< Gesami Hea:su 66 >
1 Dunu huluane! Godema hahawane nodone wele sia: ma!
Mpigieni Mungu kelele za shangwe, nchi yote;
2 Ea Hadigi Dio amoma gesami hea: ma! Amola hadigiwane Ema nodone sia: ma!
Imbeni utukufu wa jina lake; mzitukuze sifa zake.
3 Godema amane sia: ma, “Dia hamobe liligi da noga: idafa gala. Dia da bagadedafaba: le, Dima ha lai dunu da beda: ga, Dia midadi begudusa.
Mwambieni Mugu, “Matendo yako yanatisha kama nini! Kwa ukuu wa nguvu zako maadui zako watajisalimisha kwako.
4 Osobo bagade fifi asi gala dunu huluanedafa da Dima nodone sia: ne gadolala. Ilia da Dima nodone gesami hea: sa. Ilia da Dia Dio gaguia gadole gesami hea: sa.
Nchi yote watakuabudu wewe na watakuimbia wewe; wataliimbia jina lako.” (Selah)
5 Gode Ea hamobe amo ba: la misa! Ea dunu fi amo ganodini Ea noga: idafa hamobe amo ba: la misa.
Njoni na mtazame kazi za Mungu; yeye anatisha katika matendo yake awatendeayo wanadamu.
6 E da hano wayabo bagade afadenene, bu hafoga: i soge hamoi. Ninia aowalali da Yodane Hano amo emoga degei. Amogawi, ninia da Ea hamoi amo ba: lalu bagade nodoi.
Aligeuza bahari kuwa nchi kavu; wao walitembea kwa mguu juu ya mto; huko tulishangilia katika yeye.
7 E da Ea gasaga fifi asi gala ouligilala. E da fifi asi gala huluane Ea siga ba: lala. Ema lelesu dunu ilia da Ema mae lelema: ma!
Yeye anatawala milele kwa nguvu zake; macho yake yanachunguza mataifa; waasi wasijivune. (Selah)
8 Osobo bagade fifi asi gala huluane! Ninia Godema nodona: di! Dunu huluane da dilia Ema nodobe nabimu da defea!
Mtukuzeni Mungu, enyi watu wa mataifa yote, sauti ya sifa zake isikike.
9 E da nini gebewane esaloma: ne ouligi. Amola nini mae dafama: ne ouligi.
Yeye atuwekaye hai, naye hairuhusu miguu yetu iteleze.
10 Gode! Silifa da laluga gobele, noga: i amola wadela: i afafama: ne adoba: be agoane, Di da nini adoba: i.
Kwa maana wewe, Mungu, umetupima sisi, wewe umetupima kama inavyopimwa fedha.
11 Di da nini saniga sa: ima: ne adodigi. Di da ninia baligi da: iya dioi liligi ligisi.
Wewe ulituingiza sisi kwenye wavu; uliweka mzigo mzito viunoni mwetu.
12 Di da ninima ha lai dunu ninima hasalasima: ne yolesi. Ninia da lalu gelabodili amola hano heda: i degele asi. Be wali Di da ninia gado sogebi amoga oule misi dagoi.
Wewe uliwafanya watu wasafiri juu ya vichwa vyetu; tulipita motoni na majini, lakini ukatuleta mahali pa wazi palipo salama.
13 Na da Dima gobei gobele salasu liligi amo Dia diasuga gaguli misunu. Na da Dima ilegei liligi amo Dima imunusa: olemu.
Nitaingia nyumbani mwako nikiwa na sadaka ya kuteketezwa; nitakulipa viapo vyangu
14 Na da nama bidi hamosu doaga: loba, na da adi Dima imunusa: sia: i liligi, amo Dima imunu.
ambavyo midomo yangu iliahidi na kinywa changu kiliongea nilipokuwa katika dhiki.
15 Na da sibi amo oloda da: iya gobele sanasimusa: imunu. Na da bulamagau gawali amola goudi gobele salimu. Amola gobele salasu mobi da muagado heda: mu.
Nitakutolea sadaka ya kuteketezwa ya wanyama wanene pamoja na harufu nzuri ya kondoo waume; Nitatoa ng'ombe na mbuzi. (Selah)
16 Godema nodone dawa: su dunu huluane! Naba misa! Amola na da Ea nama hamobe amo huluane dilima olelemu.
Njoni, msikie, ninyi nyote mnao mwabudu Mungu, nami nitatangaza yale yeye aliyoitendea roho yangu.
17 Na da Ema na fidima: ne dini i. Na da gesami hea: su Ema nodone sia: i.
Nilimlilia kwa kinywa changu, naye alipendezwa na ulimi wangu.
18 Na da na wadela: i hou banenesisa ganiaba, Hina Gode da na sia: ne gadobe hame naba: loba.
Kama ningelikuwa na dhambi ndani ya moyo wangu, Bwana asingenisikiliza.
19 Be Gode da dafawane na sia: ne gadobe nabi.
Lakini Mungu hakika amesikia; amesikia sautiya kuomba kwangu.
20 Na da Godema nodosa. Bai E da na sia: ne gadosu hame higa: i. Amola E da nama mae fisili Ea asigidafa hou hame gagulaligi.
Atukuzwe Mungu, ambaye hakuyakataa maombi yangu wala kuweka uaminifu wa agano lake mbali nami.