza neno, waliolitangaza neno hilo walikuwa kundi kubwa:
12 “Hina bagade ilia amola ilia dadi gagui wa: i, ilia da hobeale a: fia: be! Uda diasuga esalu ilia da doagala: le lai liligi amo momogili lai.
“Wafalme na majeshi walikimbia upesi, watu waliobaki kambini waligawana nyara.
13 Doagala: le lai liligi mogili da ‘dafe’ sio loboga hamoi amoga silifa dedeboi. Ilia ougia da gouli noga: iga dedeboiba: le, nenemegi. (Dilia mogili da abuliba: le gegesu eso amogala gegesu mae misini, sibi gagili ga: su amo gadenene lelefulula: ?)
Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini, mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha, manyoya yake kwa dhahabu ingʼaayo.”
14 Gode Bagadedafa da Sa: lamone Goumia, hina bagade dunu ili afagogolesi. Amogalu, E da mugene su sa: ima: ne hahamonesi.
Wakati Mwenyezi alipowatawanya wafalme katika nchi, ilikuwa kama theluji iliyoanguka juu ya Salmoni.
15 Ba: isia: ne Goumi da goumi bagadedafa. E da bagadewane agesone fisiagagadoi.
Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka, milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka.
16 Dilia da abuliba: le dilia bagadewane agesone fisiagagadoi goumi amoga Gode Ea esalebe goumi (Saione) amo higale ba: sala: ? Bai amogawi (Saione Goumi) Hina Gode da eso huluane fifi ahoanumu.
Enyi milima yenye vilele vilivyochongoka, kwa nini mnakazia macho kwa wivu, katika mlima Mungu anaochagua kutawala, ambako Bwana mwenyewe ataishi milele?
17 Hina Gode amola Ea gasa bagade ‘sa: liode’ osea: idafa, da Sainai Goumiga misini, Malei Sesei amo ganodini golili daha.
Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu, na maelfu ya maelfu; Bwana amekuja kutoka Sinai hadi katika patakatifu pake.
18 E da gadodafa heda: le, doagala: le fedele lai dunu bagohame amo oule heda: sa. Osobo bagade lelesu dunu da Ema hahawane dogolegele liligi iaha. Hina Gode da gadodafa sogebi amoga esalumu.
Ulipopanda juu, uliteka mateka, ukapokea vipawa kutoka kwa wanadamu, hata kutoka kwa wale walioasi, ili wewe, Ee Bwana Mungu, upate kuishi huko.
19 Hina Godema nodoma! E da ninia dioi bagade agui liligi eso huluane aguni ahoa. E da Gode amola E da nini gaga: sa.
Sifa apewe Bwana, Mungu Mwokozi wetu, ambaye siku kwa siku hutuchukulia mizigo yetu.
20 Ninia Gode da Gaga: su Gode! E da Hina Gode, ninia Hina Gode! E da nini mae bogoma: ne gaga: sa!
Mungu wetu ni Mungu aokoaye, Bwana Mwenyezi hutuokoa na kifo.
21 Gode da Ea ha lai dunu, amo da mae fisili gebewane wadela: i hou hamonana, E da ilia dialuma goudamu.
Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui zake, vichwa vya hao waendao katika njia za dhambi.
22 Hina Gode da amane sia: i dagoi, “Na da dilia ha lai dunu Ba: isia: ne Goumia esala, amo bu oule misunu. Dilia ha lai dunu hano wayabo bagade luguduga diala, amo Na da bu oule misunu.
Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka Bashani; nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari,
23 Amasea dilia da ilia maga: me degemu. Amola dilia wa: me ilia da ilia hanaiga defele ilia maga: me heloa: mu. Amo da Gode (na
ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako, huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.”
24 Gode! Dunu huluane da Dia hasalasu mogodigisu ba: sa. Amo da Gode (na Hina Bagade) Ea Hadigi Sogebi ganodini masa: ne mogodigisu.
Ee Mungu, maandamano yako yameonekana, maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, yakielekea patakatifu pake.
25 Gesami hea: su dunu da bisili ahoa amola gesami hea: su dusu dunu amo da fa: no mogodigisa. Amola dogoa da uda a: fini da gulaga hamoi ilibu beano amo dusa mogodigisa.
Mbele wako waimbaji, baada yao wapiga vinanda, pamoja nao wako wanawali wakipiga matari.
26 Gode Ea fi dunu ilia gilisili sia: dasu amo ganodini, Ema nodone sia: ma! Dilia Ya: igobe egaga fifi manebe! Dilia huluane Hina Godema nodone sia: ma!
Msifuni Mungu katika kusanyiko kubwa, msifuni Bwana katika kusanyiko la Israeli.
27 Bisili da Bediamini ea sosogo fi fonobahadi amo maha. Amalu da Yuda fi hina dunu da ilia sosogo fi amo bisili maha. Amo baligiga da Sebiulane amola Na: fadalai elea hina dunu ilia maha.
Liko kabila dogo la Benyamini likiwaongoza, wakifuatwa na kundi kubwa la watawala wa Yuda, hatimaye watawala wa Zabuloni na Naftali.
28 Gode! Di da Dia gasaga nini fidi galu. Amo gasa ninia ba: ma: ne olelema!
Ee Mungu, amuru uwezo wako, Ee Mungu tuonyeshe nguvu zako, kama ulivyofanya hapo awali.
29 Osobo bagade hina bagade dunu da Di amo Dia Yelusaleme Debolo Diasuga esala, amoga hahawane dogolegele iasu Dima iaha. Amoga Dia gasa bagade hou olelema!
Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemu wafalme watakuletea zawadi.
30 Idibidi fi da fedege agoane, sigua ohe saga: ganodini esala agoane ba: sa. Ilima gagabole sia: ma! Fifi asi gala eno da fedege agoane bulamagau gawali amola ilia mano agoane ba: sa. Ilima gebewane gagabole sisia: ahoaneawane, ilia Dima beguduli ilia silifa Dima ia dagoiba: le fawane yolesima. Dunu amo da gegemusa: hanai gala, ili huluane afagogolesima!
Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi, kundi la mafahali katikati ya ndama za mataifa. Na walete minara ya madini ya fedha wakinyenyekea. Tawanya mataifa yapendayo vita.
31 Alofele sia: ne iasu dunu da Idibidi sogega misi dagoi ba: mu. Suda: ne dunu ilia da lobo gaguia gadole Godema sia: ne gadomu.
Wajumbe watakuja kutoka Misri, Kushi atajisalimisha kwa Mungu.
32 Osobo bagade fifi asi gala hina bagadega ouligi fi huluane! Hina Godema nodone gesami hea: ma!
Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia, mwimbieni Bwana sifa,
33 E da musa: hemonega hamoi mu, amo ganodini ahoa. E da gugelebe agoane gulula ahoa.
mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu, yeye angurumaye kwa sauti kuu.
34 Gode Ea gasa amo ha: giwane olema! Ea gasa bagadedafa da Isala: ili fi ouligisa. Ea gasa bagade hou da mu amo ganodini ba: sa.
Tangazeni uwezo wa Mungu, ambaye fahari yake iko juu ya Israeli, ambaye uwezo wake uko katika anga.
35 Isala: ili fi ilia Gode da Ea Hadigi Sogebi amoga masea, Ea hou da baligili gasa bagadeba: le, dunu huluane da fofogadigisa. E da Ea fi dunu ilima gasa iaha. Godema nodoma!
Ee Mungu, wewe unatisha katika mahali patakatifu pako, Mungu wa Israeli huwapa watu wake uwezo na nguvu. Mungu Asifiwe!

< Gesami Hea:su 68 >